KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

HUTUBA YA UFAFANUZI WA MAONI BINAFSI YA MAALIM SEIF KWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wadau jf amani iwe juu yenu. kufuatana na ratiba ya CRC sasa ni zamu ya makundi,asasi,vyama vya siasa,marais wastaafu,ofisi mbalimbali za serikali nk. tumesikia maoni yao mbalimbali ambayo...
0 Reactions
0 Replies
984 Views
Naomba msaada, sijauelewa vizuri mchakato wa katiba. Baada ya MAONI, hiyo tume itaandika katiba au maaoni yanapelekwa kwa Raisi ndio inaandikwa au Bunge linamalizia. Na kama ni tume itaandika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Rais apunguziwe madaraka 2.mawaziri wote wasiwe wanasiasa 3.wakuu wa mikoa na wilaya wawe wenyeji wa eneo husiku na wasiteuliwe bali wachaguliwe na wasiwe wanasiasa 4....tuendelee 5.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
MIHIMILI miwili ya Dola; Bunge na Mahakama, jana ilitoa maoni yake kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba, huku Spika wa Bunge, Anne Makinda akitaka kuwe na mabunge mawili na kupendekeza kuwa Spika...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Paka ukimpa samaki, hata mkavu, humla kuanzia kichwani. Jaribu uone anytime. Jaji Waryoba anaongoza Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Ukubwa wa tatizo la Mungano wa Tanganyika na Zanzibar na ukubwa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Tanzania tupo katika nchi za Africa mashariki na tupo kwenye ushindani wa kibiashara, kiuchumi na kijamii katika nchi hizi. Wenzetu, Kenya na Uganda wameweka milango wazi kwa watu wa Diaspora. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CLICK HERE TO DOWNLOAD
1 Reactions
39 Replies
36K Views
Je ni wangapi humu JF wameshatoa maoni yao ya katiba mpya?Kwenda kwa tume moja kwa moja,njia ya mkusanyiko wa hadhara,kwa maandishi n.k.Nyoosha mkono useme mimi ni tayari,usiseme uongo.Kama bado...
0 Reactions
1 Replies
816 Views
Nimekuwa najiuliza, kama nchi yetu kwa miaka yote inajinasibu kuwa haina dini, ni kwa vipi viongozi wetu hasa mawaziri na hata mahakamani wahusika wanaapa wameshika Biblia(wakristo) na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimepata habari kwamba Wajumbe wa Tume ya katiba wako ktk mvutano wa chini kwa chini kuhusu hoja ya mahakama ya kadhi. Kuna wajumbe wanataka Mahakama ya kadhi iwepo, wakati wajumbe wengine...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimetafakari sana hili bila kuwa na jibu; Hivi ni kwanini tunazuiwa kutoa maoni ya kuhusu katiba mpya bila kutaja UMRI, MAJINA KAMILI NA JINSIA??? Kwanini UMRI? kwanini MAJINA KAMILI? kwanini...
0 Reactions
0 Replies
938 Views
Nimefatilia mijada ya katiba mpya, kila nikiangalia watetezi wa wananchi kuna mambo bado yanasahaulika katika kumkomboa mwananchi kutoka katika umasikini. Suala la rasilimali. Nilitegemea kuona...
0 Reactions
4 Replies
977 Views
Nimepitia sheria ya mabadiliko ya katiba kuona haya mabaraza yanaanzishwa chini ya kifungu gani cha sheria nimeshindwa kupata. Nimejaribu pia, kutafuta mabaraza haya yakakuwa composed na watu...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
watu wengi wamekuwa wakitoa maoni yao nchi nzima lakini watambue kuwa sio kila wanachokisema na kukipendekeza kitakuwepo kwenye katiba ijayo...na yatachambuliwa baadhi tuu... hivo basi ni nini...
0 Reactions
4 Replies
918 Views
TAASISI ya Jumuiya ya Waislamu na Taasisi za Kiislam, zimetaka Katiba mpya itamke kuwepo na chombo cha kisheria kitakachosimamia na kuwa na mamlaka ya kusikiliza masuala ya Kiislamu. Maoni hayo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba (kulia) wakiongozwa na Dkt. Salim Ahmed Salim wapokea maoni kuhusu Katiba Mpya kutoka kwa uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
DEMOKRASIA NA KATIBA MPYA NCHINI TANZANIA MAONI KUHUSU KATIBA MPYA Kutoka kwa: M.M. Mulokozi [Januari 2013] Profesa Mstaafu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, S.L.P. 35110, Dar es...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Awadh Ali Said (kulia) akiongea na Ujumbe wa Baraza la Hindu Tanzania kabla ya Baraza hilo kuwasilisha maoni kuhusu Katiba Mpya katika ukumbi wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MAKUNDI maalumu jana yaliendelea kutoa maoni yao kwenye mchakato wa Katiba Mpya, huku DP kikipendekeza Rais aapishwe baada ya siku 90 tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu. Mbali na maoni hayo...
9 Reactions
53 Replies
4K Views
Back
Top Bottom