Natafuta kazi kwenye shirika,taasisi au hata kwa mtu binafsi nina diploma ya uhasibu.Ila sibagui kazi hata ambayo haipo kwenye taaluma yangu nafanya!Nipo mwanza
Natafuta shule ya kufundisha masomo ya Geography na Civics,, Nina uzoefu mkubwa na wanafunzi wangu huwa wanafaulu...... Nina degree tofauti na elimu. Please call for more enquiries 0683000177
Ni mara nyingi watu huwa na malengo yao mengi na mazuri kabla hawajapata ajira, mambo hugeuka na kwenda kinyume mara baada ya kupata ajira, mtu hugeuka na kuanza kupanga malengo mengine nje na...
Napenda kuwapongeza tovuti ya ajira kwa hatua hii kubwa kuweza kubadili mfumo wa uombaji kazi hii itatusaidia kupubguza gharama za kutuma maombi nawapongeza sana kwa kuanzisha hii system mpya...
leo nimetumiwa sms kuitwa kwenye usaili muhimbili kada ya assistant supplies officers ila sikumbuki niliomba lini kwani nimeshaomba mara nyingi muhimbili.nakumbuka mara ya mwisho niliomba moi ila...
HABARI KWENU WAKUU.
Ni matumaini yangu sote tupo salama na tunaendelea na mapambano ya kimaisha kila kona ya dunia.
Wakuu nimejaribu pitia pitia japo sijafanikiwa kukutana na uzi unaohusiana...
habari wadau?
natafuta mtu wa kusimamia stationery na personal secretary (PS) katika chuo
sifa wawe:
wamemaliza kidato cha nne
wachapa kazi na waaminifu
ujuzi na uzoefu wa komputa katika...
Tafadhali ndugu zangu Wakenya, tunaomba msaada wenu, tuna mwanafunzi amehitimu A level (High school) Tanzania, na Results zake comb ni CBG na chemisry B , Biology C, Geography...
DAMAX is looking for Program Management volunteer living in in Bunju, Mbweni, Boko, Tegeta, Wazo
DAMAX is a consulting firm specialized in health and development work including research...
Heshima kwenu wanajukwaa, awali wa yote natanguliza shukrani kwa Mwenyez Mungu na wanajukwaa kwa ushirikiano katika kipindi chote ya mihangaiko ya kutafuta kazi takriban mwaka 1 na miez 3 hatimae...
Wapendwa JF
Mimi ni mwajiriwa katika halmashauri ya wilaya kama Afisa kilimo. Kwa sasa ninataka kuhamia kituo cha utafiti wa kilimo lkn sifahamu taratibu zitakazoniwezesha kuhama mwenye yeyote...
HABARI KWENU WAKUU.
Ni matumaini yangu sote tupo salama na tunaendelea na mapambano ya kimaisha kila kona ya dunia.
Wakuu nimejaribu pitia pitia japo sijafanikiwa kukutana na uzi unaohusiana...
Rejea mada hapo juu, naomba kuwasilisha ombi la internship kwenye makampuni au ofisi inayohusi nafasi ya I.T kwa taarifa hapo chini.
Sex: Male
Age: Adult
Education: bachelor degree.
Skills
- Web...
Part Time Employment ? Operations Executive
A small family owned enterprise is looking for an operations executive to run their day to day activities in Kibaha, Pwani.
The candidate should...
Anahitajika msichana wa kazi za nyumbani hapa Dar es Salaam. Eneo husika ni Tegeta, msichana huyo ataishi nyumbani kwa muajiri wake. Ni familia ya watu 4 ( Baba, mama na watoto 2). Piiga simu...
Habari, jamani wana jamvi! Nauliza, kama nimepangiwa kituo cha kazi na nisiporeport kazini kuna tatizo lolote baadae kama nikitaka kuajiriwa serikarini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.