WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI KUWENI NA AIBU NA MUOGOPENI MUNGU.....
Wizara ya mifugo imekuwa ni miongini wizara zinazofanya operation nyingi sana kwa upande wa samaki na mifugo.
Mnamo tarehe...
WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI YAOMBA BILIONI 295.9 BAJETI MWAKA MPYA WA FEDHA 2023/2024
Waziri wa Wizara Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Hamis Ulega ameliomba Bunge likubali kupitisha Makadirio ya...
Wizara ya Kilimo,Mifugo na uvuvi imeahidi kuichukua changamoto ya Magadi Chumvi kwenye mashamba ya mpunga kuwa tatizo la kitaifa linalotakiwa kuingizwa kwenye mipango na sera za kitaifa na...
Tatizo kubwa sana wakulima tulilo kuwa nalo lilikuwa Fall Worms au Viwavi Jeshi Vamizi.Mwaka huu nimeona tatizo lingine kubwa,nadhani ni Fungal Disease. Kama ni Leaf Rust or Leaf Spots sijui,but...
Hii wizara inangoja nini kutoa mwongozo wa zao la choroko kuhusu bei maana imekua kimya alimanusura tupo Afghanstan.
Waziri husika embu changamka sio mpaka Rais Samia afanye kila jambo.
NB...
Kuna aina mpya ya ndizi inayoitwa FHIA Ambayo inazaa sana na inahimili maradhi imeanza kulimwa mkoa wa Kagera.Ndizi hii mpya inaweza kupunguza umasikini na kuwa na uhakika wa chakula.Nashauri...
Mvua kila kona, mvua isiyokatika, usiku na mchana inagonga tu aisee.
Tushamwaga mbegu , tunalea vitaru na kuna plots tumehamishia nyanya mashambani ila kwa hizi mvua duu kazi ipo.
Dawa kila...
Ni pamp inayo faa kwa kilimo na ufugaji wa samaki kwani ina uwezo wa kuvuta maji kwa kiwango kikubwa hadi lita 800 kwa dakika . Namb 0657 139511/0768092950
Poleni lakini pia hongereni kwa majukumu wakuu,ninaomba kufahamu maeneo ambayo yanastawisha ama yana ardhi na hali ya hewa rafiki kwa kilimo cha vitunguu MAJI/SAUMU mkoani MOROGORO.
Lakini pia...
Why we focusing on Rain water harvesting?
It is simply that most of areas receive at least 600mm as total annual rainfall, this amount is big if we invest in rain water harvest (charcoal dam) ...
It feels a little awkward when you meet a client that asks for your website so that he can have a good understanding of your products just to learn you dont have one.
Many small businesses...
Hello JF
Well over the past holiday (x-mass & new year) nilipata chance ya kuzungumza na moja ya alie kua potential figure katika nchi yetu ila baada ya kustaafu sasa anajishughulisha na biashara...
INSIGHTS INTO THE MINDSET OF SUPER TRADERS Part 15
If you like reading biographies on successful people like I do, youll notice that they all share one driving force. That force drove each...
Tanzania's has been growing on average at 7% a year. Ironically this growth has not created productive jobs for Tanzania's 20 million strong workforce? What went wrong? What needs to be done to...
Most people know Sean Hyman from his regular appearances on Fox Business, CNBC, and Bloomberg Television, but what they dont know is that Sean is a former pastor, and that his secret to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.