Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Tunaangalia mchezo unaooneshwa mubashara kupitia Azam sports hd1...ligi kuu tz Kati ya Azam fc dhid ya Namungo fc. Changamoto ni rangi ya jezi ya timu zote. Azam wamevaa blue huku Namungo wamevaa...
2 Reactions
10 Replies
733 Views
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania NBC Premier League, kupigwa leo March 16, 2022 kwenye Dimba la Ilulu mkoani Lindi, huku vita kubwa ikiwa ni kuwania nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi. Namungo...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
  • Redirect
Hili Goal wacha mbuzi wetu walisema ni Offside kabisa.... Leo CAF wanasema ni Goal la Week? Huu si wendawazimu? Wamenunuliwa....ina maana wao wanawabishiwa hawa wambuzi wetu? Inafikirisha sana...
8 Reactions
Replies
Views
Hata mkiandikwa vizuri hamtoi asante. Halafu mnalalamika kuwa wengine hata wakijisaidia wanasifiwa kuwa harufu yao nzuri. Mkono mtupi haulambwi mbwa nyie. GSM nawapongeza wanajua kutujali...
5 Reactions
12 Replies
721 Views
Tanzania ni moja ya nchi inayoongoza kujenga vitu chini ya kiwango mfano Uwanja wa Manungu wa Mtibwa umefanyiwa marekebisho hata kuweka majukwaa ya watu elfu tatu imeshindikana hii ni aibu sana...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
  • Redirect
Uhakika ni kwamba hii habari kesho au leo usiku haitatangazwa na makanjanja la sivyo itabidi wakjieleze vizuri kwa wale jamaa wanaowapaga bahasha za khaki kwani baada ya kujitutumua redioni...
5 Reactions
Replies
Views
Pongezi sana kwa club ya simba kwa kukataa kutoa bahasha za khaki kwa haya MACHAMBUZI FEKI yenye njaa hadi kwenye unyayo..akili zao ni kisoda sana .... Najaribu kupata picha kwamba Mo Dewji ndiye...
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Mpaka leo Jumatano Machi 16, 2022 katika mzunguko wa 17 wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara (NBC PL 2021/22), kikosi cha Yanga kimeongoza kwenye takwimu muhimu nne. ● Magoli ya kufunga – 29 ● Magoli ya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Aibu mbili zimejitokeza leo kwenye mchezo kati ya Yanga na Somalia. Manara anamkatisha Rais wakati anaongea. Aibu sana. Ueledi wa kazi hapo. Rais hakatishwi wakati anaongea. Labda asite na...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Naona wenzetu ni wakarimu sana wa kupokea wageni wanaokuja kucheza na Simba michuano ya CAF, je, walishawahi kuongoza kundi lolote la CAF Champions League au confederation? Kwa Simba siku hizi...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Ningependa kufahamu je!? ni kiasi gani hupatiwa kwa vilabu vitakavyofuzu hatua ya makundi upande wa shirikisho Africa. Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
7 Replies
1K Views
kuna wakati ukweli unatakiwa kusemwa wala haijalishi utauma vipi. Mshambuliaji wa yanga Fiston Kalala Mayele ni high class, haina budi washambuliaji wengine kujifunza hasa yule kijana Bob Marley...
7 Reactions
28 Replies
3K Views
1. YANGA ndiyo timu ya kwanza Tanzania kucheza mashindano rasmi ya CAF walicheza klabu bingwa mwaka 1968 wakati simba ndiyo timu ya kwanza kupanda ndege mwaka 1963 walienda Ethiopia kwa mwaliko...
13 Reactions
44 Replies
8K Views
Kwanza nawapongeza wachezaji wa Simba kwa ari kubwa ya kupambana uwanjani walioinesha leo. Wamepigana kiume sana kuigania timu yao. Lkn kwa upande mwingine, maamuzi tata ( in favour of Simba)...
9 Reactions
138 Replies
7K Views
Haiwezekani kila baada ya mechi ya Simba tena wakifanya vizuri wao ni press tu na kwenye press hamna cha kuzungumzia zaidi ya mabadiliko na usajili wa wanachama. Kama kuna shabiki wa Yanga...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Kila mchezaji duniani kote ana ndoto na anaomba ajiunge na timu ambayo inashiriki mashindano ya kimataifa, ili acheze mechi za kimataifa kwa lengo la kujinadi kimataifa aonekane kimataifa ili...
9 Reactions
56 Replies
5K Views
Mazingira ya soka yanabadilika sana kwa sasa kulinganisha na miaka 20 au 25 iliyopita. Uhusiano wa kocha na wachezaji ulikuwa wa "kigumu". Kocha aliweza kumuweka mchezaji benchi na uamuzi wake...
0 Reactions
1 Replies
357 Views
Ikitokea Simba SC yangu ikashinda au hata tu kutoka Sare / Suluhu na RS Berkane Keshokutwa ( Jumamosi ) nitakuwa ni mwenye Furaha Kubwa kwani Lengo letu Kuu litakuwa limetimia hasa kwa Mechi za...
8 Reactions
30 Replies
3K Views
Henock inonga baka (varane) (electrical fence) ni sawa na Abdul shaibu 19 Bakari Nondo Mamunye to 10 Kibwana shomali 40 Shaban djuma 19 Na ni 98℅ ya Raphael Varane mwenyewe alichomzidi huyu ni...
11 Reactions
42 Replies
4K Views
Hivi nikisema huyu ndo namba tatu bora wa muda wote katika ligi kuu ya Tanzania bara nitakuwa nimekosea? Huyu jamaa amecheza kwa kiwango bora kwa misimu karibia kumi mfululizo, amecheza timu ya...
14 Reactions
67 Replies
4K Views
Back
Top Bottom