Hbr ndg...........
ninatafuta kaz ya kufundisha elimu yang ni kidato cha sita.... uwezo na ujuzi wa kufundisha kidato chochote ninao masomo yangu ni geograghy na kiswahili...... nipo tayari kwa...
Kweli Tz ajira ni janga kwa graduate, hili linaendelea kujirihidhisha hata katika interview ya leo ya NSSF gundua watu waliojitokeza kufanya interview ni zaidi ya 5,000. du ni shidaaaah kwa kweli!
Wadau swala la ajira kwa TZ ni janga kwa graduates, hii inadhihika baada ya kuona vijana waliojitokeza kwenye interview palew IFM kwa kazi ya Oporations officer iliyotangazwa na NSSF mwezi July.
Nipo DSM nina miaka 20 nimesomea microsoft word, powerpoint, excell, publisher, internet nk. Mshahara nataka 150,000/= na mahitaji yote nipate kwa anayeniajili. Napatikana 0757191544.
Kwa wale wanaopiga interview ya NSSF asubuhi hii msisahau kushare nasi maswali mtakayokuwa mmekumbana nayo huko ikiwezekana mscreen shot baadhi ya maswali na mtutumie kwenye jukwaa
Jamani kwa wale wadau ambao tumeitwa interview NSSF mwenye idea ya maswali yanayoulizwa kwenye iyo interview tuje tudiscuss hapa,au kama unakumbuka position description tupeane hapa,..najua...
If you find yourself competent and meet all personal specifications mentioned in the attached advert, please submit: 1) Application letter 2) Detailed CV not exceeding 5 pages 3) Copies of the...
Wadau nasikia hawa jamaa wametoa nafasi za kazi,hebu mwenye hlo tangazo au updates zake tuambiane.
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
The National Social Security Fund (NSSF) which is the leading...
GREENBIRD SECONDARY SCHOOLS LOCATED IN MWANGA KILIMANJARO WISHES TO ANNOUNCE THE OPEN VACANCY FOR THE MENTIONED SUBJECTS ABOVE.. apply at director@greenbirdinstitutions.org the interview will be...
Habari za jioni wadau??
TRA wameanza kuita watu kwenye usaili!!
Nimepokea mail toka kwao,wakiniomba nikachape usaili wao tarehe 12/12/14!
Post ya kazi ni Assistant Tax Officer!!
Vitu vya...
We are looking for a motivated freelance Country Manager (m/f) as soon as possible who masters the local and English language fluently to lead our Kenyan and Tanzanian team in order to make our...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.