Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Kwanini PSSR siku hizi wanaita watu kazini kwa awamu, badala ya kuita wote kwa mkupuo kama ilivyozoeleka? Yaani mfano, tumeomba kazi mwezi wa 5 mwaka jana, tukaitwa interview mwezi wa kwanza na...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Sifa za waombaji, 1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30. 2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy) 3. Awe mkazi wa dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele. 4. Awe...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Hata kama ni jobless, bado maisha inabidi yaendelee. Pengine muda huu, kuna jobless wa Mungu anakaribia kukata tamaa au ameshakata tamaa kwa sababu hajui afanye nini au mishe mishe gani kusukuma...
54 Reactions
551 Replies
36K Views
Habari Wana JF Ni matumaini yangu mnaendelea vizuri, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natoa huduma ya kuangalia nyumba au watoto endapo muhusika amepata udhuru au kwa sababu zingine...
1 Reactions
9 Replies
332 Views
Wakuu habari, Nimegraduate Bachelor of Science in Forestry 2022, na kwa sasa nipo Dodoma najitafuta. Natafuta mtu yeyote anaeweza nisaidia kupata nafasi ya kufanya Internship kwenye ofisi ya...
1 Reactions
22 Replies
654 Views
Wakubwa poleni na majukumu mbalimbali, hata wale mashabiki wezangu poleni pia. Niende direct kwenye uhitaji wa msaada wangu. Nimekuwa mfuatiliaji na mtafutaji wa haya maisha yetu. 1. Nina shida...
2 Reactions
17 Replies
573 Views
General Description of assignment title: Communication Associate Assignment country: United Republic of Tanzania Expected start date: 05/01/2024 Sustainable Development Goal: 17. Partnerships...
0 Reactions
1 Replies
91 Views
Job description The Department of Geography in collaboration with the University of Cape Town’s Environmental Humanities South (EHS) is implementing a four-year research project namely: Critical...
1 Reactions
2 Replies
104 Views
Manager – Tax & Regulatory Services KPMG is a global network of professional services firms providing Audit, Tax and Advisory services. Our purpose is to inspire confidence and empower change. We...
0 Reactions
1 Replies
74 Views
Contracts and Compliance Administrator – KPMG Tanzania KPMG in Tanzania is part of a global network of independent KPMG Firms that offers Audit, Tax, Advisory services. Through the talent of our...
0 Reactions
1 Replies
69 Views
G E N E R I C P O S T D E S C R I P T I O N SECTION 1 VN IOM/DAR/026/2024 Position Title Migration Health Physician (Health Assessment Programme)-1 Position Position Grade NO-B Appointment Type...
0 Reactions
1 Replies
114 Views
Habari zenu wakubwa kama heading inavyoelezea hapo nahitaji mtu mwenye account ya bolt ya gari ambae haitumii kama atakua tayari kuniuzia anichek inbox tuyajenge
0 Reactions
4 Replies
319 Views
Habari za asubuhi Wana jamiiforums, Nimatumaini yangu muwazima wa afya. Wakuu mimi ni afisa tabibu yaani clinical officer ninafanya kazi katika kituo x cha afya cha private na Sina mkataba wa...
6 Reactions
26 Replies
767 Views
Habari wakuu, nauliza kama kuna mtu yeyote ambae amewahi kutumia platform ya Linkedin kupata kazi. Nauliza kwa sababu ni app ambayo ndiyo hasa inabeba jukumu la kutangaza na kutafutia kazi. Watu...
6 Reactions
127 Replies
13K Views
Ofisi inajihusisha na ujasiriamali wa kuuza Series/movies kwa watu majumbani. Anahitajika kijana mwenye uzoefu na kazi ambae ameshawahi kuifanya na mwenye uzoefu nayo. Lakini kwa ambae anajua...
9 Reactions
60 Replies
1K Views
Kama kichwa Cha habari tajwa.... Sifa nlizonazo a)Dereve wa Gari zote( kubwa na Ndogo) kama mabosi wa Magari mpo humu nawakaribisha b)kama wewe ni Dereve unahitaji conductor pia nipo tayari...
4 Reactions
29 Replies
440 Views
Habari za Asubui wana JF, Naomba kuleta mada kwenu kuhusu haya mashirika ya kigeni yanayojiita ya kusaidia binadamu (humanitarian) au kujiita mashirika ya kimataifa yasiokuwa ya kiserikali...
9 Reactions
34 Replies
2K Views
Retail Sales: Earn 90,000tshs for selling 24 cans at retail price. Wholesale Sales: Earn 120,000tshs for selling 60 cans at wholesale price. Requirements: No Prior Experience Needed Training and...
0 Reactions
1 Replies
140 Views
Habari za wakati huu!! Mimi ni muhitimu wa: 1)Ngazi ya DIPLOMA in Civil Engineering mwaka 2018 2)Ngazi ya BACHELOR in Civil Engineering mwaka 2022 ✓chuo cha MUST. ✓ Uzoefu wa miaka 3+ NATAFUTA...
2 Reactions
0 Replies
87 Views
About us From Arthur Guinness to Johnnie Walker, our business was founded on people of great character, and in 250 years, nothing’s changed. We’re the world’s leading premium alcohol company. Our...
0 Reactions
2 Replies
53 Views
Back
Top Bottom