Habari wakuu?
Mimi nimejifunza ufundi magari na kazi nishaweza changamoto yangu ni kuwa kwa sasa Sina sehemu ya kufanyia kazi mana kunasehemu nilikuwa nimejishikiza ila kwa sasa hii sehemu...
Tunahitaji watu wenye vigezo vifatavyo:
1. Awe na degree yoyote ila degree ya masoko ita pendeza zaidi
2.Awe na uzoefu wa kuongoza team ya mauzo na kuhakikisha wanafikia target walizowekewa...
Find Jobs Vacancies In Nigeria Daily
recruitment-nigeria.com
Jobs Vacancies In Nigeria
Accounting Jobs Vacancies In Nigeria
Banking Jobs Vacancies In Nigeria
Engineering Jobs Vacancies In...
Kuna jamaa yangu alifanya usaili, sasa jana
kaambiwa na mtu anayedai anafanya kazi kwa hiyo
ofisi kwamba inabidi atoe hela kwanza ili aweze
kupewa hiyo ajira. Huyo mtu inaonekana amepata details...
Habari JF,
Anahitajika Mdada mwenye Diploma au Certificate ya HR/PUBLIC ADMINISTRATION kufanya kazi Dar es salaam. Awe ana uelewa mzuri wa Ms Excel na Outlook.
Mshahara ni Maelewano.
Nitumie CV...
Habari wanazengo.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29,elimu kidato cha 4 na nimepitia mafunzo ya udereva na kuhitimu.
kutokana na wimbi la ajira niliamua kuzunguka shule kadhaa kwa lengo la...
Wakubwa mliopo TPA hapa DSM. Ndugu yenu nimekwama nahitaji connection ya kazi za kibarua zile za malipo per day. Hata zile za Ukuli. MKONO Uende kinywani. Kitambulisho cha Temporary post za suma...
Jamani wana JF natafuta nafasi ya kazi ya mdada mwenye miaka 26 lakini elimu yake ni darasa la saba, so mwenye hiyo kazi anisaidie maana nina ndugu yangu yupo nyumbani tu.
POST MEDICAL SPECIALIST II (RADIOLOGY) - 1 POST
POST CATEGORY(S) HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL
EMPLOYER Muhimbili National Hospital
APPLICATION TIMELINE: 2020-04-09 2020-04-22
JOB SUMMARY N/A...
Hivi umehangaika muda mrefu kutafuta kazi, baadaye umepata kwa tabu sana tena serikalini ile unaanza tu inatokea bahati mbaya anko Magu anakutumbua au umepata private ile umeanza tu baada ya miezi...
Habari wanajamvi, Poleni na majukumu ya kila siku,
Naomba msaada kwa wale wanaofahamu au waliowahi kufanya interview pale TANESCO ubungo, Mimi Nina written interview siku ya jumamosi inahusu...
TCAA is looking for energetic young Tanzanians, which are medically fit to train in Air Ttraffic Control. QUALIFICATIONS REQUIREMENT:
1. Holder's of B.Sc. Degree Majoring in Maths and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.