Kwanini PSSR siku hizi wanaita watu kazini kwa awamu, badala ya kuita wote kwa mkupuo kama ilivyozoeleka?
Yaani mfano, tumeomba kazi mwezi wa 5 mwaka jana, tukaitwa interview mwezi wa kwanza na...
Sifa za waombaji,
1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.
2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)
3. Awe mkazi wa dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele.
4. Awe...
Hata kama ni jobless, bado maisha inabidi yaendelee. Pengine muda huu, kuna jobless wa Mungu anakaribia kukata tamaa au ameshakata tamaa kwa sababu hajui afanye nini au mishe mishe gani kusukuma...
Habari Wana JF Ni matumaini yangu mnaendelea vizuri,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natoa huduma ya kuangalia nyumba au watoto endapo muhusika amepata udhuru au kwa sababu zingine...
Wakuu habari,
Nimegraduate Bachelor of Science in Forestry 2022, na kwa sasa nipo Dodoma najitafuta.
Natafuta mtu yeyote anaeweza nisaidia kupata nafasi ya kufanya Internship kwenye ofisi ya...
Wakubwa poleni na majukumu mbalimbali, hata wale mashabiki wezangu poleni pia.
Niende direct kwenye uhitaji wa msaada wangu. Nimekuwa mfuatiliaji na mtafutaji wa haya maisha yetu.
1. Nina shida...
General
Description of assignment title: Communication Associate
Assignment country: United Republic of Tanzania
Expected start date: 05/01/2024
Sustainable Development Goal: 17. Partnerships...
Job description
The Department of Geography in collaboration with the University of Cape Town’s Environmental Humanities South (EHS) is implementing a four-year research project namely: Critical...
Manager – Tax & Regulatory Services
KPMG is a global network of professional services firms providing Audit, Tax and Advisory services. Our purpose is to inspire confidence and empower change. We...
Contracts and Compliance Administrator – KPMG Tanzania
KPMG in Tanzania is part of a global network of independent KPMG Firms that offers Audit, Tax, Advisory services. Through the talent of our...
G E N E R I C P O S T D E S C R I P T I O N
SECTION 1
VN IOM/DAR/026/2024
Position Title Migration Health Physician (Health Assessment Programme)-1 Position
Position Grade NO-B
Appointment Type...
Habari zenu wakubwa kama heading inavyoelezea hapo nahitaji mtu mwenye account ya bolt ya gari ambae haitumii kama atakua tayari kuniuzia anichek inbox tuyajenge
Habari za asubuhi Wana jamiiforums, Nimatumaini yangu muwazima wa afya.
Wakuu mimi ni afisa tabibu yaani clinical officer ninafanya kazi katika kituo x cha afya cha private na Sina mkataba wa...
Habari wakuu, nauliza kama kuna mtu yeyote ambae amewahi kutumia platform ya Linkedin kupata kazi.
Nauliza kwa sababu ni app ambayo ndiyo hasa inabeba jukumu la kutangaza na kutafutia kazi.
Watu...
Ofisi inajihusisha na ujasiriamali wa kuuza Series/movies kwa watu majumbani.
Anahitajika kijana mwenye uzoefu na kazi ambae ameshawahi kuifanya na mwenye uzoefu nayo.
Lakini kwa ambae anajua...
Kama kichwa Cha habari tajwa....
Sifa nlizonazo
a)Dereve wa Gari zote( kubwa na Ndogo) kama mabosi wa
Magari mpo humu nawakaribisha
b)kama wewe ni Dereve unahitaji conductor pia nipo tayari...
Habari za Asubui wana JF,
Naomba kuleta mada kwenu kuhusu haya mashirika ya kigeni yanayojiita ya kusaidia binadamu (humanitarian) au kujiita mashirika ya kimataifa yasiokuwa ya kiserikali...
Retail Sales: Earn 90,000tshs for selling 24 cans at retail price.
Wholesale Sales: Earn 120,000tshs for selling 60 cans at wholesale price.
Requirements:
No Prior Experience Needed
Training and...
Habari za wakati huu!!
Mimi ni muhitimu wa:
1)Ngazi ya DIPLOMA in Civil Engineering mwaka 2018
2)Ngazi ya BACHELOR in Civil Engineering mwaka 2022
✓chuo cha MUST.
✓ Uzoefu wa miaka 3+
NATAFUTA...
About us
From Arthur Guinness to Johnnie Walker, our business was founded on people of great character, and in 250 years, nothing’s changed. We’re the world’s leading premium alcohol company. Our...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.