Habari ya majukumu,na hongereni kwa kazi ya ujenzi wa Taifa,mimi ni kijana wa miaka 31,ninatafuta kazi udereva,katika kampuni,taasisi,shirika na hata kwa mtu binafsi,nina driving licence class...
I urgently need research assistants based in UNGUJA. uwe based Unguja.
responsibilities include conducting interviews using questionnaire. conduct indepth interview. conduct focus group...
Ndugu zangu natafuta shule au tasisi yoyote ya ELIMU yenye uhitaji wa mwalimu wa Eco & Com....nina uzoefu wa kutosha kwani nimefundisha shule ya serikali kwa zaidi ya Mwaka mmoja kama mwajiliwa wa...
Greetings
Mara nyingi nimeona watu wengi wakihudhuria interview zaid ya kumi na hawapati kazi na wakati huo kuna wengine wanahudhuria interview moja tu na wanapata kazi. nikawa najiuliza maswali...
Wakuu poleni kwa majukumu mazito ya kuikwamua nchi yetu. Wakubwa naomba msaada wenu. Nimeitwa kwenye interview ya kazi kwenye kampuni moja ya usafirishaji. Tatizo langu ni kuwa, mara ya mwisho...
Salaam wadau.
Kwa wale wanaojua naomba tufahamishane njia sahihi ya kutuma application tume ya ajira.
Kuna njia ya posta ya kawaida na ile ya EMS. Lakin inasemekana ya EMS haikubaliki...
LIBRARY ASSISTANT I - 8 POSTS
Qualifications: Holder of a Diploma in Library and Information studies from any recognized institution
Apply: The Deputy Vice Chancellor (Administration & Finance...
1.0: AGRICULTURAL SEED AGENCY (ASA)
Agricultural Seed Agency (ASA) is a semi autonomous body within the Ministry of Agriculture
Food Security and Cooperatives established under the Executive...
wanajamii forum kwa mtu anayefahamu mshara(gross salary) wa banking officer exim bank ni shilingi ngapi kwa mtu anayeanza kazi mara ya kwanza naomba anijuze
Wadau Baker Hughes wanalia bei gani kwa Engineers pls wadau nakutana nao ijumaa hii nataka jua malipo wakiniuliza nataka bei gan kwa mtu anaejua au anafununu naomba mawazo yenu na asanteni
Boss yeyote tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nina uzoefu wa kazi karibu miaka 10 na nimefanya ktk stationary&NGO. Mshahara usiwe chini ya 400,000~350,00 hapo ukiwa ushatolewa...
Wadau nimetumiwa msg hii.
You are invited for the interview to st.joseph university on 5th september 2014 at mwenge near mlimani city.
Then wakaweka namba za simu ila tatzo hawajasema mwenge...
Kweli graduates tumekuwa wengi mtaani. Inashangaza watu kujiita 'an equal opportunity employer' na wakati kwenye matangazo yao ya kazi wanakwambia umbatanishe na picha ya passport! Kazi hizi...
Nimekuwa nikisubiri zile post 101 za Maafisa Utumishi daraja la II kuitwa kwaajili ya usaili lakini hadi leo patupu.....inakuwaje maana deadline ilikuwa tar 11 June, au ndio Serikali haina hela...
Habari zenu wanamaendeleo? Natafuta tenda ya kusambaza kuku wa kienyeji waliokwisha chinjwa na kupakiwa vizuri kwenye pakiti za plastic katika mahoteli na supermarket. kuku wanauzito wa kg 1.5 na...
Nimeajiliwa kwenye kampun ya simu sasa nimemaliza miezi minne baada ya kuajiliwa bado miez miwili kumaliza probation sasa nauliza ukimaliza probation kwenye makampun hela wanakuongezea au laah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.