Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habarini humu ndani. Nahitaji msaada kitu gani cha kutumia ili kurudisha lips katika rangi yake ya kawaida zimekua nyeusi mno Asanteni in advance.
2 Reactions
31 Replies
25K Views
Ninafanya utafiti kwa hiyo naomba mfano nakumbuka travolta, viatu vya raizon, eh nyingine.
0 Reactions
54 Replies
30K Views
Habarini za asbh ndugu zangu,hongereni kwa kuiona week nyingine tena,kama kichwa kinavyojieleza nahitaji msaada wa picha za magauni ya vitenge hasa yanayowapendeza wanawake wembamba,hata kama...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
WANAWAKE wengi watakiri kuwa nywele za sehemu za siri ni kero hasa katika kudumisha usafi au kuonekana nadhifu wakati wa mahaba. Sababu hii imewapelekea wengi kutafuta mbinu na bidhaa mbalimbali...
10 Reactions
200 Replies
87K Views
Habari za wakati huu wanajukwaa naomba kujuzwa namna ya kuondoa huu weusi katikati ya mapaja maana unanikosesha haga Asnteni sana
0 Reactions
55 Replies
20K Views
Dah! Jamaa huyu jamaa hivi ni ubahili au nini? Mbona anavaa kishamba sana?
7 Reactions
50 Replies
9K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Ndugu watanashati, Kuna duka la Wahindi walijitanabaisha kama wakala wa clarks—walikuwa wanauza viatu vya brand hii pale Dar es Salaam jirani na mnazi mmoja. Huwezi amini ni mahali nimeshafika...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamii poleni na msiba wa taifa... Kama mada inavyojieleza, ni ipo tiba ya m'ba kwenye ngozi, mimi nasumbuliwa na m'ba mara kwa mara. Yaani ni kama nina allerg ya ngozi, nikitumia dawa za...
1 Reactions
28 Replies
13K Views
Hello. Nawezaje kuondoa rangi kwenye meno na yakawa meupe kabisa? Nimeshasugua sana na mkaa ila bado
3 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari wakuu. Naweza pata wapi dawa ya kung'alisha meno tofuati na hizi Colgate na dawa nyingine. Kama kuna dawa nzuri. Msaada tafadhali.
2 Reactions
97 Replies
24K Views
Wadau kama mada inavyojieleza, Soon hapa nimepatwa na tatzo la chinusi za ajabu ajabu usoni nikaulizia dawa kwa sister angu mmoja akanambia n2mie tube flan hvi inaitwa GOLD TOUCH na imesaidia kwa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimetumia dawa za aina nyingi na hizi tube zinapungua kidogo zen zinarudi sasa hivi ndio zimeongezeka msaada wenu hapo wakuu tiba ipi ni nzuri.
2 Reactions
47 Replies
8K Views
Hii kitu kwangu naonaga "shoti" kweli unavaage viatu bila soksi? Unakuta mtu ameulamba suit na moka lakini hajavaa soksi. Huwa naona ni sawa na kuvaa suruali bila boksa.
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Huyu afande, Kanali Mashauri ambaye ni mpambe wa Rais Samia, ukiacha mavazi ya kijeshi yuko vizuri pia katika mavazi ya kiraia. Juzi niliona wakishuka pale Airport akiwa amevaa kiraia, amevaa...
1 Reactions
43 Replies
6K Views
Wapendwa habari zenu, Nimegundua kuwa sipendezi kabisa kuvaa suruali na sketi fupi na magauni ya kubana kutokana na mwili wangu ,baada ya kugundua hili ninacomfidance ya kuvaa nguo za kumwaga...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Mambo vipi, Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimehama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na...
23 Reactions
139 Replies
26K Views
Habari Wana JF Huu mjadala nimeukuta mahali, nikaona ni vyema nikauleta huku nishee mawazo yenu. Ni sahihi mwanaume kupaka manukato yenye kunukia sana? Ni sahihi mwanaume kuoga mara tatu kwa...
0 Reactions
13 Replies
967 Views
Natumai mpo poa!; na wenyeshida poleni sana. Leo nimekutana na mmasai mmoja ananiambia anadawa ya mitishamba ya kuzuia ndevu kuota. Anadai unapaka mfano kwa kufuata kuliacha labda umbo la O vile...
0 Reactions
11 Replies
14K Views
Mtazame Rais wa Korea, Kim Jong-un katika majukumu yake ya kawaida, wadau tuijadili hii fasheni ya nguo zake alizovaa.
9 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom