Baada ya kupata sare mbili za bila kufungana dhidi ya Real Sociedad kisha na Chelsea, Manchester United inasafiri hii leo kuelekea Selhurst kukipiga dhidi ya Crystal Palace mchezo utaopigwa saa...
Samahani wataalamu wa karate nilikuwa naomba ufafanuzi wa style gani ya karate au aina ipi ya karate ni nzuri zaidi kwa self defence. shotokan au ipi ni nzuri zaidi.
Asanteni
Hivi karibuni kumekuwapo na ongezeko kubwa la wataalamu wa uchambuzi wa mpira wa miguu, vituo vyote vya luninga na radio stations zina wachambuzi ukiwasikiliza wote ni wanaonyesha weledi wa hali...
Klabu ya Kagera Sugar ya mkoani kagera wanalalamika kupangiwa mechi yao dhidi ya Simba sc confederation cup kuchezwa Dsm wakati droo ya awali ilionyesha mechi hio ilipaswa kuchezwa kaitaba mkoani...
Joshua Onyango na Konde boy ni miongoni mwa wachezaji wawili waliochaguliwa kwenye kikosi cha wiki cha CAF champion league wakiendeleza pale alipoachia Lwanga.
Hebu tutumie uzi huu kumtakia heri na kumjulia hali Aishi Manula, Mungu amponye haraka na kumpa afya njema!
Manula nakutakia afya njema na Mungu akuponye na kukulinda!
Tabasamu- Mungu yuko...
Nchimbi ametimiza mwaka hajui goli ni nini. Sarpong aliyebebwa kama mfalme na baadhi yao ana goli nne karibu msimu unaisha.
Pamoja na papaa kutopewa nafasi lakini alikuwa na jumla ya magoli zaidi...
Azam ni wadhamini wakuu Uganda. Waliposainishana na chama cha michezo Uganda nahisi aliyesaini alikuwa kanywa bells kidogo.
Imefika wakati wa kutoa pesa jamaa wameanza kuipiga mikwara Azam ooh...
Patashika ya Ligi Kuu, Vodacom Premier League VPL' kuvurumishwa leo Machi 1, 2021 ambapo Mnyama Mkali, Simba SC wanapambana na JKT Tanzania FC kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa.
Mchezo huu...
Msikilize Sunday Manara Computer
FT Yanga 1 - Ken Gold FC kutoka Chunya
Goli la penati
Nimejutia muda wangu,nimetazama mchezo mbovu kabisa wa timu inayoiita timu kubwa dhidi ya timu ndogo kutoka...
Habari. Kuna ndugu yangu kaniomba nimfungulie banda la kuonyeshea mpira. sehemu ipo shida sijajua vipengele Muhimu vya kufata. mfano tv ziwe size ngapi na aina gani na kutokana na kukatikakati kwa...
Baada ya sare kadhaa kwenye ligi wachambuzi wa soka walimshutumu na kulaumu mbinu za Kocha wa Yanga hali iliyopelekea Kaze mwenyewe kutoka hadharani na kueleza kusikitishwa na namna wachumbuzi wa...
Enzi hizo bana kabla ya kujengwa gombani pemba na ally hassan mwinyi tabora(viilikuwa moto enzi hizo)unaambiwa uwanja mzuri ulikuwa ccm kirumba ukifatiwa na sheikh amri abeid arusha maana wa dar...
Round ya kwanza ya makundi Simba waliingiza mchezaji mmoja kwenye kikosi cha wiki cha CAF champion league hatua ya makundi. Round hiyo alikua Tadeo Lwaga.
Round ya pili imeingiza Wachezaji wawili...
Haswa team inapoenda mikoani wanaposhuka kwenye basi au kama ile walivyopokelewa Airport wakitoka Kinshasa Manula akanusurika kuibiwa simu.
Kumbukeni kuna kipindi Rwanda watu walikuwa wanogopa...
Ilikuwa ni kero kuwasikiliza mara nyingi wakikumbushia goli 5 wao wakiziita hamsa. Hakuna aliyejali ushindi wa Simba na pointi 3.
Sasa leo najua itakuwa fedheha sana kwao kwani hawatakuwa na...
Serikali iliangalie hili.
Natizama mechi ya simba na jkt gani sijui hawa. yaani simba wanacheza mpira lakini hawa jkt wanacheza rafu tu.
Mugalu kapigwa buti kapoteza fahamu. sasa katolewa...
Nimeangalia yanga vcs ken gold leo,dah jamaa wapo poa sana nasikiza clouds hapa hata wachambuzi wanawasifia sana kwa kweli,hongera mwalimu Cedric kaze kama nyie mgekutana na waarabu wa misri...
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Patrick Sibomana ameibuka na kudai yupo kwenye mpango wa kuifungulia mashitaka Klabu ya Yanga kwenye Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kwa kile alichokieleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.