Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Habari zenu wapendwa, Mimi ni mwanafunzi nasomea BSc in Economics, nimetafuta sehemu za kufanya field hadi nimechoka, naombeni mnisaidie kwa ushauri ni wapi naweza kwenda na nikapata nafasi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za jioni! Naomba kufahamu kiwango cha mshahara kwa daraja la TRSS 4 inaweza kuwa ni shilingi ngapi? Natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Teofilo Kisanji University is looking for best candidates to fill 3 vacant post which are: 1. Vice Chancellor of the University 2. Deputy Vice Chancellor Academic affairs of the University 3...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta kazi ndugu zangu wanajf nipo dar elimu yangu kidato cha nne naomba msaada wa kuweza kunisaidia kama supermarket.duka.nappia nina uzoefu wa kazi za research 0682051729
0 Reactions
2 Replies
911 Views
Kwa ajili ya kusimamia duka kubwa la dawa; pia anatakiwa fundi dawa (pharm tech) na disdensing staff wengine. Wenye sifa tafadhali wanipm na wawe tayari kufanya kazi Dar au Bagamoyo
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Niko Mwanza, ni mwandishi chipukizi wa vitabu vya ushairi, hadithi na articles mbalimbali, pia birthday cards,thank you cards,family cards,inspirational cards n.k. Nahitaji web designer mmoja...
0 Reactions
2 Replies
913 Views
Natafuta Kinyozi wa barbershop.. Iko mbezi...mwisho... 0714-111058 0752-109265 Nicheki...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Elimu yangu ni stashahada ya ualimu katika somo la kiswahili. Sikubahatika kuajiliwa serikalini lkn nina uwezo mkubwa wa kufundisha.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za Leo, Anahitajika dereva wa pikipiki kwa ajili ya kufanya kazi za mauzo, delivery na kutanua wigo wa masoko mapya. Tunajihusisha na uuzaji wa Viungo (Organic Spices). Vigezo. 1. Awe na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MANAGING DIRECTOR (MD) GENERAL MANAGER. (GM) DIRECTOR GENERAL (DG) Mwenye kufahamu tofauti ya nafasi moja na nyingine anijuze na majukumu ya kila nafasi hizo Asanteni
0 Reactions
2 Replies
2K Views
POST RECTOR – 1 POST EMPLOYER: Institute of Accountancy Arusha (IAA) APPLICATION TIMELINE: 2022-06-10 2022-06-23 JOB SUMMARY The Rector must have proven experience to develop and coordinate the...
0 Reactions
2 Replies
517 Views
Heshima kwenu wote. Kijana wa kiume,umri miaka 25,elimu kidato cha nne na ujuzi wa ufundi umeme wa nyumbani. Anatafuta kazi yeyote halali iwe kwenye duka,soko,bustani,mgahawani nk Ni kijana...
0 Reactions
2 Replies
862 Views
Mwaka 2012 nilihitimu diploma yangu ya ugavi na manunuzi (procurement ) kutoka Tanzania Institute of aAccountancy kama haitoshi nikajitolea kwa miaka 2.5 ili kupata uzoefu wenye kunijenga kwenye...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapendwa habari, mimi ni mwanamke ninaejitambua na nipo mbele yenu kuwaomba wale wote wenye uwezo wa kunisaidia nipate ajira ya kudumu serikalini. Natamani kufanya kazi kama Mwana Maendeleo ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Receptionist TERMS OF REFERENCE FOR OFFICE RECEPTIONIST BACKGROUND ABA Alliance Office in Dar es Salaam is looking for a professional individual for Office Receptionist to enhance its level of...
0 Reactions
2 Replies
613 Views
Natafuta mtu yeyote anayefanya kazi Mikoa ya nyanda za juu kusini ili tubadilishane vituo. Mimi niko Tarime (H/Mji) kama afisa Mifugo .
0 Reactions
2 Replies
758 Views
Juzi tuu JKT walitangaza nafasi za kujiunga na JKT kwa mwaka 2016/2017 kwa kujitolea na kutaja sifa za mtu ambae anaweza kujiunga na jeshi ilo kwa fununu nilizonazo bara kuna baadhi ya wilaya...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, Kuna sehemu nili apply nafasi ya kazi, nimetumiwa email na wamesema niwatumie hiyo psychometric CPC score, Ni nini hiyo kitu wakuu? Ni kipimo cha hospital au? Shukran
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanaitwa EBI Consultancy, do these guys exist for real, nakumbuka majuzi walitoa post za interns
0 Reactions
2 Replies
819 Views
Back
Top Bottom