Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014...
Habari zenu wana-JF?
Naomba msaada wa jinsi ya kuandaa CV yangu..
Mie ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho Computer science, nataka kuandaa CV yangu vizuri.
Shukrani!
Namna ya kuandika CV...
Salaam!
Ni muda sasa humu Jukwaani kumekuwa na mabandiko ya watu mbalimbali wakiomba kazi, zile za ujuzi mahususi na zile za jumla.
Baadhi ya wanaoandika wamekuwa wakitaja sifa zao, wengine...
Wewe ni mfanyakazi wa Serikali, Kada ya Kilimo (Afisa Mifugo, Afisa Kilimo, Bwana Nyuki n.k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Kutokana na wengi kuweka maombi ya watu wa...
Nafasi zimeshaanza kutangazwa ktk baadhi ya wilaya zenu hivyo kwa wale wanaohitaji nenda ktk wilaya yako husika ktk office za mshauri wa mgambo
Kwa wale wa wilaya ya kinondoni mkoa wa dar es...
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6...
VACANCIES ANNOUNCEMENT
Director General of the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) invites qualified Tanzanians to fill vacant posts as shown below:
1.0 INVESTIGATION OFFICERS...
Hello wakuu!!kama kuna mwenye mchongo wa job za hao watu, plz naomba anijulishe. Elimu yangu ni ya vidato 6.
Sababu ya mimi kutaka kuwa nao ni mapenzi yangu binafsi tu na hiyo kazi..
Miezi michache iliyopita wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu wamemaliza mitihani yao ya mwisho wa mwaka. Na kati yao kuna ambao wamemaliza masomo yao ya elimu ya juu. Kwa sasa wengi wanaomaliza...
Bank Officers (Several Positions)
Location: Central Zone, Dar Zone, Eastern Zone, Highland Zone, Lake Zone, Northern Zone, Southern Zone, Western Zone.
Job Purpose
To provide outstanding...
Kwa wale wanaopenda kujiunga na JKT kwa mwaka huu nafasi ziko wazi. mchakato unaanzia Wilayani kwako. Tembelea ofisi ya wilaya yako kwa maelezo zaidi.
=========
Jeshi la kujenga taifa JKT...
Naomba kujuzwa kwa anaofahamu nafasi za jkt mikoani zinatoka lini??
=========================================
Mkuu, jeshini kwa sasa kuna figisu sana na JKT kwa kujitolea baada ya mafunzo unakaa...
Wadau!
Lleo nilikutana na mfanyakazi mmoja wa Serikalini, niliongea nae kuhusu ni jinsi gani mtu anaweza kupata ajira ndani ya Jeshi la JWTZ, Usalama wa Taifa na taasisi zilizopo chini ya idara...
Habari wananchi na wasio wananchi lakin mko Tanzania,
Kwa makusudi nimeamua kuanzisha thread hii iwape mwongozo vijana wanaosaka ajira Nje ya Tanzania na Nje ya Africa kwa ujimla,
Ili upate...
Ofisi ya Rais - TAMISEMI inapenda kuutangazia Umma kuwa Serikali imetoa kibali cha nafasi za ajira ya walimu ili kujaza nafasi wazi zilizopatikana kutokana na walimu waliofariki, walioacha kazi...
Huu ni uzi maalumu kwa ajiri ya kushare Maswali ambayo ulishawahi kukutana nayo katika Interview za UTUMISHI (PSRS) kwenye kada tofauti tofauti iwe ni Oral,pract au written....
Acha swali...
Kwanza napendeza kuipa hongera kwenda ajira.go.tz kwa jitihada utumishi wanazozifanya katika kusogeza huduma karibu kwa wateja. Je wewe ni mmoja kati ya watu ambao wameshawahi kufanya maombi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.