TANGAZO LA AJIRA YA MUDA - AFISA MAWASILIANO (9)
1. UTANGULIZI
Jamii Media ni Kampuni gwiji inayojishughulisha na taarifa na habari kwa kupitia Mitandao ya Kijamii. Kampuni hii inachochea Uhuru...
Msaada wanajamii..
Nina diploma ya Journalism natafuta mchongo mkoa wowote. Kama kuna mtu anaweza kunisaidia au unafahamiana na mtu mwenye nafasi hiyo plz do it.
My e-mail: stuntm36@gmail.com...
Ndugu zangu, mimi mbele yenu ni kijana wa miaka 31 najitokeza mbele yenu kupata msaada wa ushauri au connection.
Mimi ni mwalimu by profession ,nimefundisha kwa miaka 7 sasa .
Nina degree...
Nina uzoefu wa kufanya kazi za research.Mwenye kujua taasisi wanazotaka vijana wachapa kazi kama mi anijuze au kuniunganisha.
Mtaani pagumu.Nilishafanya synovate.Pia za saba saba.
Please contact...
Nafasi Ya kazi Bloggers
Mtandao wa Makubwa haya blog unapenda kuto fursa kwa Vijana wa 5 kwa Kazi ya ya kublogisha.
Makubwa haya Blog
Ni mtandao ambao unapatikana Tanzania, lakini unatoa...
Natafuta marketing agents,, wawe na vigezo vifuatavyo
1.Awe amemaliza form six na anajua kutumia lugha ya kiingereza na Kiswahil
2.Awe mchangamfu,, mwenye lugha za biashara ya ushawish na...
Natumaini amjambo humu ndani wasaka tonge wenzangu, samahani wadau naombeni mnielekeze makao makuu ya sido kwa hapa dar es salaam nina shida ya kwenda huko.
Ndugu zangu wana jamii, mh. Magufuli amesitisha ajira mpya kwa miez 2 zaidi, pia amesitisha upandishaji vyeo na madaraja kwa watumishi kwa muda tajwa hapo juu, uamuzi ni mpaka tatizo la watumishi...
S&E HEALTH SOLUTIONS ni project inayojishughulisha na utoaji wa elimu na ushauri wa Afya, Urembo Na Vipodozi kwa jamii zote za Tanzania .
Kwa sasa inahitaji wasichana watatu (3) kwa ajili ya...
Natafuta binti aliyemaliza form 4 na computer course wa kufanya Kazi kwenye stationery yangu ndogo awe ana vigezo vifuatavyo.
1.Awe anaishi Temeke.
2.Muaminifu
3.Speed ya typing (lazima)
4.Ajue...
Job Vacancy
About the company:
Serengeti World Mover is the Non-governmental organization located in the village of Mugumu in Serengeti, Mara region in Tanzania. The NGO was officially...
NAFASI YA KAZI TANZANIA EWURA CONSUMERCONSULTATIVE COUNCIL-DAR ES SALAM MWISHO TAREHE 24 JUNE 2016.
Minimum Qualifications, Experience:
• Form IV Secondary School certificate with passes in...
Anahitajika sales person mwenye vigezo vifuatavyo kwa ajili ya kuuza/kusambaza maji ya chupa. Ofisi ni Nyegezi Kona.
1. Atleast awe amemaliza form six.
2. Mwenye kujiamini na mchangamfu.
3...
Napenda kazi ya hoteli hivo mwenye kujua mahari kuna nafasi ya kazi anielekeze_________
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Musamaganga45@gmail.com
Or
mussatendeli@yahoo.com
Nimeona tangazo la ajira za tazara zikiwemo za huko zambia, ila nilitaka kupiga simu niwaulize baadhi ya mambo ili nijue kama naweza kuaply hasa zile za vituo vya kazi zilizo zambia lakini sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.