Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Mimi ni Mtanzania ninayeishi China. Mji wa Guangzhou,nimeishi hapa kwa muda wa miaka mitatu(3). Nina uwezo wa kuzungumza Kiswahili,Kiingereza na Kichina. Pia ninafahamu masoko na Viwanda yenye...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kilipo: Bwawa la Mindu karibu kabisa na Barabara ya Moro-Iringa Ukubwa: Ekari Moja Bei: Mil.10(Mazungumzo yapo) Mawasiliano: PM kwangu nikuunge kwa mwenye eneo Karibuni wote! Mzee Tupatupa wa...
0 Reactions
2 Replies
857 Views
Nimepata kusikia kuwa gari aina ya Suzuki Swift ni gari nzuri sana kwa mtanzania wa ngazi ya kati(Middle Class) kwa matumizi binafsi katika mazingira ya mijini Kwa vigezo vya BEI NAFUU, MAFUTA...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Wasalaam ALEIKHUM wakuu Simu Galaxy SII inauzwa laki 4 tu, inapiga mzigo fresh Defaulty Imepasuka kioo cha mbele sehemu ya juu (Tazama Picha) hakuna tatizo lingine zaidi ya hilo Nasikitika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
viko kilomita 2 kutoka morogoro road ,size mita 25*23 million 4.5 na 20*20 million 3.5 vinafikika vizuri kwa gari , na umeme ukojirani kabisa. (piga 0715055577/0769055577 kwa taarifa zaidi)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau, Nauza eneo ambalo tayari linayo nyumba ndogo ya uwani yenye vyumba vitatu. Eneo lililopo ni hatua 40-35, halina miti au mazao yoyote. Lipo ndani ya jiji la Dar maeneo ya uwanja...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Msaada jamani,natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya ilala,magomeni au g'mboto. Madalali,changamkieni tenda.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale wenye Guest house,Mahotel,Kambi na wanaohitaji kusambaziwa channel tuwasiliane kwa PM ni channel zozote uzitakazo wewe ziwe FTA au za kulipia. Bei ni nafuu sana. Aksanteni sana pia...
0 Reactions
1 Replies
750 Views
HABARI WAKUU, mzigo hauna mwezi ,,mpya bado,, 800,000 tu,, nakupa simu na charger 0712 507060 karibuni
0 Reactions
0 Replies
852 Views
Wadau, kinga'muzi cha Startimes kimenishinda. Nalazimika kutumia antena tatu, ili kupata chanel za kutazama. Kila antena ina chanel zake. Nikitumia antena moja napata baadhi tu. Nimejaribu kufuata...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
wana JF kuna kiwanja kinauzwa bei nzuri kipo Mtwara Mjini kimepimwa kina ukubwa wa squere meter 1500(low density) kipo katika eneo la MItengo jirani kabisa na mji mdogo wa mikindani mtwara mjini...
0 Reactions
1 Replies
897 Views
Hallo, Kwa yoyote Mwenye Kuhitaji Mini Laptop zenye kukaa na chaji kwa Masaa zaidi ya 10. Pia ni frendly kwa wale walio na shida ya Umeme kukatika Mara kwa Mara kwani waweza kuichaji kwa Umeme wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta android used kwa yeyote mwenye nayo aniuzie bajeti yangu ni tsh130,000/= tuwasiliane kupitia 0752490238.
0 Reactions
6 Replies
999 Views
Mimi ni Mtanzania nipo hapa London kwa vikao, nimefika tarehe 10 June na nitaondoka tarehe 19 June kurejea Tanzania. wakati wa w'end tarehe 14 na 15 June nitakuwa free, nitapenda kukutana na...
2 Reactions
0 Replies
878 Views
brandnew macbook pro core i5 ram 4gb hardisk 500gb graphics intel hd graphics 4000 384mb graphics bei ni 1,400,000
0 Reactions
3 Replies
899 Views
Nauza nokia c7 used ina screen protector bei ni 240000. Nipo dar.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Android 4.0.3 lg optimus iko sokoni...tsh laki 4.5...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Microbiological analysis of water and fruit juices. Mikrobiologika Uchambuzi wa maji na juisi. Microbiological analysis of potable water and fruit juices are done at the Department of Molecular...
0 Reactions
0 Replies
975 Views
Karwela Electronics introduces you Brand new 3 Samsung S3 phones With 1year warranty If you have not seen the image of it refer below Call 0766026849 Call 0766026849
0 Reactions
5 Replies
959 Views
Ni wale wanaopenda mchele wa asili uliopandwa katika ardhi ya kitanzania mbegu ya asili ya mpunga iliyo oteshwa katika bonde safi lenye rutuba ya asili la magugu mkoani manyara.sasa ni mara...
0 Reactions
0 Replies
974 Views
Back
Top Bottom