Ukipita huku unasikia ya timu kongwe zaidi katika taifa hili kuanza msimu mpya wa ligi bila jezi mpya, mara paaap uteuzi wa C.E.O mpya wa klabu fulani huko mjini waibua mzozo mkubwa huko twitani...
⚽️ Mabingwa watetezi Simba 🦁 wanafungua dimba la ligi kuu dhidi ya wageni Ihefu, mnyama atashinda ngapi leo? Simba kushinda ni uhakika
Bofya Parimatch kucheza sasa
Sababu hizi hutoweza kuzisikia kwa Senzo wala MO mwenyewe. Labda wawe wamelewa ndo wanaweza kuropoka, lakini sio wakiwa wazima na akili zao. Hii ni kutokana na Jinsi sababu yenyewe ilivyokaa...
Tokea mwanzo mimi nilisema ' kina Kilomoni hawako sahihi kubania nyaraka za mali za Simba lakini potelea mbali, if I had to choose I'd choose the lesser evil of not letting Dewji anywhere near...
Na hivi Watangazaji wake Waandamizi akina Maulid Kitenge na Yusuph Mkule bila kuwasahau na 'Wanafiki' wao wakubwa Kiutangazaji akina George Job na Musa Kawambwa kwa pamoja wote wakiwa Mashabiki wa...
Msimu uliopita tuliona kwenye mechi 2 za kwanza alience walimfukuza kocha
Mechi ya tatu mbao wakamfukuza kocha
Mechi ya 6 utopolo wakamtimua zahera
Mechi ya 7 simba wakamalzana na Ausem
Tupia...
Nawasalimu waungwana na wapenda maendeleo ya mpira wa Tanzania.
Mimi ni moja ya wadau ambao nilipongeza sana uamuzi wa klabu yetu ya Simba kubadili mfumo wake wa uendeshaji ili kujiendesha...
Kumekuwa na sintofahamu ndani ya uongozi wa Simba baina ya Mwekezaji Mohammed Dewji ambaye ndiye Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na Mwenyekiti wa klabu ya Simba Swedi Mkwabi
Taarifa za ndani...
Leo kutakuwa na interview kubwa kabisa itawakutanisha miamba mitatu kwenye sport na music kwa pamoja Msanii number 1 wa Tanzania, Msemaji no 1 wa mabingwa Simba sports club na Tajiri Mohamed (mo)...
Kwenye jezi mpya za Simba kuna haya maneno 'Mo Simba Foundation', pia kuna Mo Simba Arena(uwanja wa mazoezi)
Kwa mnaofahamu, hizo project binafsi za Mohamed Dewji au ni za Simba kama Club?
Halafu tukiwa tunawasema hapa hapa kuwa Yanga SC kuna 'matatizo' makubwa hasa kupitia Viongozi wake na Wafadhili huwa mnadhani GENTAMYCINE kwakuwa ni Simba SC basi nakuwa nawaonea na Kuwaandama...
Lekaga gete, nahene milimo.
Mlimpola bhagosha bhane!
Shalom!
Mpaka sasa hakuna anaeweza kuthibitisha kuwa MO amesha weka ile bilioni 20 kwenye account ya simba au Ile ya kampuni,sidhani hata BMT...
Menejimenti ya Klabu ya Simba kupitia kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Mohamed Dewji imemtangaza Barbara Gonzalez kama Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo
Barbara anachukua nafasi ya Senzo...
Kombe analokabidhiwa Bingwa wa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON limeripotiwa kuibiwa kutoka makao makuu ya Chama cha Soka cha Misri, EFA
Makamu wa rais wa zamani wa EFA, Ahmed...
Wakuu samahani nilikuwa naomba kujuzwa ni mchezo Upi kati ya karate na boxing mzuri kujifunza tukianzia kwenye urahisi wa kujifunza , mitindo ya kuicheza ,mazoezi na kwny self defence upi ni mzuri...
Sanchez: Nilitaka kuondoka Man Utd na kurudi Arsenal baada ya kufanya mazoezi siku ya kwanza.
Mshambuliaji wa kimataifa wa Chile, Alexis Sanchez amekiri kuwa alitaka kuondoka Manchester United na...
Club ya Simba imechelewa sana kuwa na Duka la Club na hasa ikizingatiwa club ipo kwenye very stragic area for business. Cha kufanya sasa ni kuondoa hizo frame za watu binafsi na kuanzisha duka la...
Hakika inasikitisha sana TFF na Klabu zetu zinapowatelekeza Wachezaji wake walioliletea Taifa na Vilabu zetu wakati wanacheza mpira.Mchezaji Allan Shomari alikuwa Mchezaji mahiri wa Klabu ya Yanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.