Habari zenu wana jf. Nimekuja hapa kuwatumbulishia application mpya inayoitwa Tuni. Hii app inapatikana Google Playstore na ina katuni mbalimbali zinazoweza kumsaidia mtoto wa kwanzia miaka mitatu...
Habari wana JF.
Nauza Gaming PC yangu Mashine pamoja na Monitor ya LG, keyboard na mouse. Unaweza itumia kwa shughuli mbali mbali za production kama Video Editing, Photo Editing, VFX, 3D...
Habari zenu.
Nauza migebuka mikavu na mibichi kutoka kigoma.
Wabichi wanauzwa kwa mmoja sh.1500 na kilo moja sh.11,000
Ipo fresh kabisaaa
Mikavu ipo, kuna mmoja 1000 na 2000
Fungu la wanne kwa...
Nyumba ya ghorofa inauzwa ipo Bahari beach bajeti.nyumba imefc Lami na panaafa kwa biashara na makazi pia.
Ina vyumba 4 vyote ni self
Size plot 1200 SQM
Bei 680m
Mawasiliano zaidi 0756060183...
1. Hali ya Gari: Gari halina shida yoyote, ila halijatembea kwa muda. Ni Nissan Patrol
2. Gari lilipo: Gari lipo Goba Mkoani Dar es Salaam
3. Bei ya Gari: Ni Tsh milioni 45
5. Mawasiliano: Piga...
Kama Unathamini Laptop/Desktop yako Usikubali Hii Ikupite.....!
Habar Ndugu....
Hata Kama umekuwa Ukitafuta Vifaa vya Laptop/ Desktop kwa Kipindi cha nyuma bila Mafanikio leo kuna Suluhisho la...
Plumbing bc inatoa huduma Kwa wateja wanayependa huduma mzuri,zifuatazo ni huduma baadhi tunazo zitowa
1)skimingi nyumba,shule, hospital nk
2)tunaseti mifumo ya maji aina zote
3)tuna Jenga...
Habari njema kwa wakuu wote wa shule nchi nzima katika wakati huu Dodoma ITech company tumekuja na huduma ya mafunzo ya matumizi ya mfumo wa Bemis School Information System(SIS) na technical...
Pata ramani nzuri na za kisasa zaidi
Kwa wachoraji waliobobea katika maswala ya uchoraji ramani na ujenzi pia tutakupa ushauri kuhusu maswala ya ramani na ujenzi kwa ujumla
Mawasiliano...
Ni mambo machache ambayo ni muhimu kwa afya zetu kama maji. Kila seli, misuli, na kiungo katika miili yetu hutegemea maji kufanya kazi ipasavyo.
Lakini kuna tatizo: Sio maji yote ya kunywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.