Habari ndugu wana jf
Kama kichwa cha habari kinavojieleza ningependa kuuliza kkuhusu nafasi za JKT za kujitolea mwaka huu zitatoka lini. Mwenye taarifa atujuze ili tujipange vizuri, ahsanteni sana
Wana jamii,
Ningependa kusikia ushauri wenu kuhusu best companies to work for in Tanzania. Hii ina include salary, benefits, employee development, etc.
Kwa wale walioomba nafasi mbali mbali za Kazi katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mnaarifiwa kuwa kutakuwa na mtihani wa kuandika kwa tarehe tajwa hapo juu. Wale tu watakao faulu wataitwa kwa...
Mapema leo katika chuo cha DUCE na Kigamboni, Vijana waliitwa kwenye Usahili. Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakifanya mtihani wa usaili kwa ajili ya nafasi za kazi katika Mamlaka ya Mapato...
Nafarijika sana Ninaposikia kauli ya ahadi ya mh.Rais wetu kuhusu kutoa nafasi za ajira kwa vijana wa kitanzania katika jeshi letu imara (Jwtz) na kutoa kipaumbele kwa vijana ambao wamepitia...
Current vacancies
Tanzania National Parks (TANAPA) is a parastatal organization charged with legal mandate to manage and regulate the use of areas designated as National Parks so as to...
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, inapenda kuwashukuru wadau na wananchi wote waliotuandikia maoni pamoja na kuuliza maswali mbalimbali kwa kipindi chote cha mwezi Juni, Julai na...
Wakuu poleni na majukumu ya kila siku!
Lengo la kuandika hapa nikuwaombeni mnisaidie aptitude test ya bank ya TPB huwa inakuaje?
Au maswali yake huwa vipi?
Maana nimeitwa kwenye interview...
TUKIWA KAZINI NA JAMAA ZANGU MAZUNGUMZO YALIKUWA HIVI NI WAPI WANAONGOZA KULIPWA MISHAHARA MIREFU HAPA TANZANIA?
NI UN
WENGINE WANASEMA NI WORLD BANK NA FICSA WENGINE WANASEMA NO ni AMREF
KUNA...
Hatimaye uhamiaji wameshindwa kuvumilia kukaa na majina ya vijana, wayatoa majina hayo leo. Tafuta gazeti la Mwananchi la leo 26 May, 2014 ili ucheki jina lako. Kila la kheri wandugu mlioitwa...
Mambo job seekers wenzangu?
Kuna mwenye fununu ya hawa utumishi watatoa lini ule mkeka wa kazi za tra ambazo deadline ilikua 4/11/2021?
Tunataka tukajaribu bahati zetu.
Wadau nasikia hawa jamaa wametoa nafasi za kazi,hebu mwenye hlo tangazo au updates zake tuambiane.
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
The National Social Security Fund (NSSF) which is the leading...
Jamani napenda kuomba kufahamu mishahara ya askali magereza kuanzia ngazi ya chini kwa anaye fahamu naomba atujuze jamani kufahamu sio ujinga tujuzeni tuu ndugu zenu ili tufahamu please kwa anaye...
2.2. ASSISTANT CUSTOMS OFFICER – (40 VACANCIES)
2.3.1. Purpose of the job
To ensure the correct declarations of both import and export entries, and correct any anomalies and...
Naomba msaada wa kujua basic salary ya bank officer wa bank ya nmb.
Nimepata huko but kabla ya huko nilipata kwenye NGO moja kwa mkataba wa miaka 2 na sehemu zote natakiwa kuripot mwezi huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.