Huu ni mpira,
Hii ni soka,
Hii ni Derby.
Mbona hamjawahi kuwakamata wanaosema "timu yangu ikifungwa mnikate kichwa?
Maneno makali,
Maneno ya kukera,
Ndio Utamu wa derby.
PIA SOMA
- Polisi...
Habar mwanajukwaa
Ukikaa na baadhi ya mashabiki wa simba wanakwambia jana wamecheza mpira hasa ile dakika za mwanzon kabla ya kula chuma 2.
Ila pia wanasema wamecheza sana Mpira Second half na...
Kwanza niwapongeze kwa kipindi chote hicho cha uwongozi wenu enyi viongozi wa Simba.Mliitoa Simba Shimoni(kutokuwa maarufu na tishio) hadi kuifanya timu maarufu Afrika kwa hatua mbalimbali...
Inawezekana wachambuzi, mashabiki wa Simba na wadau wa soka wanaiona Simba ni mbovu ila upande wangu naona Simba inaonekana ni mbovu kwasababu inalinganishwa na Yanga. Yanga msimu ni timu bora na...
Huu utitiri wa mashindano hauna afya, mwakani Yanga na Simba (au azam) zitashiriki
1. Caf ligi ya mabingwa
2. African Super league
3. Ligi kuu bara
4. Ligi ya muungano
5. FA
6. Mapinduzi cup
7...
Wajuzi wa Soka hebu tupeni kilichotokea CAF. YANGA baada ya kufungwa na Mamelodi ktk Robo Fainal hawakuridhika na kuamua kupinga Uamuzi wa Refa wa kukataa Goli alilofunga Aziz Ki na kukata rufaa...
Mimi siupendi uongozi wa Mangungu hata kidogo, cmpendi pia Try Again wala Ceo Iman Kajula.
In a nutshell, wameshindwa kuleta furaha Simba na hawastahili kuendelea kutuongoza kabisa kabisa...
Usiku wa kuamkia leo kulikuwa na pambano Kali la ngumi Kati ya Ryan Garcia na Devin Haney pambano ambalo Davin aliangushwa chini mara 4 huku akichezea kichapo kikali,
Kumbuka Davin ni bondia...
Braza,
Wewe ni mchezaji mkubwa.
Wewe ni Maestro. Lakini bàadhi ya vitendo unavyofanya uwanjani haviendani na ukubwa wako. Kitendo ulichofanya Jana dhidi ya Kibabage si cha kiungwana, si cha...
Juxi asbh nilikuwa airport kuchykua maokoto ya moja ya tax yangu
Huwa napenda kukaa na madreva tukapiga story
Mmoja a .madreva akaniambia unamjuaaaa......Ry wa Simba yes
Nimemchukua tukaendaa...
Tukielekea mechi ya watani 20 apr yanga atashinda kuanzia 2+ FT KUANZIA KOLI 3+
Mechi itakuwa ngumu kipindi cha kwanza cha pili magoli yatakuwa ya kutosha
Wafungaji wa yanga kati ya
Mzize...
with how guede and gamondi plans works. don't waste you hard earn money kwa hii game.
1. GAMONDI WILL DISAPPOINT YOU.
amini atakuja na plan mbovu . unbelievable plans. with guede up front...
Gamondi ball is terrible, 🚮Yanga players are disjointed, very terrible game play, caf champions league. wanaenda kutalii. they don't have a team. truth to be told
PREDICTION GAMONdi OUT BY FEBRUARY
... [emoji408] 𝗕𝗔𝗗𝗢 𝗞𝗜𝗗𝗢𝗚𝗢
Bado kidogo Yanga SC waivunje rekodi yao wenyewe ya kutwaa Ubingwa mara (3+) mfululizo katika awamu (4) tofauti.
Tangu ligi kuu Tanzania bara ianzishwe, Yanga SC ndio...
SIMBA sasa acheni kujifananisha na Yanga.
Munafosi sana tufanane ila tumewazidi mbali sana kwa ubira.
Tumechukua pointi 6 kwa kuwafunga jumla ya gori 7 nje ndani.
Hivi ni kwa nini mlitamba eti...
Wachezaji mapro wamebadili sana soka safi kuwa la kuonekana na kuvutia.
Focus ya mchezo imekuwa ni matokeo kwa timu na sio mbwembwe za kishamba za anaoanao.
Soka safi la kisayansi la kitabuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.