Wakuu , pole na hongereni na weekend !
Mimi nimeamua kudeal na kilimo cha mazao ya mbogamboga kwenye eneo langu lenye ukubwa wa ekari moja ninalolimiliki mwenyewe baada ya kulima kwa kukodi...
Majina ya Samaki , Maelezo na Picha (SAMAKIPEDIA)
Blobfish
Blobfish ni samaki anayetajwa kwamba ni kiumbe mwenye sura mbaya na muonekano usio vutia kuliko kiumbe chochote.
Blobfish Ni samaki...
Wapendwa,
Katika jitihada za kupambana na umaskini, nilichukua kakichaka ambako nakasafisha kwa ajili ya shamba na shughuli za ufugaji. Changamoto niliyokutana nayo ni kuwa:
1. Kuna vichaka...
KWA NINI UWE MASKINI?
JE, UNGEPENDA KUVUNA NYANYA NYINGI KILA WIKI NA KUJIPATA KIPATO KIKUBWA KUPITIA KILIMO CHA GREEN HOUSE?
Team ya "AMKA NA BADILIKA" ya CONSNET GROUP ikishirikiana na...
Habari wanaJF wakulima,
Hii ni mada mahususi itakayotoa elimu na maarifa kuhusu kilimo cha mazao ya mbogamboga na matunda kwa ujumla.
Watu wengi wanatamani sana kulima ila wanakosa maarifa...
Watu wengi hujikuta wakiwa wanahangaika wataanzaje biashara bila kuwa na kiasi kikubwa cha pesa. Wakati huohuo, wengine wana pesa lakini hawana ujuzi wa msingi wa kuweza kupata zaidi ya kiasi...
Mimi mfungaji wa kuku wa kienyeji
Nitatizo ktk kulea vifaranga
Naomba msaada njia gan bora
Ya kulea vifaranga
Maana nina kuku wangu watotolesha vifaranga 11 mpaka 13
Ila kwenye kulea wanabaki...
Kwanza ieleweke kwamba kuku chotara ni kwa ajili ya kupunguza umasikini na si kwa ajili ya Biashara.
Ukisoma hata andiko la ku introduce Kuroiler kule Uganda ilikuwa ni kwa ajili ya kupambana na...
Natamani kumshauri mwanangu akasomee utaalamu wa kufuga nyuki chuo kikuu. Ninachojiuliza ni kuwa je, ni vyepesi kiasi gani au ni ngumu kiasi gani mtu kujiajiri kwenye ufugaji nyuki ukiwa na...
Habari wanajamvi, mimi ni muajiriwa katika shirika moja lisilo la kiserikali na kazi ninayojishughulisha nayo nje ya ajira yangu ni kilimo. Pia nina malengo ya kufuga kuku wa aina zote yaani...
Tuamke tukaanze Kilimo wakuu hali ni mbaya siyo lazima wote mkaajiriwa. Mimi Roho huwa inaniuma Mtu anavyokuja na Kuandika thread nataka Sehemu ya Kujitolea bila Malipo hebu Imagine Sehemu hiyo...
Enyi matabibu wa JF.
nisaidieni wajameni. natafuta dawa ya mende wananisumbua sana. dawa za kihindi za kupuliza nimejaribu aina aina lakini nimenawa, maana nikiwapuliza wanalala tu badala ya...
Baada ya kujua manufaa ya Chia seesds nimeasmua kufanya majaribio ya namna ya kuzilima. Nimeanza na eka moja.
Nimeshindwa kutafsiri maelezo haya kwa kiswahili, lakini kwa ufupi hii ni lishe...
Wakuu,
Binafsi huwa na Bet sana na bahati nzuri nimemuotea muhindi kama Milioni 40
Na sasa nataka kubet kwenye kilimo
Mwaka huu naingia shambani kweli kweli sio utani, naingia FRONT na sio simu...
Wanajanvi Salaam,
Ni matumaini yangu wanajanvi mko wazima na mnaendelea na harakati za upambanaji wa kutafuta mkate wa familia.
Napenda kuleta mlejesho wangu kuhusu safari yangu ya kwenda Mpanda...
Wakuu, kichwa habari chahusika.
Wenye uzoefu na Kilimo cha miti ya mbao tunaomba kujuzwa ni miti gani bora yenye kutoa mbao nyingi.
Inakua kwa muda gani.
Baadhi ya miti michache nilowahi kusikia...
Habari za muda huu naomba msaada ni tiba gani inafaa kwa kuku wanaofunga macho na kutoa uchafu km maji ya sabuni ya kipande ilio lowekwa. (Ulenda ulenda).
Na huu ugonjwa unatokana na nini pia...
LISTI YA FURSA ZA BIASHARA NA MIRADI
Karibuni;
Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha.
Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha.
Kutengeneza na kuuza tofali
Ufundi, Website...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.