Natafuta kazi yoyote inayoweza kuniingizia kipato baada ya kupata misuko suko kwenye biashara zangu. Nilikuwa nimewekeza katika kilimo cha mahindi huko Tanga lakini mambo yameenda mrama baada ya...
Nimemaliza degree ya procurement and logistic management (2012-2015) tia,tanzania institute of accountancy. Nimetafuta ajira kwa mwaka mzima sijapata (watoto wa mjini wanaita kusanda).rasmi sasa...
President wa Tz Magufuli amewaonya wananchi wa Kenya kuacha kujisifia kwa miradi ya nchi jirani inayojengwa na ikikamilika wanapiga picha na kujisifia kuwa iko kenya,, kasema ukiona uzuri wa...
Habari ndugu jamaa na marafik. Tunajua humu JF kuna watu mbalimbali wenye maofisi binafsi wengine wafanya biashara wakubwa, napenda chukua fursa hii kwa kuomba wote wenye kuguswa na hili plsss...
Ndugu wanajukwaa ninaomba kazi kwa yeyote mwenye uhitaji wa fundi,nifundi muaminifu na mjuzi wa kutosha,ninauwezo kufanyakazi hata mikoani,ninauwezo ktk kuandaa mchoro wa ramani ya ujenzi,lakini...
Kuna tangazo la tender nimeliona sehemu kuna tender za electrical equipments,books,desk,beds,I'd cards,T-shirt printings n.k kwa makampuni yaliyosajiliwa kwa mawasiliano na kupata tender notes...
Hii ndiyo full list ya mashirika na taasisi za umma na binafsi ambazo graduates wengi wa kibongo hutamani kufanya kazi pasipo kujua kuna vijikampuni na vitaasisi vidogo ambavyo vinalipa mkwanja...
Sifa za mwambaji
Awe mkazi wa Mwanza (Nyamagana / Ilemela)
Awe na elimu ya kidato cha NNE
Awe na spidi ya Ku type
Awe msichana
Umri miaka 16-24
Tuna Maombi kupitia email
Joyceissack@gmail.com...
Natanguliza salaam,
Kijana mwelewa,msikivu, mbunifu na mchapakazi mwenye uzoefu wa kilimo (anae jua kulima) anahitajika
Awe tayari kukaa huko huko shambani, shamba lipo karibu na bagamoyo
Kula...
guys usichezee bahati hamka na ushindi wa USD 20000++ NA JAPAN CAR. ingia hapa na bofya link
CAR FROM JAPAN : Car Giveaway Summer 2016 - A chance to win a free car
Bungeni Leo 13/09/2016, naibu waziri TAMISEMI amesema serikali inampango wa kuwapa mafunzo ya muda mfupi watu wenye degree za science (ambao ni non teaching professionals) ili waajiliwe Shule za...
Nna elimu ya kidato cha nne,, proffessional carrier yang ni Secretary,,, pia nlisoma full hotel management nna experience ya miaka 2,, kwenye (usecretary)kama kna nafas mahali mni pm watu wang wa...
National Bank of Commerce (NBC) – Dar es Salaam, Tanzania
Job Description
1.Head of Balance Sheet Management
Education and Experience Required
– Bachelor’s Degree
– More than 5 years banking...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.