Habari zenu wapendwa,
Mimi ni mwanafunzi nasomea BSc in Economics, nimetafuta sehemu za kufanya field hadi nimechoka, naombeni mnisaidie kwa ushauri ni wapi naweza kwenda na nikapata nafasi...
Teofilo Kisanji University is looking for best candidates to fill 3 vacant post which are:
1. Vice Chancellor of the University
2. Deputy Vice Chancellor Academic affairs of the University
3...
Natafuta kazi ndugu zangu wanajf nipo dar elimu yangu kidato cha nne naomba msaada wa kuweza kunisaidia kama supermarket.duka.nappia nina uzoefu wa kazi za research 0682051729
Kwa ajili ya kusimamia duka kubwa la dawa; pia anatakiwa fundi dawa (pharm tech) na disdensing staff wengine. Wenye sifa tafadhali wanipm na wawe tayari kufanya kazi Dar au Bagamoyo
Niko Mwanza, ni mwandishi chipukizi wa vitabu vya ushairi, hadithi na articles mbalimbali, pia birthday cards,thank you cards,family cards,inspirational cards n.k.
Nahitaji web designer mmoja...
Habari za Leo,
Anahitajika dereva wa pikipiki kwa ajili ya kufanya kazi za mauzo, delivery na kutanua wigo wa masoko mapya.
Tunajihusisha na uuzaji wa Viungo (Organic Spices).
Vigezo.
1. Awe na...
MANAGING DIRECTOR (MD)
GENERAL MANAGER. (GM)
DIRECTOR GENERAL (DG)
Mwenye kufahamu tofauti ya nafasi moja na nyingine anijuze na majukumu ya kila nafasi hizo Asanteni
POST RECTOR – 1 POST
EMPLOYER: Institute of Accountancy Arusha (IAA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-06-10 2022-06-23
JOB SUMMARY
The Rector must have proven experience to develop and coordinate the...
Heshima kwenu wote.
Kijana wa kiume,umri miaka 25,elimu kidato cha nne na ujuzi wa ufundi umeme wa nyumbani.
Anatafuta kazi yeyote halali iwe kwenye duka,soko,bustani,mgahawani nk
Ni kijana...
Mwaka 2012 nilihitimu diploma yangu ya ugavi na manunuzi (procurement ) kutoka Tanzania Institute of aAccountancy kama haitoshi nikajitolea kwa miaka 2.5 ili kupata uzoefu wenye kunijenga kwenye...
Wapendwa habari, mimi ni mwanamke ninaejitambua na nipo mbele yenu kuwaomba wale wote wenye uwezo wa kunisaidia nipate ajira ya kudumu serikalini.
Natamani kufanya kazi kama Mwana Maendeleo ya...
Receptionist
TERMS OF REFERENCE FOR OFFICE RECEPTIONIST
BACKGROUND
ABA Alliance Office in Dar es Salaam is looking for a professional individual for Office Receptionist to enhance its level of...
Juzi tuu JKT walitangaza nafasi za kujiunga na JKT kwa mwaka 2016/2017 kwa kujitolea na kutaja sifa za mtu ambae anaweza kujiunga na jeshi ilo kwa fununu nilizonazo bara kuna baadhi ya wilaya...
Habari zenu wakuu,
Kuna sehemu nili apply nafasi ya kazi, nimetumiwa email na wamesema niwatumie hiyo psychometric CPC score,
Ni nini hiyo kitu wakuu?
Ni kipimo cha hospital au?
Shukran
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.