Wapendwa habar Za mihangaiko,
katka kufanya Application tofauti tofauti online kuna compuni moja imenirudishia majibu kama hiv
"""tumeipata na kuisoma barua yako na tutawasiliana na ww...
Naomba msaada kwa mwenye ifahamu wa sheria ya ajira, kuna kitu kinaitwa severance kwa mtu aliye maliz amkataba wa ajira,
Inamlazimu mwjiri kukupa au ni hiari tu ya mwajiri. Ahsanten
Habari Jamii Forums;
Nili apply internal vacancy sasa nimepata email na kupigiwa simu kuhusiana na interview.
Email imeandika EES Discussion
Nimejaribu ku google EES ni Employee Effort Score...
Naomba msaada namna ya kujibu maswali haya ukiulizwa katika usahili 1) what kind of salary do you want to be paid? 2) explain how weak and strength aspects do you have?
Habarini wadau, nilipatlngiw kituo na sekretriat ya ajira Feb 2016 ktk halmashaur, baada ya kukamilisha taratibu za kuajiriwa nikaambiwa nirudi nyumbani had nitakapo itwa tena na kuanza kupata...
Ninawasalimu ndugu wanajukwaa.
Ninaomba maelekezo yatakayokua na msaada wa kunifikisha office za T- Marc na sikika,ni katika michakato ya utafutaji wa makte wa kila siku,nimejaribu kufanya...
Wadau natumaini mpo salama, nimesoma degree yangu nje ya nchi na vyeti ninavyo ila sijapeleka TCU kwa sababu kuna documents nilishindwa kuipata kwa haraka nikalazimika kurudi huku na sasa hivi...
Wakuu naomba msaada najaribu kufanya application since monday maamka usiku system haifunguki leo nimebahatisha imefunguka ila nilivyofika hapo inagoma iko domant msaada tafadhali.
Jamani anahitaji kuandikiwa project proposal, business plan, kufanyiwa monitoring and evaluation tuwasiliane kupitia 0684310382 , nipo dar es salaam-ukonga
Wakuu nikiangaliaga kazi hizi mara zinapotangazwa hasa Ubalozi wa Uingereza ambao wanatoaga hadi kiasi cha malipo kwa kweli ni mishara mikubwa sana ukilinganisha na ya serikali yetu au Taasisi...
Habari zenu wakuu.
Nimesomea mambo ya meli tangu mwaka 2011,nimehangaika sana kutafuta japo seatime ila sikufanikiwa kupata.
Naombeni msaada hata wa kunipa website ambazo naweza kuzitumia ku...
JAMANI KWA YEYOTE ALIYE APPLY KAZI UBALOZI WA KANADA NAOMBA MSAADA JINSI YA KU APPLY MANAKE WAMESEMA
HII NDO JISI YA KUAPLAI
Application Instructions:
Please send electronically your...
Habari wapendwa katika bwana.
Tumsifu Yesu Kristo.
Assalam Aleykum.
Habari ...
Ndugu zangu naona Mwenyezi Mungu amefungua neema na mdogo wangu hajawahi kuitwa kwenye Interview ila hakukata tamaa...
Mimi ni kijan mwenye umli wa miaka 22 ninaomba mchngo/msaada wenu wadau katika upnde wa uandkaji wa barua ya maomb ya kazi. Barua znatofautiana kwa upnde wangu mimi barua ninayoinzngumzia ni barua...
Habari za mda huu jamani, Naomba niende kwenye mada moja kwa moja juzi serikari yetu pendwa imetangaza ajira kupitia website ya serikari, ajira ni nyingi na kwa kila kada, sasa katika kada yangu...
Habari,
Kuna jamaa yangu alijaza ajira portal miaka mitano imepita, ila sasa anataka aweke certified coppies ila anakutana na changamoto cheti cha O- level kinagoma kufanyiwa editing yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.