Jamani hivi ukiandika barua ya maombi ya kazi huwa ukishamaliza kuiandika kwenye Microsoft word unai-copy halafu unai-paste kule kwenye e-mail kwenye chmba cha ujumbe? Au unai-attach kama CV au...
Habari zenu wadau,
Kutokana na changamoto za maisha suala la kujiajiri au kuajiriwa ni la mtu binafsi, hivyo kwa wale waliochagua kusubiri kuajiriwa mara nyingi suala la usaili (interview)...
Baraza la uwezeshaji la taifa (NEEC) kwa kushirikiana na ILE wamezindua Ajira Yangu Business Plan Competition kwa Vijana wenye umri wa miaka 18-35. Maombi yanapokelewa kuanzia 18 April -09 Mei...
habari ndugu zangu mm ni kijana mwenye technician certificate nliochukulia katika chuo cha MUST (mbeya institute).Shida yangu kuubwa ni kuulizia ni kwa namna gani naweza kupata internship...
Hawa jamaa EXPART LINKRS walitoa nafasi nyingi za kazi iv majuz ila ajabu wame shortlist watu alafu wanadai interviewee aje na 25,000/TSH ..jaman hawa ni majipuu
Kumekuwa na sintofahamu nani anaerudisha mtumishi kwenye payrol kama ni katibu mkuu elimu tamisemi au katinu mkuu wizara ya elimu au wote wanamamlaka.msaada hapo
NIMETUMIWA HII KWENYE EMAIL MSISITIZO KWENYE RED
Hi Applicant!
I have the pleasure to inform you that the RECRUITMENT TEAM has received, reviewed and thoroughly discussed your credentials and has...
Hivi umehangaika muda mrefu kutafuta kazi, baadaye umepata kwa tabu sana tena serikalini ile unaanza tu inatokea bahati mbaya anko Magu anakutumbua au umepata private ile umeanza tu baada ya miezi...
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara, Idara zinazojitegemea, Taasisi za Serikali, na Mamlaka ya...
Dada wa kazi za ndani yaani house girl anahitajika awe na umri wa miaka kuanzia 18 na asizidi umri wa miaka 20 pia awe na nia kujiendeleza katika taaluma ya ufundi.
Naombeni tusaidiane katika...
Habar Vijana wenzangu, nahtaji Vijana Wa Kufanya nao Kazi ya kuuza sabuni za alovera na manjano kwa hapa dar, kwa ambao wako tiyar mnakaribishwa sana piga 0654957658
Ndugu zangu napenda kutanguliza salamu kwenu.
Kama mlisoma tangazo la kujiunga na JKT 2016, katika kipengele cha 9 au 10 kinasema " Awe na cheti original cha matokeo/ transcript". Ugumu unakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.