Habari za jioni wana jamvi!!
Last week kuna nafasi za mbali mbali zilitazwa kupitia zoom na ajirazetu.Hizo post zilikuwa za mine surveyor na zingine nyingi,hao waliotangaza walijiita Labour...
Anatafutwa mwalimu mahiri wa somo la stadi za kazi, mwenye uzoefu wa kufundisha somo hilo, mwenye upendo na watoto.
Shule ni ya mchepuo wa kiingereza, ipo Mbezi beach, Dar es salaam. Anatakiwa...
me ni kijana nasomea mambo ya IT natafuta kazi kama kuna mtu nahitaji kijana kma mimi ani pm ila bado sijamaliza chuo but ni enough skills .
mambo ambayo naweza kufanya ni
networking
ku create...
2.2. ASSISTANT CUSTOMS OFFICER – (40 VACANCIES)
2.3.1. Purpose of the job
To ensure the correct declarations of both import and export entries, and correct any anomalies and...
Do you know someone or are you looking to change your current job or just looking for an exciting opportunity? If yes, I am looking for .NET developers who have good experience in Visual Studio...
Kwa niaba yake ..
Na kwa kutekeleza ombi lake.....Ni dereva kutokana na umri wake na mazingira ya familia yake ...yuko tayari kuendesha gari ndogo kupeleke watoto shule na kuwarudisha nyumbani na...
Wadau hawa jamaa wa Duce waliaidi kuwapigia watu simu, kwa wale watakaofanikiwa kufaulu kuendelea na hatua ya oral..
Swali je, kuna aliyeitwa humu ndani, ili tuendelee kuwaza mambo mengine!?
GRANEX ENGINEERING WORKS
We are registered engineering work on the following areas:
Services
· Industrial, Commercial and Domestic Electrical maintenance, wiring and Installations
·...
Habarini wana jamvi.
kuna msichana anatafuta kazi yoyote ya kumkeep bize ni muhitimu wa kidato cha nne 2015 anakaa Dar ., yuko tayari kufanya kazi kwenye shirika au hata kwa mtu binafsi...
Habari zenu wakuu,
Wanahitajika electrical technician wawili, holders wa diploma na wawili wa machanical from either DIT, MUST au ATC. Tafadhalini nawahitaji very urgently.
Mkataba ni full time...
Nimehitimu kidato cha 6 mwaka 2015, nilijaza form za kujiunga na jeshi la polisi, nilisikia kwamba usaili kwa wahitimu wa 2015 ni mwaka huu 2016, kama kuna mtu ana taarifa zaidi anisaidie tafadhali
Salaam kwa wote,
Natafuta vijana wawili au watatu wa kufyetua matofali. Matofali sio ya kuuza. Kufyetua matofali 60-100 kwa siku. Malipo tutapatana kwa kila tofali. Sehemu ni Mbezi Salasala.
Habari wana bodi,
Mimi ni Kijana ninae subiri kusonga mbele kimasomo kwa wakati huu ambao niko Free ningeomba tempo popote ya Field yangu hii ya umeme kwani nina uzoefu nayo.
Vitu ninavyoweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.