Habarini za asbh ndugu zangu,hongereni kwa kuiona week nyingine tena,kama kichwa kinavyojieleza nahitaji msaada wa picha za magauni ya vitenge hasa yanayowapendeza wanawake wembamba,hata kama...
WANAWAKE wengi watakiri kuwa nywele za sehemu za siri ni kero hasa katika kudumisha usafi au kuonekana nadhifu wakati wa mahaba.
Sababu hii imewapelekea wengi kutafuta mbinu na bidhaa mbalimbali...
Ndugu watanashati,
Kuna duka la Wahindi walijitanabaisha kama wakala wa clarks—walikuwa wanauza viatu vya brand hii pale Dar es Salaam jirani na mnazi mmoja. Huwezi amini ni mahali nimeshafika...
Wanajamii poleni na msiba wa taifa...
Kama mada inavyojieleza, ni ipo tiba ya m'ba kwenye ngozi, mimi nasumbuliwa na m'ba mara kwa mara.
Yaani ni kama nina allerg ya ngozi, nikitumia dawa za...
Wadau kama mada inavyojieleza, Soon hapa nimepatwa na tatzo la chinusi za ajabu ajabu usoni nikaulizia dawa kwa sister angu mmoja akanambia n2mie tube flan hvi inaitwa GOLD TOUCH na imesaidia kwa...
Hii kitu kwangu naonaga "shoti" kweli unavaage viatu bila soksi?
Unakuta mtu ameulamba suit na moka lakini hajavaa soksi.
Huwa naona ni sawa na kuvaa suruali bila boksa.
Huyu afande, Kanali Mashauri ambaye ni mpambe wa Rais Samia, ukiacha mavazi ya kijeshi yuko vizuri pia katika mavazi ya kiraia.
Juzi niliona wakishuka pale Airport akiwa amevaa kiraia, amevaa...
Wapendwa habari zenu, Nimegundua kuwa sipendezi kabisa kuvaa suruali na sketi fupi na magauni ya kubana kutokana na mwili wangu ,baada ya kugundua hili ninacomfidance ya kuvaa nguo za kumwaga...
Mambo vipi,
Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimehama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na...
Habari Wana JF
Huu mjadala nimeukuta mahali, nikaona ni vyema nikauleta huku nishee mawazo yenu.
Ni sahihi mwanaume kupaka manukato yenye kunukia sana?
Ni sahihi mwanaume kuoga mara tatu kwa...
Natumai mpo poa!; na wenyeshida poleni sana.
Leo nimekutana na mmasai mmoja ananiambia anadawa ya mitishamba ya kuzuia ndevu kuota. Anadai unapaka mfano kwa kufuata kuliacha labda umbo la O vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.