wanajf habari za zenu, Natafuta sehemu ya kufanya internship kwa hapa mwanza kwenye private institutions/company, NGOs na mashirika kama(ppf,nssf,pspf etc.) Na kwengineko ili nipate exposure...
Wadau Ofisi ya sheria ndio inaanza kazi inahitaji secretary wa ofisi.
Ofisi ni ya sheria na ipo Dar.Ajue kuchapa na basic computer knowledge na apllications pamoja na office set set up na usafi...
Habari wadau?,natafuta kazi yeyote ile ya kufanya ili mradi inanipa kipato kizuri cha kujilimukimaisha,elimu yangu ni form six na ninaujuzi wa komputer pia na ninafanya kazi kwa bidii sana kupita...
Ngugu zangu wanajamvi naombeni msaada wa mawazo ni kitu hasa natakiwa kuwa navyo makini kwenye interview maana hii ndo mara yangu ya kwanza nili apply kwenye zoom tanzania shirika la openhands...
DAR ES SALAAM. TOUR ESCORTS Kampuni
inayo husika na kusindikiza na kuongoza
watalii na wageni wa ndani na nje ya nchi,
inatangaza nafasi za kuongoza na kusindikiza
watalii na wageni kutoka...
habari wa jf mm naishi mkoani naomba kwa yeyote ambae anaweza kunipatia sehemu ya kujitola kufanya kazi kama msaidizi wa afisa ugavi sehemu yoyote Arusha ili nizidi kupata uzoefu katika ujuzi...
Wadau wa jamii forum naombeni msaada kama kuna mtu anayefahamu chuo chochote hapa tanzania
kinachotoa short courses za mambo ya fraud(especially fraud za mambo ya fedha ie binj financial...
habari jf.....kuna link iliwekwa hapa ya ajira nikakuta post za hili shirika linaitwa good neighbors....hivyo nimeitwa interview wiki ijayo.....mwenye kulijua shirika hili vizuri.....interview zao...
Wewe ni mjasiriamali na unapenda maendeleo? Basi nakukaribisha katika mkutano huu ili uweze kuzifahamu mbinu na fursa sahihi za kukitimizia ndoto zako.
Badili fikra, timiza ndoto yako...
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inaendelea kutoa tahadhari kwa mara nyingine tena kwa waombaji wote wa fursa za ajira Serikalini kupita Sekretarieti ya Ajira kuepuka matapeli...
Salaam kwa wote,
Natafuta vijana wawili au watatu wa kufyetua matofali. Matofali sio ya kuuza. Kufyetua matofali 60-100 kwa siku. Malipo tutapatana kwa kila tofali. Sehemu ni Mbezi Salasala.
Samahani sana ndugu zangu nataka kufungua kampuni ya Fumigation now nipo katika masuala ya usajili, nataka kujua ni mikoa ipi nitapata zaidi soko na changamoto zake.
Naomba kuuliza kama unataka kuresign kuacha kazi tarehe 22 (mwishoni mwa mwezi) mara tu baada ya kupokea mshahara na kuandika kuresign masaa 24, je unawajibika kurudisha mshahara wa mwezi mmoja...
Naomba kuuliza kama unataka kuresign kuacha kazi tarehe 22 (mwishoni mwa mwezi) mara tu baada ya kupokea mshahara na kuandika kuresign masaa 24, je unawajibika kurudisha mshahara wa mwezi mmoja...
Mtaalamu wa kuuza Duka la Madawa ya mifugo anahitajika haraka sana. Awe na sifa zifuatazo: Awe na Certificate ya Animal Health and production kutoka Chuo kinachotambulika PIGA SASA HIVI SIMU NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.