mdogo wangu kaaply kazi huko zoomtanzania ..kwenye e mail katumia hii e mail na wanatakiwa wacangie elfu 20.. je kuna ambaye ameshakutana na hii kampuni before? vipi uhalisia wake? nauiliza sio...
Habari jamani natafuta Mfanyakazi wa salon awe mwanamke/mwanaume awe mtaalamu wa mambo yote ya salon
Ajue kusuka, kushonea na kubond weaving aina zote, kuset na kubana style zote n.k
Kwa yeyote...
Wakuu habari za wakati huu,
Nirejee kwenye kichwa cha habari, mimi nimuhitimu wa kidato cha sita na nimepitia mafunzo ya jeshi la kujenga Taifa (JKT) Mujibu wa sheria, kutokana na hali mbaya...
kampuni medium size, iliyosajiliwa Brella, CRB na TRA yenye uzoefu wa kutosha kwenye shughuli zilizoonyeswa na nyinginezo inatafuta mbia kwa njia yoyote ikiwemo mkataba wa kufanya kazi na dalali...
Requirements:
At least a Diploma in Accountancy, Financial Management, Business Administration and/or related discipline
Job Description:
Maintain relevant books of accounts along with...
POLENI KWA MIHANGAIKO YA HAPA NA PALE, JAMANI MM NIPO MAFINGA IRINGA KWA SASA, NIMECHEKECHA AKILI HARAKA HARAKA NIMEGUNDUA NINAPOISHI KUNA RASIMALI NYINGI YA KUNI, OMBI LANGU KWENU NAOMBA KAMA...
Nawasalimu wote, jamani kuna business opportunity meeting inafanyika JB Bellmont tar 15 Aug 2013 card ninazo kama unaitaji wasiliana nami kwa namba hii 0754/0715 297298.
Sent from my BlackBerry...
Niwasalimu wana bodi..
Ni w'kend hii ambapo nilikuwa na mazungumzo na rafiki yangu mmoja ambae tumemaliza nae chuo mwaka jana.
Jamaa bado hajapata ajira na haoni ayo matumaini kwani anatumia...
Wakuu.
Kuna watu ambao wanataman kuwekeza katika kilimo ila kutokana na majukumu mengi wanashindwa kusimamia, mimi napenda kuwasaidia watu wa namna hiyo, ni hivi kila ekari unanipa tsh lak 4...
Jamani habarini,naomba mwenye majibu ya hiyo shda yangu please kwani lengo nijaribu kuomba walau internship maana hal ni mbaya jamani,so kama una ndugu,jamaa au rafik ukini link nae itakuwa powa...
nimemaliza ..bachelor ya guidance and counselling..mwaka huu...nahitaji connection walau nipate hata N.G.O ya kufanya kazi ili nipate experience kwanza..jaman..mwene kufaham tujuzane..tanzania sis...
Guardian Newspaper
Christian Social Services Commission (CSSC) is an ecumenical body established in 1992 by
Tanzania Episcopal Conference (m) and Christian Council of Tanzania (CCT) to facilitate...
Watu wote waliokuwa wamefanya usaili kwa ajili ya ajira serikalini kupitia Sekretarieti ya Ajira ya Utumishi wa Umma kabla ya ajira kusimamishwa, watafutwa ndani ya miezi 6 na kulazimika kuomba...
Ndugu zangu.
Nnatafuta kazi ya utengenezaji wa mashine za maofisini na stationary: Photocopy machine, printer, computer, scanner, lamination and fax.
Nimesomea VETA Chang'ombe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.