Wakuu habari zenu,
Kwa muda nimekuwa na hamu ya kuanzisha biashara ya Chakula cha mifugo, kwa ajili ya wafugaji. Lakini mbali na chakula nitauza vifaa vya ufugaji na nitakuwa wakala wa vifaranga...
Kwa maitaji yako ya vifaranga na mayai ya kware pamoja na kuku wa kienyeji tafadhali tuwasiliane, nipo Kirumba Wilaya ya Ilemela Mwanza.
No. 0753460642
Ndugu zangu wanaJF
Nina shamba langu nimejiandaa kwa kilimo biashara nimeishakusanya vifaa vyote vya kilimo
Shamba langu lina ukubwa wa ekari 4 nimeishapata drip irrigation za kutosha na vitu...
Ndugu zanguni wana JF
Kwa yeyote mwenye biashara ya mbao na anaiuza, mimi nanunua biashara hiyo na kuiendeleza, naomba nieleweke kwa wana JF kuwa sihitajimbao bali nahitaji biashara hiyo...
Habari wakuu na wadau wa safu hii
Nahitaji kujua na kujifunza kushona viatu vya kitamaduni yaani vinavyotumia material ya malighafi zetu
kama vile vitenge, nguo za kimasai nataka kujifunza namna...
I'm in dar for holiday visiting family and ave got tied of sitting g home doing nothing, so if you deal with poultry, rabbit and or vegetable farming and you are within dar , well I may be of...
Wana JF,
Kwa mara nyingine naomba mnijuze soko la Komamanga na Njugu. Mimi ni mkulima kwa sassa nina njugu za kutosha lakini pia natarajia kuwa na kilimo kikubwa cha Komamanga mwakani...
Mimi ni kija wa kiume, nipo Dareslam Msasani nimepewa mtaji wa milioni 5 ni familia niizungushe kwa masharti niwe natoa laki moja kila mwezi kwa ajili ya kuwasaidia wazee wawili ilikuwasaidia...
Kumezuka Biashara ya mayai ya kware hodi hodi mpaka maofisini Biashara hi ni sawa na DECI, ama Dollar jet kwa kifupi ni PYRAMID ni utapeli wa hali ya juu. Wajasiria mali wamekuwa wakibuni njia...
Wakuu, nataka kuanzisha mradi wa kufuga nguruwe na kuku, vp ufugaji wa nguruwe unalipa kweli? Na je kati ya kuku wa nyama na kuku wa mayai ni mradi upi unalipa zaidi? Na je kati ya ufugaji wa kuku...
Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji sasaivi wamefika mia na hamsini tatizo wanataga sehemu moja wnalalia sehemoja wa tatu kila siku wanachanganya mayai matokeo yake wanayaharibu tu msaada tafadhali.
Habari wana Jamii,
Ninamshukuru sana Mungu kwa kunijaalia kuiona tena siku mpya.
Watu wengi wanapopatwa na matatizo ya kifedha, jambo la kwanza hufikiria ni kwasababu wanapata mishahara midogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.