Asalaam wapendwa... naomba kuuliza.. nimefungua biashara ya kuuza maji na juice kwa jumla..ila ndio nipo kwenye mchakato wa kufatilia leseni.. sasa naweza kufungua kabla cjakamilisha leseni? Maana...
Due to so many enquiries about our services which range from greenhouse farming,poultry and quails, rabbits and dairy goats,drip irrigation installation to value addition on farm products,making...
Nimefanikiwa kufikisha kias cha mil 6 nahtaj kufanya biashara na kuwekeza .... I've some ideas ila naamn bila mawazo na ushauri wa watu wengne naweza ncifike mbali ..nahtaj kujifunza kujifunza...
Habari watanzania wenzangu.
naomba mwenyeuzowefu katika uzalishaji na biashara ya mhogo anisaidie, natamani kama utaweka cost analysis kuanzia shambani ikiwezekana hadi usindikaji na masoko ya...
Waungwana mwenye Kware weng majike na anashida ya madume kwa ajili ya mbegu tubadilishane maana ninamadume meng had majike hawana raha hapatuli bandan, hata10 nitawafata kokote ulipo dar hii
'Biashara ni Matangazo'
Tupo katika wakati ambapo bidhaa na huduma nyingi sana zinafikishwa sokoni kwa njiani ya mtandao. Wamiliki wa tovuti za matangazo wanatengeza hela ndefu kwa njia hiyo na...
Habar wanajamvi mimi ni mjasiliamali mdogo na pia nimeanza kulima mahindi ila nataka kujua kuhusu mbegu za mahindi hybrid kama unaweza kupanda misimu miwili mfulilizo yaani nimependa kwenye masika...
habar wandugu, Naomba kuuliza je nikianza kuotesha kitinguu mwezi wa kumi na moja nitapata mazao vizur au nisubiri mwakan mwez march? Naomben ushaur ukanda wa Kilimanjaro same
Message…habari wana jamii mm ni mfugaji mdogo nafuga kuku wa kienyeji .kuku ninao wachache tu c wengi.hivi juzi nimeanza kuona wanaumwa ugonjwa kama kukohoa hivi.nilipochunguza nikagundua vitu...
Habari wakuu.
Naomba kwa mwenye ujuzi jinsi ya kufuga samaki niiyemtaja anipe mwongozo. Pia Kama Kuna mwenye vifaranga vyake tafadhali.
Natanguliza shukrani za dhati.
Wakuu naomba kuuliza, hivi hawa kuku wa nyama au broilers hawanaga rangi nyingine zaidi ya weupe kama wa kienyeji? Maana kila nimuonaye ni mweupe au ndo wadhungu ndo wameshindwa kubuni rangi...
Wanajamvi habari za mda huu!!
Mimi kwa ufupi ni mhitimu stashahada ya ualimu 2015 .... Wadau baada yakumaliza chuo nimeingia mtaaani nimefundisha tempo nimefanikiwa kupata kiasi cha 1,500,000...
Habari wadau? Nahitaj soko la vitunguu vyangu... Vitatoka mwanzoni mwa March nimeona sio mbaya nikaandaa soko kwani sio vingi sana. Shamba ni kama nusu heka kwa sasa... vingine bado vidogo. Shamba...
Nimeona clips nyingi sana YouTube ambapo wenzetu wanavuta maji kutoka kwenye visima na mabwawa bila kutumia nishati ya aina yoyote, na tuna mpango wa kujaribu hapa chuo cha SUA.
Nlitaka nipate...
Wana JF, mimi ni mwanakijiji wa Kivinja B. Nina viwinja vya makazi na kuna jirani zangu wengine wana ardhi inayofaa kwa kilimo na hata kuwekeza kufaa mifugo shule na mipango mingine kutegemea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.