Nianze Kutoa Pongezi kwa Ndugu Maxence Mello kwa Kuanzisha Mtandao huu miaka 10 iliyopita amethubutu na ameweza japo huu mtandao unachangamoto and it is believed that ni Wa wasomi tuu it is true...
Samahani na poleni na majukumu ya hapa na pale,
Mwenzenu hapa ni mwanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha,mwaka wa mwisho...
Ombi langu kwa yeyote ambaye anaweza kunisaidia naomba anisaidie...
Kati ya asilimia 5 na 10 ya watu ambao wamekaa muda mrefu bila kuajiriwa huondoa habari kuhusu shahada za chuo kikuu na habari za ujuzi wao wanapotuma maombi ya kazi, kwa sababu habari hizo...
natafuta kazi inayohusiana na kilimo, elimu yangu ni stashahada ya kilimo na mifugo yaani (diploma in general agriculture). kwa sasa napatikana mbeya lakini nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote...
-Nina elimu ya stashahada(diploma) ya kilimo na mifugo.....ujuzi wa kutumia computer vizuri
-Experience ya miezi saba kwenye kampuni ya uzalishaji wa parachichi....
-nipo Mbeya na nipo...
Wakuu,sijui niseme ndio nimepishana na gari la mshahara au vipi?nilikua town kwenye mishe zangu na nimekuja kukuta missed call ya hyo number,inaweza kuwa ni ya kampuni gani wakuu?
Sauda mschana wa miaka 22, ana elimu ya kidato cha NNE ana certificate ya journalism. Anatafuta kazi za kuuza duka, za ndani,za migahaw nk.Mawasiliano
0686051520
VACANCIES ADVERTISEMENT
UNITEC civil Consultants Ltd is a Consulting firm registered with the Engineers Registration Board (ERB) specializing in Civil, Structural Engineering, Project Management...
Mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu ana kampuni inayojishughulisha na kuwatafutia mabinti wa kitanzania kazi za ndani Uarabuni. Anadai anatekeleza ahadi aliyotoa wakati wa uchaguzi 2010 kuongeza ajira...
habari wana jf wenzangu,,,!natafta kazi ya clinical assistant katika hospital ,dispensary au kituo cha afya chochote!kwa anayefaham naomba anisaidie kunfahamisha tafadhali
JOB VACANCY
Description
OMROS Technologies Ltd is a fast growing IT Company based in Dar es Salaam, Tanzania that combines an array of advanced services and expert technical resources with a...
Naomba mwenye kujua hili anijuze.
Taasisi za serikali mfano Kibaha Education Centre,Udsm,Udom,Taasis ya elimu ya watu wazima,n.k ukiajiriwa na mojawapo mfano una bachelor ya ualimu na unaenda...
Hivi hizi nafasi ziliishiaga wapi? Mana mpaka leo kimya!! Hizo nafasi hawakuzitoa ktk tangazo lao la usaili, alaf mpka Leo hakuna maelezo yoyote kutoka kwao. Ajira za tz!!! Mmh!!! Taasisi ya umma...
Ndugu zangu naomba kuuliza, hivi inachukua muda gani toka mtu anapopigiwa simu ya kufaulu usaili mpaka anapoenda kuanza kazi??
Kuna ndugu yangu alipigiwa mwishoni mwa mwezi Wa 5 kuwa amefaulu...
VACANCY ANNOUNCEMENT
Background of the Company
Microf is a company limited by Guarantee operating in Tanzania since February, 2015. Our vision is to become the centre for microfinance...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.