Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU KILIMO HIKI: Mwenye kufahamu ufanisi wa hiki kilimo atujuze mambo yafuatayo: 1) Mbegu bora zinapatikana wapi? 2) Zinachukua muda gani kukomaa? 3)...
4 Reactions
152 Replies
123K Views
Habari za Jumapili... Vifaranga Vya Kuchi Vipo sokoni....Vina miezi 4 paka sasa
2 Reactions
152 Replies
43K Views
Wadau nipo kwa niaba. Kuna rafiki yangu wa karibu kanifata kutaka ushauri kwangu, yeye anamilki trector 1 pia shamba la kulima mpunga km heka 200 hiv, ni mwalimu serkalini mshahara wake basic...
15 Reactions
150 Replies
9K Views
Nyie vijana endeleeni kupiga majungu na uzandiki maskani sie vijana wenzenu tunaendelea kupiga maokoto kwenye kilimo just imagine kama mie naweza.kuingiza milioni 50 kwa mwaka wewe kijana...
15 Reactions
150 Replies
6K Views
Nataka safirisha viazi kutoka Mbeya to Tanga vipi kwa wanaoifahamu inalipa na gunia moja kwa Tanga huwa ni shilingi ngapi? ========== Viazi mviringo (Solanum tuberosum) hupendelea maeneo yenye...
1 Reactions
149 Replies
66K Views
Mimi sio mkulima ila nimevutiwa na hii sijui ni kweli ~*Tajirika na Tikiti*~ Hii si Hamasa tena ni zaidi ya kweli..... *TAJIRIKA UKIWA KIJANA ~ LIMA TIKITI* Kwa wastani heka moja ya tikiti...
13 Reactions
147 Replies
25K Views
Habari njema kwa wakulima wenye ndoto za kuingia kwenye kilimo cha korosho. Mkurugenzi wa manispaa ya Lindi anawaalika watanzania wote wenye nia ya kulima korosho kuja katika halmashauri yake na...
24 Reactions
147 Replies
35K Views
  • Redirect
Kama kuna mtu mwenye ujuzi zaidi wa kilimo cha haya maharage anigaie ujuzi jamani ndo kwanza niko kwenye maandalizi yashamba nimekodisha kama heka tano na sasa hivi ndo linapigwa matuta nategemea...
7 Reactions
Replies
Views
Hivi tunalima products zipi hasa? Make Hoteli za kitalii nyingi zinalishwa na Wazungu, kule Njombe kuna Wazungu kule wanalima kila aina ya Mboga ambazo husapply Arusha, Dar na Zanzibar. Arusha...
23 Reactions
145 Replies
9K Views
Msaada tafadhali wajemeni. Nina shamba mahala ambapo nataka kupanda miembe. Ushauri? Wapi nitapata miche ya miembe? Nipo Dar. ====== Zao la embe hustawi vizuri katika maeneo ya tambarare na...
9 Reactions
145 Replies
82K Views
Kumekuwa na kasumba juu ya swala Zima la ufugaji wa kuku wa kienyeji kuonekana kama ni swala lisilowezekana yaani kufuga kuku wa kienyeji mpaka kufikia idadi kubwa yani 1000, 2000 au hata 3000...
26 Reactions
143 Replies
12K Views
KILIMO BORA CHA PILIPILI HOHO Jina la kitalaamu la PILI PILI HOHO ni Capsicum annum. Asili ya zao hili ni bara la Amerika ya Kusini. Hapa nchini zao hili hulimwa katika mikoa ya Iringa, Tanga...
4 Reactions
143 Replies
92K Views
Kabla ya kwenda kwenye somo letu juu ya ufugaji bora kwa KWALE ningependa kuwapatia bei ya bidhaa zetu ili uwe na idea kabisa. Mayai: 1. Mayai ya Kwale Trey Moja ya Mayai 30 ni shilingi 20,000...
13 Reactions
143 Replies
65K Views
Kenbro ni 'Dual Purpose Chicks' ambao ni kienyeji walioboreshwa (improved) na waliendelezwa na kampuni ya kifaransa na kuzalishwa Kenya, wana rangi nyekundu na wana maumbo makubwa sana na hasa...
11 Reactions
142 Replies
56K Views
  • Redirect
Mwanaume wa Dar 2020 nimekuja kivingine. Nimedhamiria kufanya hili. Naombeni ushauri wadau, napotea ama?
1 Reactions
Replies
Views
Habarini wana jamvi, ninapenda kuwashirikisha jambo ambalo nililiona huko mkoani Iringa, wilaya ya Mufindi. Mwezi march mwaka huu 2021, nilienda kijijini kwetu huko mufindi, nikabahatika...
27 Reactions
141 Replies
22K Views
Habari Wadau wenzangu! Nina siku 15 (Wki 2 nasiku 1) tokea nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji. Nilianza na Majike 15 na jogoo 1, nashukuru leo tarehe 21/09/2014 nimekamilisha trei moja la...
13 Reactions
141 Replies
25K Views
Jamani mie nina plan ya kufuga kitimoto kwa wingi. Nimesha fuatilia kwa karibu gharama infmashen nyingi ila kabla sijaanza ufugaji wenyewe naomba nijue kuhusu soko. Nia yangu ni kufuga na kuuza...
0 Reactions
141 Replies
55K Views
Habari zenu wafugaji, mimi ni mfugaji tangu siku nyingi zilizopita, nimejikita sana kwenye kuku wa kienyeji. hivi karibuni nilinunua mayai ya kanga nikayatotolesha pamoja na mayai ya kuku, sasa...
10 Reactions
140 Replies
6K Views
  • Redirect
Habari wana JF. Naomba mwenye uzoefu au utaalamu wa zao la korosho anisaidie kujua mahitaji ya kuanzisha kilimo hiki. Nataka nitafute shamba(virgin land) kwa kilimo hiki, napenda nijue maeneo...
1 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom