Ramani ya Nyumba nzuri ya kisasa yenye: 1.Masterbedroom 2.Lounge/Sitting room kubwa ya seti mbili za sofa 3.Kitchen na store 4.chumba kimoja kulala 5. Common toilet. Ikiwa na michoro yake yote...
Maeneo ya Mkolani, Buhongwa. Nyegezi pia naweza kufikiria
Chumba na sebule self contained, au
Chumba kimoja self contained,au
Siyo self lakini cha wapangaji wachache, angalau mmoja au wawili...
Habari zenu!
Mwenye namba wa importer wa hizo ladies shoes anaeuza jumla na mwenye mzigo wa kutosha anistue! Reja reja sitaki! Then kuanzia hapo nitaenda kucheki mali then kama inalipa tutafanya...
fremu nzuri ya biashara inapangishwa sh.laki moja kwa mwezi ipo tegeta ccm mita 50 kutoka barabara kuu iendayo bagamoyo..kwa anayehitaj plz call 0717483440
nahitaji ramani ya nyumba yenye vyumba viwili vya kulala,master moja,dinning,sebure ya kuweza kukaa seti mbili za coach na vikoro koro kadha wa kadhaa,jiko,stool, choo cha public..SIMPLE BUT...
Pata eneo kubwa kwa ajili ya kilimo,ufugaji, shule, kiwanda,makazi,nk huko Mkuranga Kiparang"andabarabara ya Kilwa. Eneo lina ukubwa wa ekari 10 na zaidi. Ukitaka zaidi utaongezewa hata kufikia...
cc: 1580
mileage: 130,000km
condition: good condition
price 8,500,000/-
the car is available for inspection after 5pm maeneo ya mwenge to ubungo, kinondoni na sehemu za karibu
contacts:
+255...
Nisaidieni kwenye kuprocess namba ya wakala wa m-pesa, tigo na airtel imekuwa kama nafasi kwa wengine. Maana nimezunguka maofisini kwao naambiwa hawatoi kwa dar es salaama lakini ukitoka...
Gari imesajiliwa mwezi wa tisa mwaka huu,
No T....CNV, ina km 86,0000. Rangi ya silver.
Airbag 2, Mziki, kama kawaida AC za carina mnzijua ni full kuganda, ina engine ya 7A.
Bei ni rahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.