Camera Zingine zinauzwa...Kama Title inavyo Sema
Camera Zote Mbili Kwa Lak.Mbili Tuu!! Yani 2 For 2
Camera Used Ya aina Panasonic Lumix Yenye 14.1MP 5X Optical Zoom!!
Na...
Tunawakaribisha watu wote katika Hoteli yetu ya Penguin Resort Hoteli, ni eneo zuri lenye utulivu mkubwa na kuna huduma zote kuanzia Chakula,Vinywaji na malazi pia,bei ya chumba ni kuanzia elfu 35...
Wakuu kwa anayefahamu bei ya ekari moja ya shamba maeneo ya magereza ya bagamoyo, na vigaya inaweza kuwa shilingi ngapi? Wenye uzoefu mnisaidie.
Asanteni....
Wakuu salama? Nahitaji fundi mzoefu na mwenye bei nzuri ambae anaweza kutengeneza madirisha ya aluminium, naomba msaada wa hata contacts kama inawezekana! natanguliza shukran za dhati
WanaJF wenzangu!
Plz nahitaji ukumbi wa bei ya wastani kwa ajili ya kufanyia ka-shuguli ketu ka harusi mwezi wa septemba this year!
Naombeni mnijulishe wapi naweza pata!
Hata "open space" pia...
Simu tajwa hapo juu mpya na haijawahi kutumika kabsa inauzwa
Ina android 4.0
Camera ni mega pixel 12
Internal memory ni 32
Waweza kuichek specification zake zaidi hapa...
Wajumbe nimesikia tangazo la DSTV la offer zao katika package na nlikua nataka kujuzwa kama mtu amelisikia vizuri hilo Tangazo mana nimeskia juu juu katika daladala na je ukitaka kuona channel za...
CLICK HERE FOR MORE DETAILS !!
A toyota verossa is now available for sale in Dar es salaam!!
PRICE= 16,000,000 TSHS ONLY !!
Price Negotiable?: yes
Contacts: 0714633314
Country: Tanzania
City...
Jamani mimi ni kijana wa kiume nipo dar,natafuta kazi yeyote kwenye mabaa,migahawa mikubwa,mashirika mbalimbali na hata kwa mtu binafsi,naombeni msaada
A DOUBLE-STOREY HOUSE TO LET1. Location
- Plot no 2173, Block D, Mbezi Beach, Dar es Salaam, Tanzania
2. Room facilities
(i) 5 bedrooms four upstairs and one downstairs (each room is...
wadau wa JF kuna kiwanja kinauzwa eneo: Mtwara mjini mtaa: Mitengo ukubwa:low density ya square meter 1500 na kimepimwa NB:KIPO KATIKA MAZINGIRA MAZURI NA TAMABALALE NI 1KM kutoka katika barabara...
We are real manufacture & distributors of quality sporting goods in Tanzania, get involved in entrepreneurship training which will be conducted at Don bosco youth training centre at Iringa region...
Wakuu,habarini za asubui?Nina mpango wa kununua Harrier,ila sijui ni engine ipi nzuri.Naomba anayeyafahamu haya magari anipe ushauri.Mbarikiwe sana wakuu.
Kifaa hiki ni maalum kabisa kwa kuzuia wizi wa gari yako au kufanya monitoring ya gari lako la biashara
Ukiwa na kifaa hiki kimefungwa ndani ya gari lako unaweza kufanya yafuatayo
1. Ku-locate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.