Habari wana Jukwaa!
Anahitajika Mwalimu wa English katika Shule ya DECENT SCHOOL . Shule ipo Mwenge karibu na ITV. Mwenye uhitaji fika DECENT SCHOOL -Mwenge ukiwa na CV+Cover letter.
Mwalimu ni...
Mwalimu wa Kis/Geo mwenye taaluma ya stashahada au shahada anahitajika haraka iwezekanavyo.
Shule ni ya binafsi(sekondari) ipo mkoani Singida.
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa namba...
Habari!
Naitwa mwalimu Mtunia S.M nimemaliza chuo mwaka jana bachelor of education hivyo natafuta kazi ya kufundisha secondary O- level au A-level mahali popote.
Contact; 0718230330
Aksanteni.
Halo JF, Mimi ni mwalimu wa somo la Food and Human Nutrition (Chakula na Lishe), naomba kujua jinsi nitakavyopata Ajira kufundisha somo hili kwa sababu somo hilo huwa halipo kabisa kwenye OTEAS...
TANGAZO LA AJIRA:
Mwalimu wa Pure Maths na Physics anahitajika...
Mshitue atume CV na Vyeti kwa What's app'
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 14/9/2018
Kipaji na uzoefu ni sawa cha msingi...
Kwema wakuu???
Habarini na poleni na majukumu....
Naomba kujuzwa kama kuna shule ina nafasi baada ya hizi ajira kutangazwa....
Mie sijabahatika kupata sijajua sababu ni nini ..
Elimu_-Bsc with...
nafuta kazi ya uwaalim wa geography na history . Mi ni degree holder nina uwezo wa kufundisha ngazi zote from primary to secondary advanced level . Nipo dar my contact 0713586966 or 0659462262 or...
Shule ipoo mto wa mbuu barabaraa ya kwendaa kwa babu Wa loliondo shukiaa kituo kinachofahamikaa kama kona engarukaa. Day and boarding school.
Ada zetu ni nafuu na form znapatikanaa ofisini...
Waziri wa Uchukuzi,Dk Harrison Mwakyembe. Picha na Maktaba.
KWA UFUPI
Akizungumzia na watendaji wa Rahco na mwekezaji, aliyekodishwa eneo hilo, Mkurugenzi wa Kampuni ya Monaban , Phillemon...
Habari jamii forum,
Kama kichwa cha Habari kinavyo sema mimi ni mhitimu chuo cha SUA mwaka 2016 bsc environmental sciences and management sijapata kazi na msoto mtaani unaendelea kuwa mkubwa...
Wasalaam,
Ndugu zanguni ni mwaka wa saba sasa natafuta kazi bila mafanikio.
Niliomba kazi kila mahali lakini sijafanikiwa. Nikajaribu kuwaomba maboss mbalimbali lakini niliambulia kuombwa...
habari zen ndugu zangu! ni mdada wa miaka 26 sasa jamani tangia nihitimu chuo mwaka juzi july mpaka leo cjapata kazi wallah! nafanya application ziczo na kikomo yanni lkn wap! nimejitolea sehemu...
Habarini wanajamvi, Mimi ni msichana natafuta kazi ambayo ni halali itakayoniingizia kipato, Nina degree ya procurement and logistics management.. Kwa mwenye kuweza kunisaidia au anaitaji maelezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.