Wadau natafuta mfanyakazi wa shamba la mifungo mwenye uzoefu wa kufuga nguruwe/aliyewahi fanya kazi kama hii.Shamaba lipo Morogoro manispaa.Kama yupo au unamjua tuwasiliane tafadhali kwa 0686 666666
Wakuu habari za wakati huu!
Mimi napenda sana kufundisha Hisabati na Uchumi vyuoni, na hata masomo mengine ya elimu, utawala, nk
Nawauliza kitu kimoja tu, taratibu huwa zikoje mtu anapokuwa na...
Nahitaji mtu wa kunyoa saloon ya kiume. Ipo Chanika, Dar es salaam.
Mshahara makubaliano; malazi yapo.
Akiwa anajua computer ni vizuri zaidi kwani huwa naingiza nyimbo kwenye simu.
Mawasiliano...
Mfanyakazi Wa salon ya kike anahitajika awe anaweza kusuka mitindo yote, kuset na kumake up
Jinsia yoyote.
Umri kuanzia miaka 18[emoji3595]
Mahali salon ilipo ni Buza kwa mpalange.
Kwa...
Natafuta mfanyakazi Wa salon ya kike awe anaweza kusuka na kuset mitindo yote ya nywele na awe mkazi Wa Tabora mjini..
Mshahara ni 130000 kwa mwezi
Preferred Wa kiume mwenye uwezo Wa kusuka na...
Salaam wadau...natafuta mfanyakazi katika ranchi ndogo ya mifugo, Mifugo iliyopo ni kuku, Mbuzi,Nguruwe na samaki.Ranchi ipo Morogoro mjini. Vigezo ni kama ifuatavyo:
1.Awe na umri usiozidi miaka...
Sehemu ya kazi ni Mbezi Beach-Dar es salaam.
Awe na umri kati ya miaka 22 na 30
Awe na uzoefu wa kazi za ndani na kulea mtoto wa mwaka mmoja.
Awe anajua kanuni na sheria za kazi kama mfanya kazi...
Eneo la kazi ni Kibara, Bunda.
Awe jinsia ya kike, asiwe binti mdogo (awe Kati ya Miaka 20 hadi 40).
Awe na uwezo wa kutumia Uhuru binafsi maana muda mwingi wenye nyumba hawapo, wanakuwepo tu...
Habari wakuu,
Kwa mtu yoyote anaehitaji mfanyakazi nipo tayari.
Kwa maelezo zaidi nakuomba PM.
Tafadhali naomba msomaji kama unamfahamu anaecconect watu na kazi.naomba nijulishe malipo mazuri...
Salam wadau.
Ninahitaji mfanyakaz wa ndani (house girl).
Awe anajua kusoma na kuandika
Asiwe na mtoto
Awe na umri kuanzia miaka 20
Awe ni mkaazi wa dalsam (siyo lazima sana).
Asanteni...
kichwa cha topic kinajieleza.....anahitajika mdada mwenye umri usiozid miaka 25....asiwe na mtoto.....awe na tabia nzuri.....awe tayari kufanya kazi za ndani mkoani morogoro...
Sifa:
-Umri: 18-21
-Elimu: Angalau Darasa la 7 na kuendelea.
Atafanya kazi zote zinazoweza kuitwa KAZI ZA NDANI pamoja chochote atakachoambiwa in extra.
Mshahara: Tshs 40,000/=
Habari zenu jamani hope mko poa,
Ndugu zangu nawashukuru kwani kuna watu wapo serious hapa nilishatafuta mfanyakazi hapa nikapata. Sifa za mhusika umri kuanzia miaka 18 msichana mwenye maadili ya...
Wakuu Habarini!
Msichana mwenye umri kati ya 18 mpaka 25 anahitajika kwa ajili ya kufanya kazi za ndani.
Eneo ni Kimara, Dar es salaam. Familia ni ya watu watatu ambao ni Baba, Mama na mtoto...
Wakuu habari za asubuhi, Ni matumaini yangu mko poa na weekend inaenda kama Allah alivyopanga
Namshukuru Allah niko poa. Nirejee kwenye kichwa cha tangazo hili hapo juu. Nahitaji mfanyakazi wa...
Jamani kwa staili hiii mi naona kuna uonevu mkubwa sana kwa wafanyakazi wa ndani, sijajua ni kwa kukosa elimu lakini kwa upande wangu mi naona haki za kibinadamu zinakiukwa. Kwa mshahara gani...
Mama mwenye watoto watatu anahitaji Dada wa Kazi ! Anaishi Mbezi Louis, Mtoto wa kwanza anasoma Grade II, Wa pili yupo Nursery school na wa Tatu hajaanza shule.
KAZI: Kupika, Kufua, Usafi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.