Ecuador ipo hatarini kuondolewa katika Kombe la Dunia 2022 kutokana na utata wa nyaraka za mchezaji wao, Byron Castillo, ikiwemo hati ya kusafiria ambapo inadaiwa beki huyo ni raia wa Colombia...
Kwa muda mrefu nimeangalia kikosi chagu cha Simba na inanisikitisha pale ambapo Hussein anakuwa majeruhi au Kapombe kawa na majeraha mbadala wao hawapo Simba.
Tangu wapo Misri pre-season...
Baada ya kumshinda Lou Savarese kwa TKO sekunde ya 38 huko Scotland alitoa dongo hili zidi ya mpinzani wake Lennox
Lewis:
I'm the best ever. I’m the most brutal and most vicious and most...
Baada ya Hersi Said kuomba Uenyekiti kwa kudanganya umma kwamba eti kaombwa na Wazee, sasa ni dhahiri ule mpango wa gizani wa GSM kuichukua timu ya Yanga bila jasho umetimia.
Hakuna cha bure ...
Angetile Osia amekuwa mwepesi sana kujifanya mchambuzi anayepinga kila jema la TFF, TFF wakifanya maamuzi yeye bila kuchelewa hujitokeza kuwapinga.
Angetile amewahi kuwa mtendaji wa TFF, aidha...
Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Imani Madega kuhusiana na Injinia Hersi kuwania Urais wa Yanga….
Kwa sababu Yanga wengi ni mazuzu, watamshambulia Madega. Madega ana hoja nzito sana.
Mchezo wa UEFA Europa League, Arsenal dhidi ya PSV Eindhoven uliopangwa kuchezwa Septemba 15, 2022 kwenye Uwanja wa Emirates Jijini London umesitishwa.
Shirikisho la Soka la Ulaya (UEFA) limesema...
Kila alipokuwa akipelekewa mic na waandishi wa habari nchini Malawi Kaimu Kocha Mkuu wa Simba SC, Juma Mgunda hakuonyesha kuogopa au kubabaika au kushikwa na kigugumizi cha ghafla bali alikuwa...
Klabu ya Young Africans ya jijini Dar Es Salaam, leo imesaini mkataba mpya wa udhamini na kampuni ya GSM wenye thamani ya jumla ya Tsh Bilioni 10.9 kwa miaka mitano.
Mkataba huo uliogawanyika...
Mara mojamoja tu Simba warushieni vijisenti hawa ndalakyuya, wako sokoni wanajiuza hawana tofauti na wale viumbe wa corner bar mwenye dau kubwa ndiye watamuheshimu na kumnyenyekea, wengi wao...
Nafikiri kwa timu yoyote itayovuka kati ya hizi kukutana na yanga basi itatakiwa ifanye kazi ya ziada mara 2 kuizuia yanga, naangalia mechi yao hapa inayoendelea sijaona timu ya kuisumbua yanga...
Huwa nashangaa sana ninapoona mechi imetangazwa kuonyeshwa labda Azam Sports 2 , halafu muda unafika haionekani au imehamishiwa channel nyingine bila taarifa , hivi mnadhani ni nani ataota kwamba...
Haijawahi kuthibitishwa kuwepo na mbwa albino
So unapokuwepo kwenye papatupapatu zako za kutukana na kudhalilisha watu ambazo ndizo zinakuweka mjini elewa hilo
Siyo kila mtu wa kusema niite mbwa...
Ni siku kubwaaa, Siku Yenye Msisimuko Wake, Siku Ya Furaha Kwa Wapenzi wa Soka Tanzania, Afrika Mashariki, Afrika Ya Kati na Afrika Kwa Ujumla. Ni mchezo wa Kuwania Kufuzu Hatua Makundi Club...
Huenda mwisho wa Kufurahi kwa hiyo Timu na Mashabiki wao ukawa ni Weekend ijayo ( hii ya sasa ) na baada ya hapo Kununa (kwa Kufurumushwa kabisa Michuanoni ) Kukaanza ama kutokea Sudan au Ethiopia.
Mh Mchengerwa ameagiza BMT kuchunguza kichapo cha Taifa Stars huko Uganda , ambako walitupwa nje kabisa ya michuano ya CHAN , na pia Mwakinyo ametakiwa kuchunguzwa kutokana na kupoteza pambano...
Watani wa jadi huko Amerika ya kusini, wanakutana leo hii, game linapigwa saa 23:00/saa tano kamili za usiku
Boca Juniors and River Plate
Estadio Alberto Jose Armando, Ciudad de Buenos Aires...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.