New orleans 128
LA lakers 111 Leo.
[emoji81][emoji119] Lakers fans nawatarfu tu.. mmefungwa tena. Lakers without James Sio horrible kbsa. One man out and whole team collapses
Eti 4 pts total in...
Timu hizi zinamfaha Sana jamaa akienda kwenye hizi timu anaenda kuwa straiker mmoja hatari Sana duniani na anaenda kuvunja baadhi ya record za ufungaji wa mabao duniani
1- Chelsea
2- PSG
3-...
Bifu lao lilianza zamani sana katika fukwe za bata na jiji la starehe nyingi, Rio di Janeiro Brazil. Ardhi iliyofukiwa kitovu cha soka na ilipo mbingu ya miungu ya mpira.
Bebeto alicheza Flamengo...
MANARA, KAMA HUUWEZI UTANI, USITANIE WENZAKO
Mpira ni mchezo mmoja mtamu sana, yaani sasa hivi unacheka lakini itakuchukua sekunde moja tu, unabadilika na kuwa mwenye huzuni tele.
Ipo hivyo...
Habari
Naona mapambio ni mengi sana kuhusu ubora wanaoonesha simba ,kuna viumbe vimeenda mbali na kumaliza hesabu kuwa tayari kombe la linaingia msimbazi.
Mimi binafsi nikiwa na akili timamu...
Chelsea wanajiandaa kutoa ofa ya pauni milioni 86.3 kwa ajili ya mshambuliaji Mbelgiji anayecheza katika klabu ya Inter Milan Romelu Lukaku, 27, endapo the Blues watashindwa kumsajili mshambuliaji...
" Ni Tanzania tu TFF ndiyo imekuwa wapole ila kwa Kitendo alichofanya Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela huku akijua tena Kikanuni tu the right channels za Kupeleka Malalamiko yake...
Huku wana Afrika mashariki wote tukiwa hatuendi michuano ya AFCON nchi changa ya Macedonia Kaskazini wameipiga timu ngumu ya Ujerumani wakiwa nyumbani kwao.
Ujerumani 1 Macedonia Kaskazini 2 hii...
Wakati Klabu ya Simba ikiwa inashangilia Kutinga Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika tena Convisingly kabisa huko Yanga SC katika hali ya Kushangaza leo nao Wameshangilia urejeo wa Mshambuliaji...
Kiungo msambuliaji wa Simba SC (fundi) Chama Jr, ameibuka mchezi bora wa CAF Champions League raundi ya tano kwa kishindo, baada ya kumpatia mateso ya hali ya juu golikipa wa as vita club ya kongo.
Simba 4-1 as vital
Al merehk 2-2 alhaly kwa matokeo haya rasmi simba anakua kinara wa kundi kwan mechi ya mwisho watakapo kutana simba na alhaly ata kama simba atafungwa atabaki kua kinara kwani...
Simba imeruhusu bao 1 tu kwenye hatua ya makundi kwenye mechi 5 mpaka sasa na hakuna goli wamefungwa ndani ya boksi lao! Hali ni tofauti kidogo kwani katika makundi ya msimu juzi waliruhusu mabao...
Kitendo ambacho Simba imefanya ni kitendo cha Uzalendo na Ushujaa Uliotukuka. Ni kitendo cha Kuigwa kwa Kila Mtanzania na Mwafrika kwa Ujumla.
Simba imepambania Taifa la Tanzania ikiwa imeweza...
Wadau wenzangu
PNC
The Icebreaker
Joseverest
King_Ngwaba
makaveli10
kilambimkwidu
Chukwu emeka
BAK
Anigrain
The Boss
Saint Ivuga
dingimtoto
Kanungila Karim
Van De Beek
FORTALEZA...
MCHAKATO WA DRAW INAYOFUATA.
30 April 2021 ndio siku ambayo Draw ya CAF katika kupanga timu zitazocheza Robo Fainali na pia Nusu Fainali na kuingia katika mfumo wa mpaka Fainali katika Klabu...
Ndiyo! Kunako dakika ya 24 ya mchezo alioanza katika first XI, Samatta hajawaangusha kocha na mashabiki zake kaingia kambani na katimiza kazi aliyopewa. Hii ni hatua nzuri ya kuzidi kuaminika na...
Ni Katikati ya mwaka 2013, zimbwe jr yupo kwenye basi la kagera Sugar anamtoroka meneja wake Heri Mzozo ili akasaini mwaka mmoja na wanankurukumbi. Hii ni baada ya tindikali za moto zilipounguza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.