Mimi ni Mtanzania ninayeishi China. Mji wa Guangzhou,nimeishi hapa kwa muda wa miaka mitatu(3). Nina uwezo wa kuzungumza Kiswahili,Kiingereza na Kichina. Pia ninafahamu masoko na Viwanda yenye...
Kilipo: Bwawa la Mindu karibu kabisa na Barabara ya Moro-Iringa Ukubwa: Ekari Moja Bei: Mil.10(Mazungumzo yapo) Mawasiliano: PM kwangu nikuunge kwa mwenye eneo Karibuni wote! Mzee Tupatupa wa...
Nimepata kusikia kuwa gari aina ya Suzuki Swift ni gari nzuri sana kwa mtanzania wa ngazi ya kati(Middle Class) kwa matumizi binafsi katika mazingira ya mijini Kwa vigezo vya BEI NAFUU, MAFUTA...
Wasalaam ALEIKHUM wakuu
Simu Galaxy SII inauzwa laki 4 tu, inapiga mzigo fresh
Defaulty
Imepasuka kioo cha mbele sehemu ya juu (Tazama Picha) hakuna tatizo lingine zaidi ya hilo
Nasikitika...
viko kilomita 2 kutoka morogoro road ,size mita 25*23 million 4.5 na 20*20 million 3.5
vinafikika vizuri kwa gari , na umeme ukojirani kabisa.
(piga 0715055577/0769055577 kwa taarifa zaidi)
Habari wadau,
Nauza eneo ambalo tayari linayo nyumba ndogo ya uwani yenye vyumba vitatu.
Eneo lililopo ni hatua 40-35, halina miti au mazao yoyote. Lipo ndani ya jiji la Dar maeneo ya uwanja...
Kwa wale wenye Guest
house,Mahotel,Kambi na wanaohitaji
kusambaziwa channel tuwasiliane kwa
PM ni channel zozote uzitakazo wewe
ziwe FTA au za kulipia. Bei ni nafuu
sana. Aksanteni sana pia...
Wadau, kinga'muzi cha Startimes kimenishinda. Nalazimika kutumia antena tatu, ili kupata chanel za kutazama. Kila antena ina chanel zake. Nikitumia antena moja napata baadhi tu. Nimejaribu kufuata...
wana JF kuna kiwanja kinauzwa bei nzuri kipo Mtwara Mjini kimepimwa kina ukubwa wa squere meter 1500(low density) kipo katika eneo la MItengo jirani kabisa na mji mdogo wa mikindani mtwara mjini...
Hallo, Kwa yoyote Mwenye Kuhitaji Mini Laptop zenye kukaa na chaji kwa Masaa zaidi ya 10. Pia ni frendly kwa wale walio na shida ya Umeme kukatika Mara kwa Mara kwani waweza kuichaji kwa Umeme wa...
Mimi ni Mtanzania nipo hapa London kwa vikao, nimefika tarehe 10 June na nitaondoka tarehe 19 June kurejea Tanzania. wakati wa w'end tarehe 14 na 15 June nitakuwa free, nitapenda kukutana na...
Microbiological analysis of water and fruit juices. Mikrobiologika Uchambuzi wa maji na juisi. Microbiological analysis of potable water and fruit juices are done at the Department of Molecular...
Karwela Electronics introduces you
Brand new 3 Samsung S3 phones
With 1year warranty
If you have not seen the image of it refer below
Call 0766026849
Call 0766026849
Ni wale wanaopenda mchele wa asili uliopandwa katika ardhi ya kitanzania mbegu ya asili ya mpunga iliyo oteshwa katika bonde safi lenye rutuba ya asili la magugu mkoani manyara.sasa ni mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.