Makocha wanajua zaidi lakini sikuona kabisa mantiki ya kumchezesha Boko wala Farid mechi ya ugenini ya Taifa Stars dhidi ya Tunisia.
Boko alikuwa cut-off kutoka kwa wenzake, akipewa mipira...
Wadau naombeni msaada juu ya hili.
Mwanafunzi wangu anayetarajia kuhitimu kidato cha nne mwaka huu ameniomba nimwangalizie kwenye mtandao namna anavyoweza kuwa referee.
Ameomba kujua kiwango...
Mwezi wa nane mwaka huu Yanga walituaminisha kuwa wamekata rufaa FIFA katika kiengo cha CAS kupinga kitendo cha kamati ya TFF kuamua kuwa mkataba wa miaka miwili na Morrison ni batili. Baadaye...
Chonde chonde GSM, Eng Hersi na wana uto wote, tuachieni Chama wetu kama kisasi ni Morrison sisi tutawarudishia na tutawapa Ajibu kama nyongeza.
Kinachoendelea huko Istagram kinatuumiza sisi...
Hapo Kesho Kwenye Mtanange wa Tanzania Vs Cape Verde kwa tadhimini za haraka haraka Kutakuwa na msukumo mdogo sana kwa mashabiki wa Taifa Stars kuiangia kwa Mchina/Taifa.
Hata kama ingekuwa bure...
Leo zime tolewa tuzo za mwezi September.. kama kawaida yao kocha Bora Cedric kaze katoka Yanga.. mchezaji bora Serge Mukoko22 katoka yanga.. duh hapa najiuliza yaani biriani lote simba tunalo...
Habari za muda huu.
Tukiwa tunasubiri kama masaa machache team yetu ya Taifa kuingia viwanjani na kuonesha kandanda safi huko Cape Verde
nimejikuta kuwa na mashaka zaidi maana hapo mwanzo...
Nimeona kwenye Gazeti la Mwananchi Ndugu Makonda akitambulishwa kama Mwenyekiti wa Kamati ya Hamasa ya Taifa Stars , huku katibu wa Kamati hiyo akitajwa kwa jina la Herisi Said , hivi hii kamati...
Shirikisho la kandanda nchini misri limethibitisha kuwa mshambuliaji wake Mohammed Salah maarufu kama "Mo salah"
Amekutikana na ugonjwa wa Covid19 wakati akijiandaa na mechi ya kufuzu afcon
Hivyo...
Shirikisho la kandanda nchini misri limethibitisha kuwa mshambuliaji wake Mohammed Salah maarufu kama "Mo salah" Amekutikana na ugonjwa wa Covid19 wakati akijiandaa na mechi ya kufuzu afcon
Hivyo...
Kitendo cha baadhi ya mashabiki kuhamasishana wakaishangilie timu ya taifa la kigeni ni sawa na kuifanyia nchi ya kigeni ujasusi dhidi ya nchi yako ambayo huhesabiwa ni uhaini na adhabu yake ni...
Manuel Neuer
Ndiye golikipa Bora wa kombe la Dunia la mwaka 2014.
Manuel Peter Neuer (amezaliwa tarehe 27 Machi 1986) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Ujerumani ambaye anacheza kama golikipa...
Ndio hivyo dogo kala miaka minne na nusu.
===
Mchezaji wa Kitanzania Simon Msuva amethibitisha kujiunga na Wydad Casablanca ya Morocco kwa mkataba wa miaka minne (4) akitokea Difaa El Jadida.
Ni swali ambalo wanamichezo mbalimbali huwa wanajiuliza karibu kila siku, kwa nini timu ya taifa ya Argentina 🇦🇷 haina mtu mweusi?.
Kwanza kabisa tofauti na imani ya wengi baada ya Afrika bara la...
Baada ya kuzagaa tetesi za chama kutimkia jangwani, upande wa pili napo kuna tetesi za kiungo mkabaji wa timu ya wananchi Mukoko Tonombe "ticha" kuhamia Unyamani dirisha dogo Dceember 15.
Hii...
Joash Onyango mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya leo muda mfupi kabla ya mechi ya kimataifa aneondolewa kikosi cha timu yake ya taifa baada ya kugundulika kuwa na COVID 19 baada ya vipimo akiwa...
Simba SC Tanzania have reached an agreement with Zambian international Clatous Chota Chama to extend his stay in the club for two more seasons.
Chama will pocket $72,000 (Tsh. 180 million) in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.