Habari...tumeokota vyeti vya ndugu GODFREY J SIRINGWE aliyesoma O Level Majengo Sec Moshi na kuhitimu October 2011 na kujiunga na UDSM kwasasa ... Kwa yeyote anayemfahamu Tafadhali awasiliane...
NIMEIPATA SEHEMU NIKAONA TUMSAIDIE
Habari...tumeokota vyeti vya ndugu GODFREY J SIRINGWE aliyesoma O Level Majengo Sec Moshi na kuhitimu October 2011 na kujiunga na UDSM kwasasa ... Kwa...
Wana bodi salam.
Naamini wengi wetu tuko busy na wagombea wa magamba na hivyo tumesahau maslahi yetu mengine. Baada ya NEPI kunihakikishia MAKO hayumo, na mie nilikuwa team MAKO, akili ilinituma...
WASIFU
Advancend Diploma in land surveying, Msc in Geoinformatics
Assistant Lecturer teaching subjects on land surveying, Remote Sensing and GIS, Engineering surveying for TEN YEARS
Consultancy...
Heshima kwenu wote,
Mimi ni kijana wa kiume nimemaliza degree yangu ya kwanza chuo kikuu cha dodoma Bsc. software engineering Kwa heshima na taadhima napenda kuomba nafasi ya internship kwenye...
Habarini wakuu.
Nimesomea masuala ya Lugha ya Kiingereza na Kiswahili.
Na nina interest kubwa katika utangazaji wa redio na Tv.
Kwa anayefahamu utaratibu wa mtu kuweza kupata nafasi ya kujitolea...
Eti wajameni, kwa mfano umegraduate labda na degree nyingne mbali na ualimu, udaktari na uhandisi, umetafuta kazi muda mrefu hupati, kuna hizi kazi za office assistance au za umessenger...
Habar zenu wanajamvi.
Jana katika pita pita zangu niliona tangazo kuwa tume ya utumishi wa makama wameita tena watu katika usaili wa kada mbalimbali, Majina wanasema yapo katika gazet la Daily...
mimi ni kijana mwenye umri 23..jinsia kike,elimu yangu kidato cha 4,pia nna certificate ya customer care &services..
Natafuta kazi inayolingana na elimu yangu pamoja na taaluma yangu..nipo...
Anatakiwa mwalimu wa somo la stadium za kazi .
Mwenye ujuzi wa kuchora, kufinyanga, na vinginevyo vinavyohusiana na sanaa.
Deadline tar 25/7/2015
Mawasiliano: 0766407153
Sekretarieti ya ajira yatangaza nafasi za kazi zaidi ya 1,000
Thursday, 09 July 2015 12:28
Serikali kupitia Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawatangazia watanzania...
Habari wana JF.
Mimi ni mmoja wa waliopeleka maomba ya nafasi ya kazi ya BVR operator kwa upande wa Ilala ila mpaka sasa sijajua kinachoendelea mana wenzetu wa wilaya tofauti washapata na...
Habari wakuu
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23,nimemaliza chuo week iliyopita,nilikuwa nachukua Bachelor of science in Accounting and Finance chuo kikuu Ardhi.Natafuta kazi au sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.