Habari wanajamvi. Nilikuwa mwajiriwa wa katika sekta ya elimu kwa muda wa miaka saba then baada ya kujiendeleza nikahamishia ajira yangu kwenye moja ya taasisi za serikali ila sasa nataka kurudi...
Habari za majukumu wakuu? Samahani, Nina rafiki yangu amebahatika kuitwa katika usahili wa PCCB, Katika vitu vilivyoorodheshwa kwenda navyo siku ya usahili ni ramani inayoonesha eneolako la makazi...
Naomba kujuzwa jinsi ya kuandika barua ya kikazi inayopitia kwa watu wawili, mfano unataka kuandika barua iende kwa Managing Director lakini ipitie kwa Human Resources Officer
Nimeuliza watu...
Habari zenu wapendwa, naomba kama kuna mtu anafanya kazi ya uhasibu kwenye kampuni za mabasi makubwa anisaidie ndio nmemaliza chuo, nimefanikiwa kupata kazi ila sina mtu wa kunielekeza. Boss...
Habari wakuu!
Hivi ni kweli ukipata check number Serikalini una uwezo wa kuhama Shirika yaani mfano TRA tawi la Kigoma kuja TPA Dar endapo tu una channel na kuna nafasi hiyo sehemu unayotaka...
Habari za leo ndugu zangu.
Naomba msaada je hizi status za ajira portal zipoje. Mfano kwenye portal imeandika SELECTED FOR Oral Interview. Selected for Ina maneno ya kijani lakini kwenye website...
Jaman kama kuna mtu amewahi fanya usail pale Cocacola Kwanza naomba anipe desa kidogo. Hivi interview zao huwa zinakuwaje?
Naenda fanya usail wa Resident Account Developer
Habarini wakuu..
Tafadhari aliewahi kufanya written interview Utumishi hivi karibuni zinakuwaje?
Manake kila mtu anasema yake tafadhari naombeni nisaidieni.
Habari wanajf, Naomba kwa yeyote anaefahamu TRA wanatoa aina ganii ya maswali kwenye written interview maana ndiyo mara yangu ya kwanza kuona interview ya civil engineering TRA, ninachojiuliza je...
Nawasalimu wote.
Nina mtoto wa ndugu yangu yupo Dar hapo amemaliza mafunzo ya udaktari..yaani medicine ila kwa sasa alichelewa kufanya application za wizara kwa ajili ya kuanza Internship yake na...
Habari zenu wakuu, Napenda kujitokeza kwenye jukwaa hili kwakuwa naamini humu kuna watu wafani mbalimbali na wenye connection mbalimbali.
Umri wangu ni Miaka 32
Ni mkazi wa Dar es Salaam
Nina...
Eti inawezekana kwa mtu aliehitimu darasa la saba akajiunga na Chuo cha Polisi kwa sasa.
Kuna bint yupo fomu two, eti anaacha shule kapata nafasi ya Polisi hilo linawezekana?
Mambo vipi wakuu? poleni na majukumu. Naomba kuuliza mwenye kufahamu, hivi portal ya Taesa bado iko active au ilishakufa? Maana kwenye siku za hivi karibuni nimejaribu sana kufungua account lakini...
habari zenu wakuu,
nipo hapa kuulizia upatikanaji wa hizi nafasi za kazi ktk makampuni ya usafi wa ofisini ,vyuoni n.k je zinapatikanaje? maana kuna ka"mshkaji" kana BIG FOUR csee17, kanaulzia...
Kwa yeyote yule anayeifahamu shule ya St. Jude Arusha kazi zake za kuajiriwa au kujitolea ni lazima uchangie kwa sisi Watanzania
Nimekutana na kazi katika kujaza form nikakutana na kipengele...
HABARI WANA JF
Mimi nilisoma Magogoni (TPSC) Basic Technician Certficate in Information Communication and Technology (BTCIT) na nimefanya field miezi mitatu mara baada ya kumaliza certficate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.