Wewe ni mfanyakazi wa Serikali, Kada ya Kilimo (Afisa Mifugo, Afisa Kilimo, Bwana Nyuki n.k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Kutokana na wengi kuweka maombi ya watu wa...
Salaam!
Ni muda sasa humu Jukwaani kumekuwa na mabandiko ya watu mbalimbali wakiomba kazi, zile za ujuzi mahususi na zile za jumla.
Baadhi ya wanaoandika wamekuwa wakitaja sifa zao, wengine...
Habari zenu wana-JF?
Naomba msaada wa jinsi ya kuandaa CV yangu..
Mie ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho Computer science, nataka kuandaa CV yangu vizuri.
Shukrani!
Namna ya kuandika CV...
Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014...
nnahitaji gar kwaajili ya kuendesha kama Uber
umri 26 yrs
loc mbezbich
experience uber over 1000 trips
botl over 1000 trips
hesabu kawaida 150k
mkataba 180-190k
muaminifu smart sina longolongo...
Naitwa Nicholous mkazi wa daresalaam tabata natafuta gari kwa ajili ya biashara ya uber na bolt, mimi ni dereva mzoefu na mwaminifu natafuta gari iwe ya mkataba au hesabu nachukua, kwa yeyote...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
JESHI LA POLISI TANZANIA
KUITWA KWENYE USAILI KWA WALE WALIOCHELEWA
Jeshi la Polisi Tanzania linawatangazia wahitimu wa Kidato cha...
USIPATE TABU NA MASHAKA KAMA UNAHITAJI GARI KUBWA, COSTA NA SAIZI YA KATI HASAHASA GARI ZA KAZI.
mimi nipo hapa kwa ajili yako nakusubiri kwa lengo moja tu nihakikishe umepata gari...
Habari! Nahitaji mabinti wa kazi ktk kampuni ya usafi iliyopo Dar es salaam,Mshahara wa kuanzia ni Sh.150000.Umri usizidi miaka 35 pia kwa wale wenye vyeti vya food production and house keeping...
Habari
Mimi ni dereva uber na bolt nina uzoefu wa zaidi ya miaka 4, nahitaji gari iwe mkataba au hesabu kwa ajili ya kufanyia kazi, kwa atakaye hitaji dereva nipo free mda wowote tuwasiliane kwa...
Habari ndugu humu,samahani eti Kuna njia yeyote mtu anaweza kutumia ili kupata ufadhili kutoka serikalini kwa masomo ya ngazi ya diploma akiwa ametoka form 6 katika vyuo vya ufundi Kama DIT
Naitwa Muhammed naishi dar umri wangu miaka 30 Nina familia na mtoto mmoja hali yangu kiuchumi nimbaya sana nilisomea Ualimu masomo ya Geography na History ila kazi cjapata.
Hivyo naomba kwa...
Habari ndugu zangu mimi nikijana mchapakazi ni dereva wa uber natafura gari ya kazi nina leseni pia na account natafuta gari kwa ajiri ya uber namba zangu 0628729873
Naitwa Innocent mvulana kutoka Arusha mwenye taaluma ya maabara ngazi ya diploma, natafuta kazi ya maabara Arusha au Moshi mweneye uelewa tafadhali naomba mawasiliano kupitia 0763506458, asante
Naitwa Wilson mwamakalapya,
Mwenyekt Wa kikundi cha vibarua mashambani. Tunafanyakazi zote za mashambani, tupo Mbeya,songwe,iringa na NJOMBE pia vijana wanasafiri kwa kazi za nje ya mikoa tajwa...
Naitwa edson Joseph malingumu natafuta kazi ya salon upande wa nail artist, pedicure & mancure. Kwa sasa naishi nchini uganda ndo nako nafanyia kazi Ila naitaji kurudi nchini kwangu. Nna uzoefu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.