Niliomba kazi muhimbili MUHAS kwa kada ya assistant supplies ila siju huwa wanatumia njia gani kutoa taarifa za waliochaguliwa kwa Ajili ya usaili na muda umeenda kidogo mwenye kujua anijuze...
Mara nyingi wengi wetu tumekaa tukisubiri kuja kwa fursa katika maisha yetu, lakini je ni sahihi kukaa (kubweteka) kusubiri kuja kwa fursa ? Jibu langu - HAPANA. Lakini pia ikumbukwe kwamba kama...
Habari Wadau
Sisi ni walimu tarajali, tunategemea kuhitimu Chuo miezi mitatu ijayo
Tumebobea Kwenye masomo ya Chemia Na Bilojia toka UDOM tunaomba Kama kuna sehemu kuna uhitaji wa Walimu Wa aina...
Wakuu tunahitaji Mstaafu yeyote mwenye Diploma au Certificate ya Pharmacy aliesajiliwa na Baraza la Famasi na awe tayari kufanya kazi katika Wilaya zifuatazo Mkoani Mwanza.
Magu, Misungwi au...
Kama mnayofahamu Bodi ya mapato Zanzibar ipo chini ya Wizara ya Fedha ya Tanzania na ni sehemu ya Muungano wetu.. Cha ajabu na kushangaza Bodi hii imetangaza Nafasi za Ajira ila kigezo lazima uwe...
Nimeitwa kwenye interview kesho asubuhi na mapema.
Nahitaji kujua kwamba je kuna umuhimu wowote wa kutoa handshake baada ya kufungua mlango na kuingia ndani, na kukutana na interviewer?
Na...
we need php programmer who is able to code,integrate and customize php system based on codeigniter and other framework as soon as possible
if you believe your good please send your cv to...
Employment opportunity in Tanzania - Programme Director, Coastal Rural Support Programme, Tanzania. For more information please see attached.
Aga Khan Foundation
EMPLOYMENT OPPORTUNITY IN...
jamani wakuu maisha ya mtaani kero, nimesoma pharmacyngazi ya cheti lakin mpaka sahiv nipo mtaani kama kuna kazi uko inayohusina na uju wangu tusaidiane. kwa mawasiliano 0657025002
MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO
ULIOFANYIKA TAREHE 19-04-2016
Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika
na vyeti halisi (Original Certificates)
KADA: CHEMIST II
MWAJIRI: GOVERNMENT CHEMIST
LABORATORY AGENCY...
Nimepata kazi ya Cashier pharmacy store baada ya mda mrefu kuhangaika bila mafanikio kama miaka miwili na miezi 3 though nilifanya Fanya zingine na kuacha ila sizihesabu naombeni mnitie moyo...
Habari yako mwana JF,
Ni matumaini yangu hamjambo na mnaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa. Niende kwenye kiini cha uzi wangu. Kuna dada ameniomba nimsaidie kupost tangazo la kutafuta kazi...
Habari zenu jamani
Mimi hapa natafuta kazi yoyote iliyo halali hata ya kuuza duka la vyakula sawa maana hapa nilipo sina hata sehemu ya kulala nimehifadhiwa kwa rafiki yangu. Nipo dar ni mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.