TAASISI ya Jumuiya ya Waislamu na Taasisi za Kiislam, zimetaka Katiba mpya itamke kuwepo na chombo cha kisheria kitakachosimamia na kuwa na mamlaka ya kusikiliza masuala ya Kiislamu. Maoni hayo...
Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba (kulia) wakiongozwa na Dkt. Salim Ahmed Salim wapokea maoni kuhusu Katiba Mpya kutoka kwa uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...
DEMOKRASIA NA KATIBA MPYA NCHINI TANZANIA
MAONI KUHUSU KATIBA MPYA
Kutoka kwa: M.M. Mulokozi [Januari 2013]
Profesa Mstaafu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, S.L.P. 35110, Dar es...
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Awadh Ali Said (kulia) akiongea na Ujumbe wa Baraza la Hindu Tanzania kabla ya Baraza hilo kuwasilisha maoni kuhusu Katiba Mpya katika ukumbi wa...
MAKUNDI maalumu jana yaliendelea kutoa maoni yao kwenye mchakato wa Katiba Mpya, huku DP kikipendekeza Rais aapishwe baada ya siku 90 tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu.
Mbali na maoni hayo...
IJUMAA, JANUARI 11, 2013 05:17 NA MWANDISHI WETU
​*Wamiliki, wanahabari wataka uhuru wa habari utambuliwe
*Dk. Salim ahofia machafuko kutokana na mpasuko wa udini
TUME ya Mabadiliko ya...
Dear All,
Wazanzibari wameishukuru CHADEMA kwa dhati kabisa kwa kumfunga na kumziba mdomo yule mwanachama wao anaeitwa Mzee Mwanakijiji ambae alikuwa akikebehi na kusema kuwa hauna mantiki yoyote...
Tangu mwaka jana TUME YA KATIBA MPYA ilipoanza kukusanya maoni ya katiba mpya imekuwa ikibagua jinsi ya kukusanya maoni na mpaka hivi sasa kundi la wanafunzi wa vyuo vikuu halijafikiwa katika...
kulingana namaendeleo ya teknoma upashanaji wa habari kijana wa miaka 14 anauelewa mpana sana kuliko kijana wa 14 miaka ya 1977 wakati katiba ya sasa ikitungwa. hivyo basi kama ilivyo tunataka...
Mwenyekiti wa Tume ya marekebisho ya katiba; Joseph Sinde Warioba, hivi karibuni amekuwa akitoa matamshi yanayoonyesha dhahiri kutunyanyapaa wananchi ambao tumekuwa mstari wa mbele kutoa maoni...
Wednesday, January 9, 2013
Juzi Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilianza rasmi kupokea maoni ya makundi maalum kwa ajili ya mchakato wa kuandikwa kwa katiba mpya ya Tanzania.
Tume hiyo...
Tume ya Jaji Warioba imeshaanza kupokea maoni ya vyama vya siasa nchini juu ya nini hasa kiwepo na kiwepo kwa namna gani katika Katiba mpya.
Kwa mawazo yangu,naiona hatua hii kama ni hatua ya...
Imeandikwa na Waandishi Wetu Jamhuri, Dar es Salaam
Alhamisi, Desemba 27, 2012 14:14
*Kila mjumbe wa Tume analipwa Sh milioni 294
*Waziri Chikawe asema hizo wanalipwa ‘vijisenti'...
Leo NCCR-mageuzi tulipeleka rasimu ya Katiba kwa Tume ya mabadiliko ya katiba saa 7 mchana, msafara uliongozwa na mwenyekiti wa chama na mimi kama mjumbe nikiwa ndani ya msafara. Huku wanafata...
The Constitutional Review Commission is on course with the review process and the Commission now says the Constitutional Councils could be formed mid-this year.
The Councils are expected to be...
na Mwandishi wetu
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, ametoa ufafanuzi kuhusu hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa usiku wa mwaka mpya na kuzungumzia...
Naomba niseme wazi kuwa mimi ni mkristo, ila nimesikia kuwa mpaka sasa mikoa iliyomingi imekubali mahakama ya kadhi kuingizwa kwenye katiba mpya kasoro Mbeya na Arusha, sasa naomba tujadili kwa...
Kwa siku 3 mfululizo nilihudhuria utoaji wa maoni wa katiba mpya huko Zanzibar,i. wachangiaji wengi wakitumia sec 30 kwa kutamka maeneno machache
Nilichogundua waznz wengi hawataki kabisa...
Ndg Wana JamiiForums,
Hatimaye Wanataaluma Wakristo Tanzania (CPT) wamejitosa katika ulingo wa mchakato wa kuunda Katiba. Kama taasisi, tayari wametoa maoni yao kwenye Tume ya Katiba...
Pigo kwa kanisa, makatibu wa tume ya kukusanya maoni ya mabadiliko ya katiba,ambao wote ni waislam wamechakachua maoni ya wakristo ambao kwa ujumula wao wanapinga katiba mpya kuitambua mahakama ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.