Wale wafugaji wa kware na mayai yake bado mpo? Mmekaa kimya siku hizi hatusikii mkileta mada za kuhubiri manufaa ya mayai ya kware.
Au ndio tayari motivation spika wameshawapiga na kitu kizito...
Wakuu
Juzi kati hapa narudi kutoka kibaruani nikaamua nichukue matunda kidogo,
Nilistaajabu sana bei ya tikiti moja ni Tsh 10,000/-, hivyo kutokana na ukata nikachukua ya elfu 2 tuu ila vilitoka...
Ndugu zangu wana JF nimeleta huu uzi kuwa wilaya yetu ya Hanang ina takribani eka 63000 ambazo ni mali ya serikali kuu. Haya mashamba yapo kwa wawekezaji mbalimbali ambavyo inasemekana...
Kwa kweli bei ya sukari hapa TZ sio fair kweli mtu tununue kg kwa zaidi ya dola moja ya kimarekani na ukizingatia nchi yetu ilivyo na utajiri wa ardhi kubwa na mvua maeneo yote
Anyway dodoso...
Ndugu zangu Habari za majukumu.
Katika pita pita zangu nimegundua kuna wawekeezaji wengi sana wakubwa (Wazawa na wageni) katika Sekta ya Mifugo (kuku, ng’ombe mbuzi n.k) lakini hatuwafahamu
Basi...
Habari wanajamvi.
Natarajia kufungua company itayojihusisha na events kama wedding, matamasha N.k...
Naomba kujua gharama na upatikanaji wa Tents, hasa zile za kufanyia open events.
Natanguliza...
Hello brothers and sisters,
Naomba nijuzwa ni wapi naweza pata mbegu za maboga/tetele kwa Dar, au unga wake.
Na bei kwa kilo ni kiasi gani kwa anayefahamu.
kwa mwenye kujua, naomba aniwezeshe kujua wauzaji wa Jumla wa vichanganyio vya chakula cha kuku. Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku, nataka kununua vichanganyio kama vile Mashudu, Mifupa, chokaa kwa...
Ukijaribu kutembea watu wengi utakuta wana mabanda ambayo yanaonekana yalisha wahi kutumiwa kwa ajili ya kulaza kuku.
Wengi unakuta wamebadili matumizi au wameyaacha yako tu yamekaa na hadinsasa...
Habari wakuu?
Naomba kwa mwenye contact za watu wanao dili na mifugo pale uwanja wa ndege wa Nyerere anaipatie nina shida nao sana, nataka mwongozo fulani wa mambo ya mifugo.
Habarini wana jamvi, kama kichwa Cha Uzi kinavyosomeka, napenda kujua ni water pump nchi ngapi inayoweza kupeleka maji mitaa 400 au zaidi kwenye eneo lenye mwinuko wa wastani?.
Sent from my...
Nina mpango wa kuanza kilimo cha mboga eneo ninalotegemea kuvuta maji ni mita 200 je nichukue pump ipi?
vigezo ninavyovitaka
1. Uwezo wa kumudu kuvuta na kusukuma maji umbali wa mita 200
2...
Habari za mihangaiko wananzengo..ninahitaji Water pump kama kuna mtu anauza tafadhari used lkn iwe katika ubora wa kutumika.
**Iwe inatumia Petrol
** Inch 3
Nina 200,000/= taslim kwa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.