Sebastian Kolowa Memorial University (SEKOMU) which is located in Lushoto District, Tanga Region is an institution owned by the North-Eastern Diocese of the Evangelical Lutheran Church in...
Kutokana na changamoto mbali mbali za ajira..Mimi kama kijana wa kitanzania ikanibidi nifikirie nyia nyingi za kujikwamua na kupata kipato ambacho kitakuwa cha halili na kunisaidia kujikwamua...
Jamani wadau hasa job seekers kuweni makini na mtu anayeitwa John Robert anatamia namba 0715811260. Huyu ni tapeli wa kimataifa atakupigia simu kuhusu kazi muogope sana huyu!! Me alinijaribu Mara...
Yeyote anayetafuata
mfanyakazi wa stationery nipo hapa. Nimesomea komputer na nimefanya
kazi kwenye stationery tatu nina uozoefu. Napatikana Dar es
salaam , just pm me thanks email yangu...
HABARI WANAJAMIIFORUM, SIKU HIZI KATIKA AJIRA ZINAZOTANGAZWA HUWA WANAWEKA KIGEZO CHA AGE LIMIT, MFANO NOT MORE 30YRS OR 35YRS. MIMI SIJUI NA NAPENDA KUJUZWA KIGEZO CHA AGE LIMIT KINASAIDIA NINI...
Wadau nina CCNA (Cisco Certified Network Associate ) pamoja na diploma ya Computer Engineering toka DIT kwa anayeweza nisaidia sehemu nikaweza jishkiza tafadhali msaada wenu.0715 425353.
Kutoka Gazeti la Mwananchi 25 August
Kwa Mujibu wa Kibali cha Ajira Na CB 170/377/01/E/52 cha tarehe 16 Julai, 2014 kutoka kwa Katibu Mkuu Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mkurugenzi Mtendaji wa...
Wakuu nimepokea simu mbalimbali usiku wa kuamkia leo vijana zaidi ya 50 wamekubaliana kuandamana mpaka ofisi za UHAMIAJI wakitaka kujua hatma yao.
Lengo la maandamano ni kuitaka TUME ieleze...
wadau km mnakumbuka 2weeks ago nliomba kujuzwa jinsi American embassy wanavyosaili , shaidi wangu akiwa ni mungu nlipata wadau 2 ambao walinitoa tongotongo kwa ushauri na format nzima ya usaili ...
Jamani tueleweshane nimeona wametangaza hzo ajira kwa mf.mtendaji wa kata kwa mkataba sa sijaelewa ukipata ukafanya na wakat huo huo ukapata kazi kwingine unaruhusiwa kutoka?
LAND O' LAKE, SINC.
INTERNATIONAL DEVELOPMENT
INNOVATIVE SOLUTIONS FOR GLOBAL PROSPERITY
JOB VACANCY: INNOVATIONS IN GENDER EQUALITY (IGE) PROGRAM
The Tanzania Innovations in Gender Equality...
habari wanajamii.
natafuta college ya kufundisha masomo ya hesabu, economics, statistics, research methodology.. and other related subjects. Nina degree ya economics and statistics.. nina upper...
Sifa.Awe amewai kufanya kazi stationary kuanzia mwaka mmoja au miwili nakuendelea, awe amewai kufanya kazi ktk mazingira ya chuo kikuu, awe na elimu kidato cha nne na kuendelea na pia awe mkazi wa...
Juzi kuna jamaa yangu ambae tulifanya wote usaili mwezi wa nne amenipigia simu kuniambia kwamba amepangiwa kituo cha kazi tena ameniambia yametoka majina manne tu. Swali langu ni kwa nini yatoke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.