Natafuta sehemu ambayo nitanunua mbwa wazuri, hususani natafuta Alano espanol breed. Sio kama wa pale victoria, mbwa wenye matunzo mazuri na breed nzuri. Kama kuna mtu anafaham naomba anaijuze. Thanx
5 doors,
2 wheels driving
109475 millage
Namba za usajili T1**AG*
Ipo katika hali nzuri.
Bei 15M
Simu namba 0687 661616,napatikana Kinondoni Moroko, Dar es Salaam.
Picha nimeambatanisha...
Milango ya Mninga pamoja na frame zake inauzwa kwa bei Poa.
BEI; 270,000 (pamoja na frame yake)
LOCATION: Mwenge (Dar es Salaam)
CONTACTS; 0789 427831 Or PM.
Ndugu zangu baada ya kuzichanga sana nimeamua kununua gari double cabin kwa kujiandaa kustaafu. Katika pita pita yangu nimeona gari aina hiyo kutoka uingereza likiuzwa £7,995. Naomba kujua...
Habari wanaJF nawapenda sana.
Tukiwa kama watu tunaosaidiana katika mawazo mengi ya kujengana, mimi mdogo wenu na wengine kaka yenu nina ombi kwenu, natafuta framu ya biashara ambayo nitaweza...
Wadau wa Shock Absorber mnakaribishwa!
Bei ni kama zinavyoonekana hapo chini.
KYB No.
Description
MOQ
Unit price (FOB Shanghai/USD)
343039
shock absorber fit TOYOTA, Rear
100pcs
$7.20...
Wadau naihitaji simu hizi
Iphone 4
Iphone 42
Eperia z
Galaxy s4
Kwa yoyote mwenye nazo au kama una moja wapo ya nilizozitaja apo juu tuwasiliane tufanye biashara nicheck kwa no 0713239001
Do you know many leading companies and organizations in Tanzania are now using LinkedIn to advertise job opportunities, attract and source potential candidates?
LinkedIn is a social media...
Awali niliwahi kuandika Thread Kuhusiana na Blogging, Kutokana na maswali yenye changamoto kutoka kwa wadau mbali mbali, tukaona bora tukutane kwa pomaja ili tuondoe kiwingu chote, naomba...
House for Rent is available at Boko, Dar-Es-SAlaam , from mid July 2011.
Property ID: KDR4001 * Price: TZS 550,000 * Renting
Address: Ununio Beach / Boko Basi, Kunduchi Dar es Salaam
Property...
Naita kwako Tecno N7 kwa bei chee unafungua mwenyewe kwenye box kwa sh. 288,000 tu. kwa mawasiliano piga no 0773 944 944 kwa wale mnaotembelea posta na k,koo nadhani mnajua beizake.
General...
Habari wana JF,
Nauza Mark X used imetoka japan ya mwaka 2005 Kwa bei nzuri kabisa..Karibuni sana please Kwa atakayependa anitafute Kwa namba 0719 717555..
Refer to the previous blog post..
Nyumba Ambayo iko Kibaha kwa Matias...Ilipo shule ya Filbert Bay
Two House in One Plot. Na sehemu ya Kupaki Gari mbili Ndogo
Zinauzwa zote Kwa Bei ya Milioni...
Nahitaji printer kwa leaflet - two sided (size DL 3.2 x 3.9), nitaprint copy 2000 or more.
anyeweza kufanya hii kazi nipe bei katika pm.
Upande mmoja ni kiswahili na upande wa pili ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.