Wakuu Salaam;
Klabu ya Yanga imetangaza rasmi kua imemfuta kazi kocha wao Zlatko Krmpotic. Hata hivyo Yanga SC hawajatoa sababu yoyote ya msingi ya kumfungashia virago kocha huyo.
Nini maoni...
Wakati dirisha la usajili likikaribia kufungwa huko barani ulaya kumekuwa na habari mbalimbali zikiendelea lakini kubwa ni winga wa Borrusia Dortmund Jadon Sancho akihusishwa na kujiunga...
NIMEONA KUKAA KIMYA SIYO BUSARA SANA NAOMBA NA MIMI NIJARIBU KUSAIDIIA KWENYE HILI,
Picha ambazo zinaonekana hapo chini za Bernard Morrison ambazo walipost simba sports club kabla ya kesi...
RASMI: Kocha mpya wa klabu ya Yanga ni Zlatko Krmpotic, raia wa Serbia ambaye ameingia makubaliano ya mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo. Kocha huyo anatarajiwa kuwasili kesho jijini...
Miaka ya nyuma hawa jamaa walokuwa balaa kiwanjani wakilisakata gozi la ng'ombe,kwa uchache (waweza ongezea):
Ubwa Makame 'Mzungu'
Leonard William
Juma Mkambi 'Jenerali'
MohamedBakari 'Tall'...
Moja kati ya watu niliofurahia kusikia wanasajiliwa Yanga ni Faridi Musa. Ila nashangaa toka ligi ianze amecheza mechi moja tu. Mechi zingine zote haonekani hata benchi. Je, anashida gani?
Hakuna haja ya kumgombania Morrison mmoja...
Nachoamini vilabu vyetu vikubwa hapa nchini vinakosa scouting nzuri za kuibua vipaji maridhawa kutoka hapa hapa nchini.
Yanga bwanaa
Au kisa Ni ile...
TIMU ya Barcelona iliwasili juzi usiku mjini London kwa ajili ya kukabiliana na Manchester United katika mechi ya fainali ya kuwania ubingwa wa Ligi ya Mabingwa barani Ulaya siku ya Jumamosi...
Hii akili ya wapi? Ni akina nani wanamtuma Kubwa Jinga Mwakalebela kwa suala la Morrison?
Yanga wamepita wachezaji wangapi wakaondoka team ikabaki? Kwa nini Morrison anaonekana kututesa sana...
Game ngumu kwa kila timu, magoli ya kubahatisha huku wakibebwa na waamuzi, hawana uhakika kesho itakuwaje, kipigo cha mbwa mwizi bado kipo kichwani, hivyo wanaona ni bora wapigane.
Ni kama...
CHELSEA 6-0 BARNSLEY, League Cup: Post-match reaction
Uwekezaji wa £89M ilikumnasa Kai Lukas Havertz umeanza kuzaa matunda. Kijana ameanza ku adapt baada ya kutupia brilliant hat-trick...
Je, anayoiongoza Yeye ni Young Africans kama aliyokuwa akiitaja leo au ni Yanga African au ni Yanga Sports Club au Dar es Salaam Young African?
Kisha akishamaliza 'Kunijibu' hili namwomba pia...
Wadau wa JF,
Habari ndugu zangu, kwanza kabisa nawapongeza taifa kwa kwenda kushiriki afcon 2019 nchini Misri japo kimazabe.
Leo nimemsikia Samatta akisema wanaenda kucheza michuano hiyo kwa...
Wakati nikikua mchezo wa kuruka kwa upondo na ule wa kuruka kawaida sambamba na mchezo wa kurusha mkuki na vitu vizito ilikuwa inafanyika na watu walikuwa wanafanya vizuri.
Ukizingatia kwamba...
Mwakalebela na kundi lao miezi mitatu iliopita walituambia tunaenda "CAS" kuhakikisha kuwa Morrison anarudishwa yanga.Chaajabu Leo wamerudi Tff tena.
Hivi Leo mwakalebela amesahau njia ya kwenda...
Kumekuwa na tatizo la mashabiki kupigwa uwanjani hasa wa Simba waingiapo mechi za Yanga. Kuhusu uchunguzi wa sababu za vurugu hizo TFF anzieni hapa.
1/Wapo mashabiki wa timu moja ni wakorofi sana...
Wadau wa michezo toka enzi na enzi tunataniana na si kuvuka mipaka ya kuanza kutafutana matawi na kuanza kubomoleana vizimba vya matawi. Toka muda mrefu nimemfuatilia msemaji wa Simba kwa kauli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.