Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kwa bingwa mara 8 wa afrika wakati huo Al ahly alipokutana na timu ya wananchi Dar Yanga Afrika akapasuka bao moja bila KAMA KUNA TIMU YOYOTE IMEWAHI KUIFUNGA AL AHLY...
10 Reactions
38 Replies
2K Views
Kwakweli yanga wamejaribu kuteka attention za mashabiki mbalimbali kwa kusubiri jezi ambazo walisema zitakuwa bora kuliko timu yoyote ile, je Simba wataweza kuwafunika Yanga katika kuzindua jezi...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
  • Redirect
Bila matusi, jazba, ushabiki, tujadili hili , kuhusu uzinduzi wa jezi za msimu mpya 2022/2023 kwa timu ya wananchi, Bila muhamashishaji wa timu hiyo ndugu H. S. Manara, Nini maoni yako je...
0 Reactions
Replies
Views
Habarini wadau wa jamii forum nilikuwa naomba kujuzwa sehemu ambayo naweza jifunza boxing ,karate, kung fu au hata martial arts ambayo ina walimu bora zaidi na lengo la kujifunza sio kwa ajili ya...
2 Reactions
6 Replies
766 Views
Manara amekuwa akiendelea kuropoka licha ya adhabu anayotumikia. Amekuwa akilalamika kuwa kaonewa licha ya kupewa siku 21 za kukata rufaa. Ushahidi ambao angeutumia kwenye rufaa amekuwa akiusema...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Yote haya tunayoyaona ni kisasi tu, hapa bongo ukijifanya mjuaji kwenye hizi club za kariakoo basi wanamnenepesha mtani mwenzio ili akuchape gepu. Mo nahisi ana tamaa sana ya kutaka malipo ya juu...
14 Reactions
59 Replies
5K Views
YANGA ikiwa ugenini inapiga mpira mkubwa mnooo, hapa Al ahly mashabiki walikuwa FULL HOUSE achana na hawa jamaa zetu waliokuwa wakicheza na Al ahly kukiwa na mashrti sharti ya Covid
2 Reactions
14 Replies
973 Views
Maisha yana kwenda kasi sana, Wakati Yanga inafurahia kupata udhamini wa Bilion 12.335 kwa miaka mitatu, Wenzetu Simba wao wanafurahia kufikisha Followers milion 1...
5 Reactions
45 Replies
3K Views
Habari zenu wadau wa Michezo.. Inaelezwa kwamba Tanzania na Uganda wanatarajia kushirikiana kuomba kuandaa Mashindano ya AFCON mwaka 2027.. Haijaelezwa nani katoa hilo wazo ila ikumbukwe kwamba...
0 Reactions
4 Replies
741 Views
Kwakweli mgema akisifiwa Sana tembo hulitia maji Sina la kusema jezi zinatisha hazitamanishi hata Si kwa ubaya viongoz wa Yanga mnaweza badilisha jezi hazina mvuto ni kituko Vivutio vya...
10 Reactions
85 Replies
6K Views
Nenda katanga mikopo ya Bayport huko, si ulisema utaendelea kuisemea yanga, mbona hatukuoni, mbona hukuonekana kwenye uzinduzi wa jezi.Mamlaka lazima ziheshimiwe.
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Kocha wa zamani wa Vilabu vya mtibwa sugar, na kagera sugar MECKY MEXIME amesema katika dirisha hili la usajili klabu ya YANGA imefanya usajili kimbinu na kuzingatia zaidi uweledi na sio ushamba...
13 Reactions
30 Replies
3K Views
Cristiano Ronaldo amerejea Jijini Manchester na alitarajiwa kuwa na mazungumzo na Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag kuhusu hatma yake. Mreno huyo ambaye amekosa wiki tatu za kwanza za...
0 Reactions
5 Replies
858 Views
Leo wanajangwani wamekamilisha dili lao la Bilion 12.3. Kila dili wao wanafanya kwa uwazi (Transparence). Hakuna kuficha ficha wala kuambiana kuwa watalitangaza baadae. Yaani kila kitu kiko...
11 Reactions
49 Replies
2K Views
Wakuu lini izi latiba zinatoka rasmi Kama ya ligi kuu inaanza mwezi ujao latba bado ata ya caf bado hawajajua nchi zitakazo shiliki nini au Kuna ligi bado zinaendelea
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Kiungo wa Juventus, Paul Pogba anaweza kuikosa michuano ya Kombe la Dunia 2022 itakayofanyika Nchini Qatar kutokana na kupata jeraha la goti alilopata katika mazoezi. Pogba amesitisha kuwepo...
1 Reactions
6 Replies
864 Views
Katika maeneo ambayo yanga wamefanikiwa kuset msimu huu ni kwenye management, klabu yoyote ikiwa na management goigoi lazima mambo mengi yatakwama, Matunda ya mafanikio ndani na nje ya uwanja ya...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
NI DAR ES SALAAM YOUNG AFRICANS KLABU BINGWA BARANI AFRIKA ( Champions' Cup 1975) NI timu nne tu Afrika nzima zilianzia second round ambazo ni CARA Brazzaville ya CONGO BRAZAVILLE AS Forces...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Na Thadei Ole Mushi. Inahitaji utulivu na kufikiri nje ya Box... Jana nimehoji hapa inakuwaje nchi ndogo kama Burundi yenye KM za mraba ambazo hazifiki hata nusu ya KM za mraba za Tabora na nchi...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
1. Al Ahly 🇪🇬 2. Wydad Casablanca 🇲🇦 3. Petro de Luanda 🇦🇴 4. CR Belouizdad 🇩🇿 5. Raja Casablanca 🇲🇦 6. Mamelodi Sundowns 🇿🇦 7. Pyramids FC 🇪🇬 8. ES Setif 🇹🇳 9. Zamalek SC 🇪🇬 10. JS Saoura 🇩🇿 11...
8 Reactions
33 Replies
4K Views
Back
Top Bottom