Kwa sasa nafahamu OPRAS ndio inayotumika sana hususani upande wa serikalini yan MDA's na LGA's, Je kuna zipi nyingine ambazo zinatumiwa na makampuni ama taasisi nyingi kwa Tanzania mwenye uelewa...
Habari wandugu!
Ningependa kuja Kenya kujitolea kwa kazi za kijamii kwenye NGO yeyote hapo kenya kwenye mkoa wowote nina shahada ya kwanza ya social work na uzoefu wa miaka mitano...
Habari za Leo wakuu.
Kuna NGO moja inajiita ECHO-AID ambayo imetangaza ajira sasa hivi ''Accountant'' ikisema mshahara ni Euro 3,459pm to 3,987pm.
Napenda kuwajulisha hii ni NGO ya kitapeli na...
Nimemaliza udsm bachelor of arts in economics na gpa ya 3.0 ambayo ni lower second, kuna sehemu nyingine naitwa interview na zingine siitwi.
Hivi tatizo la kutoitwa hizo sehemu zingine inaweza...
Niko Mwanza, ni mwandishi chipukizi wa vitabu vya ushairi, hadithi na articles mbalimbali, pia birthday cards,thank you cards,family cards,inspirational cards n.k.
Nahitaji web designer mmoja...
Asalam wana JF
Jamani katika harakati za kupeleka fadhila kijijini tumeamua kwenda kujenga nyumba huko ya wazazi. Hivyo tulishaanza mchakato wa kufanikisha hili tulishaandaa tofali na kuchimba...
Hi wakuu,natumai hamjambo.
Jaman ndugu zangu nilikuwa naomba niwashirikishe hili,natafuta kazi kama vile supermarket,reception hata duka la nguo.
Wasifu wangu;
Form four,college (Nina Advance...
Mimi nina Bachelor of science in food science and Technology, natafuta kazi sehemu yeyote.
Naombeni msaada wenu 0758 106 501 kwa mwenye kazi atanipata.
Hi Applicant!
I have the pleasure to inform you that the RECRUITMENT TEAM has received,
reviewed and thoroughly discussed your credentials and has fianlly made a
final deciosion of calling you...
Habari wanajukwaa naitwa ibrahimu Riyad Houmud Ruwehy naishi arusha kama kichwa kinavyojieleza natafuta kazi ya uandishi wa habari, makala.n.k kwenye blog/website nina vifaa vyote vya kufanyia...
Nilikuja mbele yenu kuomba uwezekano wa kupata kazi kwa kada ya storekeeper, assistant logistics, assistant supplier, warehouse contoller nk
Nimemeet na matapeli wengi wastaarabu nk ila bado...
Wakuu habari za muda huu, bila shaka mu wazima wa afya.
Najitokeza mbele yenu kutafuta kazi katika blog au website ,nipo tayari kufanya kazi muda wote (24hrs) pia ubunifu katika kazi.
Nina uwezo...
Kwa wale fresh graduates huwa kuomba Kazi unafanyaje,unakuta vigezo vyote vipo isipokuwa ya experience,wengine wanakaa kitaa hata mwaka mzima,je wenzangu mnaoapply huwa ukiona hicho kigezo mnatuma...
habari zenu,Mimi ni mdada mwenye umri wa miaka 26 nipo Dar Elimu yangu ni kidato cha sita natafuta kazi yeyote ya halali naomba msaada wenu waheshimiwa Mbarikiwe...
Najitahidi sana kutuma maombi ya kazi kila uchao lakini mpaka sasa sijabahatika kupata ajira ya kunisaidia kuendesha maisha yangu.
Haipiti siku bila kupitia website ya utumishi kuona kama kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.