I have applied for a certain job wakanambia nitume my GPS score mejaribu kugoogle meona its somekind of test though sijaielewa vizuri kwa anaelewa what is GPS naomba anisidie ufaham...
Mambo vipi wakuu!eti hivi mwajiri anaposema let say anataka mtu mwenye diploma ya business,marketing etc or equivalent qualifications huwa anamaanisha degree au form six?
Hello ndugu zangu wana JamiiForums,
Natumaini wote ni wazima. Mimi pia ni mzima. Binafsi si mkongwe sana JamiiForums lakini lazima nikiri kuwa JamiiForums imenifungua mengi sana na kunisaidia...
Tunatafuta mwalimu wa day care katika eneo la Kibaha.
Sifa:
-Awe anaishi Kibaha
-Awe wa jinsia ya kike
-Awe na umri wa miaka 25 na kuendelea
-Awe na cheti cha mafunzo ya day care toka Ustawi wa...
Kwa wale Vijana wenzangu ambao bado wanatafuta kazi kama mimi nashauri ni vema tukakutana tujadili namna gani ya kuweza kujiajiri. Binafsi nimefikiria tunaweza kufanya kazi nyingi sana kwa...
Habari!
Natafuta binti makini, mwenye uelewa, anaefahamu maana ya Customer care, elimu kuanzia form four. Afanye kazi katika zahanati yangu hapa Mwanza.
Binti alietayari aniPM kwa maelezo na...
Habari, ndugu zangu!
Natafuta kazi ya ulinzi katika kampuni au mtu binafsi, mshahara usiwe chini ya laki mbili, napatikana Daressalaam, ELIMU Yangu kidato cha sita, maisha magumu ndugu zanguni...
Mimi ni mwalimu mwenye diploma ya elimu, niliajiriwa mwaka 2009 katika halmashauri moja.
Mwaka 2010 nilipata mdhamini alinilipia gharama za masomo ya shahada chuo cha Mipango Dodoma. Baada ya...
Wapendwa; naomba niwaulize, hawa Viettel ni kampuni ya simu tu ama wanafanya nini?
Halafu mishahara yao ikoje?
Halafu maswali ya interview kuhusu distribution & customer care ni kama yapi...
Mimi ni msichana Wa umri Wa miaka 24 natafuta kazi ya ualimu Wa chekechea Arusha Kwa mwajiri yeyote mwenye uhitaji naomba aniajiri nifundishe watoto. Sintaweka namba hapa Ila PM kwamwajiri atakaye...
CONFUCIUS INSTITUTE AT THE UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
INTERNSHIP OPPORTUNITIES AT GOLDEN LAND GROUPS (GLG) NANJING, JIANGSU, CHINA~ 2015
Introduction
The Confucius Institute at the University of...
Dear Friends in Arusha
Jinsi kuanzisha biashara bila kuwa na mtaji mkubwa kwa muda wako wa ziada.
Tar 1. Mei Mosi, tunawakaribisha kwenye oriflame mega event itakayofanyika New Safari Hotel...
kama kuna anaefahamu mkoa wa tanga kuna site ngapi za vodacom na airtel na ngapi ni 2G na 3G katika kila wilaya. naomba msaada plz kama kuna mwenye info zote hizo nasaka ajila kampuni moja ya...
Wakuu nafasi mpya hizo changamkieni jamani
Position: Core Network Planning Engineer
Position: Radio Planning and Optimization Engineer
Position: IP Network Design Engineer...
Habari wana JF?
Jana asubuhi nilikuwa napita mitaa ya Ubungo kuna jamaa alikuwa anabandika matangazo ya kazi akanipatia nakala moja ambayo imeandikwa hivi:
KAZI KAZI
410,000/=
NA KWA SIKU...
Kitendo cha kuajiri sector moja tu kla mwaka serikali haitendi haki.Just imagine,sector za kilimo,na afya serikali inaajiri watu wachache sana na kuacha wengine mtaani wakisota.Halafu eti mnakaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.