Wakuu nahitaji brand new Dell laptop yenye sifa zifuatazo:
Model namba15R 5520 au 5521
Hard disk 1TB
Ram 4-8gb
Processor core i5-i7
OS Windows 8
Nipo serious na bajet yangu ni laki 6.5...
Ndugu wana jamii forum!kwa wale wanaohitaji king'amuzi cha starTime(decoder ya StarTimes)zinapatikana kwa bei poa kabisa !kwa anayehitaji tuwasiliane kw
Viwanja vinauzwa Mbezi Temboni
vipo sita(6) sehemu moja barabara kubwa, umeme upo hapo huhitaji kuweka nguzo eneo limezungukwa na nyumba za kisasa ukifika utapapenda. temboni kwa lady...
Sony xperia v ,new ,water and dust resistance , 13 megapixels
3g ,4g .....................ni kali kabisaa
0778 619 619
0655 619 618
tafadhali mwenye kutaka kununua pekee anaweza kunigigia...
Modern fittings and good living space Master bedroom has an ensuite bathroom Common bathroom and separate washroom Open plan living room, dining area and kitchen Swimming pool office...
Wakuu, heshima kwenu
Nataka kuongeza wingo katika biashara ambayo nimewafungulia vijana wangu. Kwa kuanza nahitaji printer ambayo pamoja na kufanya mambo mengine iweze:
Kuprint picha - including...
Kwa anaehitaji line ya uwakala wa tGO pesa ninazo nauza km muhitaji nichek kwa call: 0757 100 687 na whatsapp au ni PM kwa biashara na muhitaji ambae yupo serious.
As we are entering the second half of 2013, it is high time to reflect and tap into yourself and the goals you have set in the beginning of the year. Ask yourself, have you accomplished most of...
Habari, nnaiuza pikipki yangu Mpya, Bajaj Boxer BM 150 AU kuikodisha kwa mtu ambaye ana mizunguko yz hapa mjini ila hajanunua chombo chake bado. Mimi nimepata kazi Mkoani, mbali sana na Dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.