Tunaangalia mchezo unaooneshwa mubashara kupitia Azam sports hd1...ligi kuu tz Kati ya Azam fc dhid ya Namungo fc.
Changamoto ni rangi ya jezi ya timu zote. Azam wamevaa blue huku Namungo wamevaa...
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania NBC Premier League, kupigwa leo March 16, 2022 kwenye Dimba la Ilulu mkoani Lindi, huku vita kubwa ikiwa ni kuwania nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi.
Namungo...
Hili Goal wacha mbuzi wetu walisema ni Offside kabisa.... Leo CAF wanasema ni Goal la Week? Huu si wendawazimu?
Wamenunuliwa....ina maana wao wanawabishiwa hawa wambuzi wetu? Inafikirisha sana...
Hata mkiandikwa vizuri hamtoi asante. Halafu mnalalamika kuwa wengine hata wakijisaidia wanasifiwa kuwa harufu yao nzuri.
Mkono mtupi haulambwi mbwa nyie. GSM nawapongeza wanajua kutujali...
Tanzania ni moja ya nchi inayoongoza kujenga vitu chini ya kiwango mfano Uwanja wa Manungu wa Mtibwa umefanyiwa marekebisho hata kuweka majukwaa ya watu elfu tatu imeshindikana hii ni aibu sana...
Uhakika ni kwamba hii habari kesho au leo usiku haitatangazwa na makanjanja la sivyo itabidi wakjieleze vizuri kwa wale jamaa wanaowapaga bahasha za khaki kwani baada ya kujitutumua redioni...
Pongezi sana kwa club ya simba kwa kukataa kutoa bahasha za khaki kwa haya MACHAMBUZI FEKI yenye njaa hadi kwenye unyayo..akili zao ni kisoda sana ....
Najaribu kupata picha kwamba Mo Dewji ndiye...
Mpaka leo Jumatano Machi 16, 2022 katika mzunguko wa 17 wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara (NBC PL 2021/22), kikosi cha Yanga kimeongoza kwenye takwimu muhimu nne.
● Magoli ya kufunga – 29
● Magoli ya...
Aibu mbili zimejitokeza leo kwenye mchezo kati ya Yanga na Somalia.
Manara anamkatisha Rais wakati anaongea. Aibu sana.
Ueledi wa kazi hapo. Rais hakatishwi wakati anaongea. Labda asite na...
Naona wenzetu ni wakarimu sana wa kupokea wageni wanaokuja kucheza na Simba michuano ya CAF, je, walishawahi kuongoza kundi lolote la CAF Champions League au confederation? Kwa Simba siku hizi...
Ningependa kufahamu je!? ni kiasi gani hupatiwa kwa vilabu vitakavyofuzu hatua ya makundi upande wa shirikisho Africa.
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
kuna wakati ukweli unatakiwa kusemwa wala haijalishi utauma vipi. Mshambuliaji wa yanga Fiston Kalala Mayele ni high class, haina budi washambuliaji wengine kujifunza hasa yule kijana Bob Marley...
1. YANGA ndiyo timu ya kwanza Tanzania kucheza mashindano rasmi ya CAF walicheza klabu bingwa mwaka 1968 wakati simba ndiyo timu ya kwanza kupanda ndege mwaka 1963 walienda Ethiopia kwa mwaliko...
Kwanza nawapongeza wachezaji wa Simba kwa ari kubwa ya kupambana uwanjani walioinesha leo. Wamepigana kiume sana kuigania timu yao.
Lkn kwa upande mwingine, maamuzi tata ( in favour of Simba)...
Haiwezekani kila baada ya mechi ya Simba tena wakifanya vizuri wao ni press tu na kwenye press hamna cha kuzungumzia zaidi ya mabadiliko na usajili wa wanachama.
Kama kuna shabiki wa Yanga...
Kila mchezaji duniani kote ana ndoto na anaomba ajiunge na timu ambayo inashiriki mashindano ya kimataifa, ili acheze mechi za kimataifa kwa lengo la kujinadi kimataifa aonekane kimataifa ili...
Mazingira ya soka yanabadilika sana kwa sasa kulinganisha na miaka 20 au 25 iliyopita.
Uhusiano wa kocha na wachezaji ulikuwa wa "kigumu". Kocha aliweza kumuweka mchezaji benchi na uamuzi wake...
Ikitokea Simba SC yangu ikashinda au hata tu kutoka Sare / Suluhu na RS Berkane Keshokutwa ( Jumamosi ) nitakuwa ni mwenye Furaha Kubwa kwani Lengo letu Kuu litakuwa limetimia hasa kwa Mechi za...
Henock inonga baka (varane) (electrical fence) ni sawa na
Abdul shaibu 19
Bakari Nondo Mamunye to 10
Kibwana shomali 40
Shaban djuma 19
Na ni 98℅ ya Raphael Varane mwenyewe alichomzidi huyu ni...
Hivi nikisema huyu ndo namba tatu bora wa muda wote katika ligi kuu ya Tanzania bara nitakuwa nimekosea? Huyu jamaa amecheza kwa kiwango bora kwa misimu karibia kumi mfululizo, amecheza timu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.