Habari wakuu:
naomba msaada kwa wanajf wenzangu mnaofahamu mahali zilizipo Ofisi za nyumbu kibaha!
Ningependa nielekezwe nitafikaje iwapo ninatokea dar!
Ahsante!
Habari wana JM Forum
Mimi ni kijana niliyemaliza diploma ya computer science
natafuta kazi
UZoefu;Nimemefanya kazi New habari co-operation kwa muda wa miezi minne kama field.Na pia nimegundisha...
Shule ya secondary compassion missionary sec school inaitaji mwalimu wa masomo ya chemistry na biology.shule ipo morogoro wilaya ya kilombero.dead line 1 december 2014 12.00p.m kama upo tanyari...
Nimemaliza Stashahada ya Ualimu katika chuo cha Ualimu Morogoro (Kigurunyembe),
Natafuta kazi ya kufundisha masomo ya Kiswahili, History, Civics na Geography katika shule yoyote hapa Morogoro...
Guardian Newspaper
Christian Social Services Commission (CSSC) is an ecumenical body established in 1992 by
Tanzania Episcopal Conference (m) and Christian Council of Tanzania (CCT) to facilitate...
Posted on Oct 16th, 2014
Program Manager
Employer: Tanzania Water and Environmental Sanitation (TWESA)
Deadline for applications: 5pm Friday 31st October 2014
This contract is for a full-time, 1...
Hello, kwa yeyote mwenye kufahamu Shule ambayo ninaweza kupata Part time teaching, hasa jijini Dsm. Anielekeze tafadhari:
Sina taaluma ya moja kwa moja ya ualimu, bali nina uwezo wa kufundisha...
Habari zenu wadau... Samahan naomba kujuzwa kwa mwenye info yyte kuhusu nafasi za jkt kujiunga kujitolea kwa mwaka 2014/2015 naomba anijulishe... natanguliza shukran!
Hivi kweli maswali ya paper ya written yanatosha kua ni kigezo cha kuchuja waombaji .
Ma auditor wanaofanya statutory audits and other engagement,wanapewa maswali ya economics na...
Nina masters ya community development na project management natafuta kazi/volunteering nisaidieni. Niko tayari kufanya kazi popote. Niligraduate mwaka jana mwezi 11. Help...!
Kuna mdogo wangu mdada ana agents wake huko nje ya nchi ambao humletea wageni.sasa anahitaji mtu ambae ana kampuni ya utalii ambayo ina sifa zifuatazo;
-iwe na uzoefu wa kufanya kazi na...
Kuna wakati serikali ilipiga marufuku recruitment agents lakini kila siku naona wanatangaza kazi , mfano HR solutions, jobmakini, cv people, radar n.k. Lile agizo la serikali vp?
Watanzania wenye ubunifu na ideas tofauti kwenye mambo ya biashara/elimu na teknolojia (video games,software,websites) wanahitajika..ideas zako tu, mengineyo unawezeshwa....wenye interest/maswali...
Natafuta kazi ya kufundisha business subjects ktk shule yoyote ya O level na A level nauwezo mkubwa wa kufundisha Accountancy,Economics, Commerce & bookkeeping in O LEVEL nipo jijini Mbeya unaweza...
Mhudumu wa stationery anahitajika sinza
awe anakaa karibu na sinza
anayependa kujifunza
elimu form 4
mchangamfu
mshahara maelewano
asizidi miaka 25
atume cv kwenda saidibakari228@yahoo.com
Habari zenu wadau,mimi ni kijana,nipo dar natafuta kazi ya udereva,nina cheti cha form six,ufaulu ni division III,Nina 2 principal pass,1subsidiary,certificate of attendance ya computer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.